Vijana wa miaka 20-29 tukutane hapa

Me nazunguka zunguka kule mtaa wa tatu...

Kumbe Vijana wenzangu wapo hapa....

Haya sasa shusheni nondo hizo tu take a note [emoji404]
 
Kuwaweka 20 -29 sio sawaa...

20-25 hao wanakaa zizi moja
26-30 hao nao zizi moja
 
OK, acha niweke hoja fikilishi!

Miaka ya nyuma wakati tunakua (sisi wa 20-29 years), kizazi kilichokua kimetutangulia (kaka zetu na Dada zetu) walikua bright sana!

Walikua ni watu wa kujiongeza na kutafuta fursa. Hawakukaa bure. Walijishughulisha na ujasiriamali kuanzia bustani za mboga mboga, ufugaji na miradi mingine!

Je, hiki kizazi chetu kimekwama wapi?

I bet asilimia 85 ya vijana wa miaka 20 mpaka 25 bado ni tegemezi.

Hata humu JF, hiki kizazi ndio kinaongoza kwa kupost pumba na hoja za kijinga. Hiki kizazi ndio kimetawala jukwaa la MMU na kila mada lazima ihusishe papuchi (japo sio kosa).

Tufanye nini ili tukivushe hiki kizazi?
 
Impact ya kukutana hapa ni nini?
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Mlioko dar na mnafanya biashara ya kutembeza vitu hebu tupeane dili. Vitu gani vinauzika kirahisi and wapi kuna machimbo ya kuchukua vitu kwa bei nafuu.
 
nitumie nauli nipo hapa gairo
Khaaaaaa.... Wajukuu mna mambo nyie...Yaaani huoni haya kumuomba Bibi nauli?? Hayaaa...Subiri nikiuza korosho nitakutumia nauli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…