Vijana wa kiume kutongoza wanawake waliowazidi umri sana ni tabia mbaya na ya hovyo?

Vijana wa kiume kutongoza wanawake waliowazidi umri sana ni tabia mbaya na ya hovyo?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kuna haya malalamiko ya huyu bibi anayesema vijana wanawatongoza wanawake sawa na mama zao akisema ni tabia mbaya na za hovyo! Ni sahihi kuwasema vijana wa aina hiyo hivyo?

Akizungumza kwenye kipindi cha JIRANI Mama Terry amesema vijana wengi wa kiume sasa hivi wamekuwa na tabia mbaya na za hovyo kwani wamekuwa wakitongoza watu waliowazidi umri sawa na mama zao.

“Kwa mfano mimi hapa yani sasa hivi natongozwa na vijana zaidi kuliko hata nilivyokuwa binti…” ~ Mama Terry

 
Mwenye kutongozwa huwa amekaa mkao wakuhitaji kutongozwa tongozwa ndo maana anatongozwa!!

Mwanamke ukiona unatongozwa tongozwa ovyo jitathimini huenda unaonekana wa bei POA/malaya/mrahisi 😂😂

Mwenye stahaa zake na kujiheshimu ni ngumu kumtongoza
 
Mwenye kutongozwa huwa amekaa mkao wakuhitaji kutongozwa tongozwa ndo maana anatongozwa!!

Mwanamke ukiona unatongozwa tongozwa ovyo jitathimini huenda unaonekana wa bei POA/malaya/mrahisi 😂😂

Mwenye stahaa zake na kujiheshimu ni ngumu kumtongoza
Japokuwa umekandia suala zima la kutongozana, kwanini kutongozana mnaiona kama kukoseana heshima!!! Wakati sie wote tumetokea kwenye hiyo hiyo mitongozo, mahusiano ya babu, bibi baba na mama zetu mengi yameanzia hapo ina maana wazee wetu wa kiume hawakuwaheshimu bibi na mama zetu, wewe km una mke maana yake haukumuheshimu? 😅
 
Back
Top Bottom