DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Hahahaha ilikua ni general comment Tu. Kwa yeyote Tu ambaye Yuko serious anicheki PM
Kama unaweza kuendesha scania zipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha ilikua ni general comment Tu. Kwa yeyote Tu ambaye Yuko serious anicheki PM
Sahihi, inakuwa kuendeleza tu umaskiniVijana wengi Ni maskini wataoa familia Ile Nini?
Hivi Ata ungekua ni wewe "ungeowa" badala ya "kuoa "Leo nilikuwa natizama kipindi cha "funguka" kwenye channel ya east Africa Tv almaarufu kama channel 5, mada ili yokuwa ikijadiliwa kwanini vijana hawaowi au kuolewa,?,
Kwa upande wa wanawake wao walitoa maoni yao kwa wingi kuwa vijana wa kiume wanaogopa majukumu, Na vijana wa kiume walikomaa Na hoja yao ya kataa ndoa , ndoa ni utapeli🤣🤣 tulio Na watoto wa kike miaka 20 ijayo tuna kazi kweli kweli.
Vunjabei na diamond ni masikini?Vijana wengi Ni maskini wataoa familia Ile Nini?
😀😀😀😀😀Ndoa ni mkopo wa OYA
Kwaiyo utafiti wako kwenye jamii nzima ndio umeishia kwenye harusi za hapo ukumbi ulio karibu na kazini kwako?Nafanya mishe karibu na ukumbi mmoja, kuanzia ijumaa ni sherehe za harusi mpaka Jumapili, hapa nilipo nina vimeo vya kado za michango 3...kwahiyo watu wanaoa na kuoana..
Exactly, tuendelee kuuziana rejareja hivi hivi. Gharama za kulala na kahaba mara mbili kwa wiki ni ndogo sana ukilinganisha na gharama za kumtunza mwanamke maisha yake yote.Exactly. Wanawake wanachukulia ndoa ni Ajira. Vijana tumeshtuka, kama ni ajira wauze rejareja.
😀😀😀😀 watu wanafikiri ni sababu nyepesi maana inafupishwa kwa kuitwa majukumu lakini hayo majukumu tukitaja kipengere kimoja kimoja ni shambulio la afya ya akili na uchumi wa mwanaumeUkiambiwa wanakwepa majukumu ujue ni majukumu kweli, sio mambo ya kitoto.
Mtu ajichanganye aone.....
Chagua kufa au kurejesha 😹Hakiksha Unatoa rejesho😀
Na wewe unaweza fanya tafiti yako kwa kupitia jamii na eneo ulilochagua pia hujakatazwa.Kwaiyo utafiti wako kwenye jamii nzima ndio umeishia kwenye harusi za hapo ukumbi ulio karibu na kazini kwako?
Utafiti nimefanya kwa kuangalia data rasmi za serikali ambazo zinaonyesha suala la vijana kuoa namba zinashukaNa wewe unaweza fanya tafiti yako kwa kupitia jamii na eneo ulilochagua pia hujakatazwa.
Bila shakaKama unaweza kuendesha scania zipo.
Hahaha dogoNdio nini wewe mwehu
Wewe ni snitch mkaldayoHahaha dogo
Hili nalo neno......Vijana wengi Ni maskini wataoa familia Ile Nini?