Vijana wa kutoka Mbeya ni wastaarabu na wapole; mfano ni RayVanny

Alafu naomba unifundishe kushusha kilio wakati nakaribia eneo la msiba,unaongozana na watu nyumba sita kabla ya eneo la tukio wenzio wanaanza kushusha kilio cha ajabu wakati mita chache tu mlikuwa mnacheka.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mimi sio mnyakyusa ila nawapenda sana wanyakyusa, sababu kuna vitu naingiliano nao.
Jambo la kulia hizo ni tabia za kijadi kama mila za watu mikoa mingine kama kaskazini kupeleka vitovu vya watoto wao makwao kuvizika kwenye migomba baada ya watoto kuzaliwa
 
Mnyakyusa ki asili ni mtu muungwana sana, mpole na mstaarabu kama alivyosema mleta mada na pia apendi dharau.
Shida inakuja jinsi anavyoonekana mpole, mtulivu, mstaarabu watu wanataka wampande kichwani hapo ndio matatizo yanapoanzia na kuanza kuonekana mnyakyusa jeuri, anadharau n.k
 
Halafu bora uko kwa wanyakyusa ukiomba ka upendo unaambiwa kajitambulishe kwanza,
Mana kuna maeneo kama manyara, karatu n.k huko kama wewe ni mgeni unaweza ukateleza na wa wadada kijiji kizima bila kuulizwa kitu.
 
Kwa kugu uju[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Utakufa Maskini wewe sisi Tunasema LACK OF MONEY IS THE SOURCE OF ALL EVILS wakati nyie sijui mnajiita wenye elimu mnafikiri kwamba LOVE OF MONEY IS THE SOURCE OF ALL EVILS!

Halafu kwanza una Elimu gani Kijana!
 
Umesimuliwa wewe
 
Acha mambo ya ajabu, una uhakika hao wanatoa kafara au juhudi zao binafsi ndo maana wanawatawala kwenye mbeya yenu, mnashindia majungu mpaka wanaume, full kujisifia wenzenu mbeya yote maduka yao wanachuma wanapeleka kwao
 
Mbeya ipi? Dah kuna watu wana mbwembwe kama wasomi waliofanikiwa kutoka MB? Unahitimisha kwa wanamuziki 2 labda kazi yao inawataka wawe hivyo, kwangu baada ya Nshomile wanafuata Ndagas kwa mbwembwe
Full kuvaa suti za marangi rangi, mdomoni majungu mengi wanyakyusa nenda kwake au mfukoni hayana kitu kbsaaa
 
Utakufa Maskini wewe sisi Tunasema LACK OF MONEY IS THE SOURCE OF ALL EVILS wakati nyie sijui mnajiita wenye elimu mnafikiri kwamba LOVE OF MONEY IS THE SOURCE OF ALL EVILS!

Halafu kwanza una Elimu gani Kijana!
Umevimbiwa viporo unaanza kutapika bila aibu.
Siwezi kubishana na chizi kama wewe
 
Acha mambo ya ajabu, una uhakika hao wanatoa kafara au juhudi zao binafsi ndo maana wanawatawala kwenye mbeya yenu, mnashindia majungu mpaka wanaume, full kujisifia wenzenu mbeya yote maduka yao wanachuma wanapeleka kwao
Ongea kwa point,
Anaetawala Mbeya ni nani?
 
Pale mjini wamechagua jamaa mnyosha vidole vya kati, haongei cha maana ila angalia vjna wa mbeya wanavyomsifia rais wao kuendekeza ukanda uzandiki ndio kilichofanya mbeya kuanza kupitwa na iringa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…