Vijana wa Kiume tuacheni Ubaguzi pale Wazazi wetu wakiwa Wazee kwa kuamua Kumjali zaidi Mama na Baba zetu huwa tunawajali kwa 'Kubeti' tu

Vijana wa Kiume tuacheni Ubaguzi pale Wazazi wetu wakiwa Wazee kwa kuamua Kumjali zaidi Mama na Baba zetu huwa tunawajali kwa 'Kubeti' tu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuna tatizo gani kama mfano ukiamua kumpa Mama yako Tsh 300,000/ kwa Mwezi na Baba yako nae ukampa Kiasi hicho hicho? Inasikitisha sana kuona Mzee wako ambaye alijipinda ' Kitandani' hadi Leo ukawa hivyo ulivyo na Great Thinker hapa JamiiForums unambagua Kimatumizi na Kumjali zaidi Mama. Najua hasa Umuhimu wa Mama ila Kwangu Mimi GENTAMYCINE wote Kwangu wana Umuhimu sawa tena sometimes nikiona kwa mfano Mshua ana Ugwadu wa Uzeeni naweza hata Kumdakisha na kisha namsetia Mingo ya kiaina kwa Tunda lililo karibu ili alitafune ile nae akumbukie enzi zake.

Yaani Mama yako unampa Kiasi kingi halafu Mshua unampa kidogo huku Ukimdanganya. Siyo vizuri na tubadilike.
 
Tatizo la washua wengi waliwaachia majukumu ya kulea,kulisha na kusomesha watoto kwa mama zao.

Washua wengi walifanya sperm donation na sio kuwa "baba halisi" kwa kubeba majukumu 100% wengi walikuwa na pesa zao na walijali sana mchepuko,wacha wavune matunda ya kazi zao za kindezi.
 
Tatizo la washua wengi waliwaachia majukumu ya kulea,kulisha na kusomesha watoto kwa mama zao.

Washua wengi walifanya sperm donation na sio sio kuwa "baba halisi" kwa kubeba majukumu 100% wengi walikuwa na pesa zao na walijali sana mchepuko,wacha wavune matunda ya kazi zao za kindezi.
Jifunze kusamehe Wewe na acha kubeba Kinyongo kwa yaliyopita sawa? Baba yako angegogesha Besela ungezaliwa?
 
你是对的

20240522_170637.jpg


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
"nikiona kwa mfano Mshua ana Ugwadu wa Uzeeni naweza hata Kumdakisha na kisha namsetia Mingo ya kiaina kwa Tunda lililo karibu ili alitafune ile nae akumbukie enzi zake".

Aseee wee jamaa 😂😂😂😂😂😂
Jamaa anaonekana hayupo sawa kwenye medula oblongata hapo kaandika upuuzi.
 
Only a Moron, Satan Agent and Uncouth Creature can Write this.
watoto sio mtaji popoma usije ukazaa kama mbwa ukategemea msadaa kwa wanao utalia na kusaga meno mzazi ndio inabidi ujenge future ya wanao sio wanao wakujengee future wewe usiwe lipumbavu kuwa kama wahindi wanajenga fondation ya watoto na wao toka wakiwa vijana kama ni Biashara wanafungua familiy Business ambayo itawanufaisha wanae wakikua na yeye akizeka
 
Kuna tatizo gani kama mfano ukiamua kumpa Mama yako Tsh 300,000/ kwa Mwezi na Baba yako nae ukampa Kiasi hicho hicho? Inasikitisha sana kuona Mzee wako ambaye alijipinda ' Kitandani' hadi Leo ukawa hivyo ulivyo na Great Thinker hapa JamiiForums unambagua Kimatumizi na Kumjali zaidi Mama. Najua hasa Umuhimu wa Mama ila Kwangu Mimi GENTAMYCINE wote Kwangu wana Umuhimu sawa tena sometimes nikiona kwa mfano Mshua ana Ugwadu wa Uzeeni naweza hata Kumdakisha na kisha namsetia Mingo ya kiaina kwa Tunda lililo karibu ili alitafune ile nae akumbukie enzi zake.

Yaani Mama yako unampa Kiasi kingi halafu Mshua unampa kidogo huku Ukimdanganya. Siyo vizuri na tubadilike.
Usijari

Hata wao watafanywa hivyo hivyo na watoto wao wakizeeka
 
Back
Top Bottom