Ni wajasiriamali hawako kimapenzi, ajira imekua ngumu.Kuna haya malalamiko ya huyu bibi anayesema vijana wanawatongoza wanawake sawa na mama zao akisema ni tabia mbaya na za hovyo!
Ni sahihi kuwasema vijana wa aina hiyo hivyo?View attachment 3119082
View attachment 3119083
Kwani simiyu ni Tanzania au Tanganyika?Kwani huyu bibi ni nani huko dar es salaam?
Sisi huku Simiyu hatumjui
Tanganyika,,, Tamzania ni Dar es salaam na UngujaKwani simiyu ni Tanzania au Tanganyika?
Japokuwa umekandia suala zima la kutongozana, kwanini kutongozana mnaiona kama kukoseana heshima!!! Wakati sie wote tumetokea kwenye hiyo hiyo mitongozo, mahusiano ya babu, bibi baba na mama zetu mengi yameanzia hapo ina maana wazee wetu wa kiume hawakuwaheshimu bibi na mama zetu, wewe km una mke maana yake haukumuheshimu? 😅Mwenye kutongozwa huwa amekaa mkao wakuhitaji kutongozwa tongozwa ndo maana anatongozwa!!
Mwanamke ukiona unatongozwa tongozwa ovyo jitathimini huenda unaonekana wa bei POA/malaya/mrahisi 😂😂
Mwenye stahaa zake na kujiheshimu ni ngumu kumtongoza
Usimwingize Yesu kwenye dini yenuSisi waislam hiyo ni suna
Mtume wetu alioa mwanamke mwenye miaka 54 yeye akiwa na 25
Na alipofikisha miaka 54 akaoa kitoto chenye miaka 6
Mitume wa mwendo kasi waliokuja kupotosha ulimwengu kama YESU KRISTO alivyo sema
Anawarembulia, ndo maanaKuna haya malalamiko ya huyu bibi anayesema vijana wanawatongoza wanawake sawa na mama zao akisema ni tabia mbaya na za hovyo!
Ni sahihi kuwasema vijana wa aina hiyo hivyo?View attachment 3119082
View attachment 3119083
Umepagawa na pepo kutoka madina na Makkah liitwalo Jamila wewe si bureUsimwingize Yesu kwenye dini yenu yakijinga
Sababu ya kutongozwa na vijana ndiyo maana anajihisi hajazeekaYemwenyewe kuna crip moja ivi juzi kati alitema cheche baada yakuambiwa amezeeka akajibu "aliezeeka nishangazi yako minajihisi ni sweetsixteen"
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥴Wanakesha hapa kupost kataa ndoa .
Wakimaliza wanarudi mitaani kutongoza ma ajuza.