Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi ni maneno si numbers. Unapoenda ku deposit pesa benki kwenye form kuna mahali pa kujaza tarakimu na kwingine kwa maneno.Number ni pamoja na kusema wengi.
Au umekariri hesabu?
Wengi ni maneno si numbers. Unapoenda ku deposit pesa benki kwenye form kuna mahali pa kujaza tarakimu na kwingine kwa maneno.
But then its seem huna actual numbers not even basic facts to support your topic
Pole sana hesabu za bank na hesabu ni sawa tofauti ni application. So once again huna numbers huna facts za ku support mada yakoKitakwimu Neno mengi ni sehemu ya hesabu inayowakilisha idadi inayozidi wastani.
Kwa hiyo wewe unajua hesabu za benki tuu
Pole sana hesabu za bank na hesabu ni sawa tofauti ni application. So once again huna numbers huna facts za ku support mada yako
Man enough na blah blah. Huwez kukariri hesabu lazima uelewe logic behind thats how unaelewa hesabuNdio maana nikakuambia umekariri.
Hesabu haziwezi kuwa sawa.
Kwa uelewa wako ukiambiwa utoe hesabu ya mchanga wa bahari au nyota utasema ziko ngapi?
Man enough na blah blah. Huwez kukariri hesabu lazima uelewe logic behind thats how unaelewa hesabuNdio maana nikakuambia umekariri.
Hesabu haziwezi kuwa sawa.
Kwa uelewa wako ukiambiwa utoe hesabu ya mchanga wa bahari au nyota utasema ziko ngapi?
Man enough na blah blah. Huwez kukariri hesabu lazima uelewe logic behind thats how unaelewa hesabu
umeshindwa ku offer valid facts with numbers why should i listen to you about hesabu? Come on man
Man enough na blah blah. Huwez kukariri hesabu lazima uelewe logic behind thats how unaelewa hesabu
umeshindwa ku offer valid facts with numbers why should i listen to you about hesabu? Come on man
Wakipondwa tu ni sawa??Nyie ndio mnatakiwa kuingizwa kwenye hizo movements za kutetea jinsia ya kike. Wawe na akili, uwezo, uchumi mkubwa, so what...end of the day ni wanawake na wanabaki kuwa wasaidizi wa wanaume. Mnatetea jinsia Ke hadi mnazidisha.
For a woman, it could be a blessing or a curse depending on your surroundings.
Wakipondwa vipi binti?Wakipondwa tu ni sawa??
Kupondwa ni kinyume cha kusifiwa, katika lugha isiyorasmi. Umemwambia mleta mada kuwa anasifia kupitiliza, ndio nikauliza ni sawa pale wanapopondwa? Ikiwa kusifiwa ni tatizo.Wakipondwa vipi binti?
Wakipondwa vipi binti?
Intelligence haichagui jinsia mkuu, yoyoyte anaweza kuwa vyovyote, sema nature inamfanya Me kuwa stronger physically, emotionally nkna hivyo kuwa mtawala.Anamaanisha nikiwachana ukweli(wakosolewa au kupondwa) kwako ni sawa.
Mimi naongea uhalisia wa mambo.
Wapo wanawake wamewazidi wanaume wengi kwa mambo nyeti. Kuanzia akili za darasani,maisha, kipato, kimamlaka, bahati n.k
Huwa unafatilia mada za Chris Mauki? Nimeuliza swali nje ya hoja yako.Kupondwa ni kinyume cha kusifiwa, katika lugha isiyorasmi. Umemwambia mleta mada kuwa anasifia kupitiliza, ndio nikauliza ni sawa pale wanapopondwa? Ikiwa kusifiwa ni tatizo.