Vijana wa miaka 20-29 tukutane hapa

Vijana wa miaka 20-29 tukutane hapa

Si vibaya Bibi akiwasikiliza wajukuu zake.
Niko hapa Bibi yenu.!!
 
Asante kwa swali zuri, jibu hapo linaweza kuwa ndio na upande mwingine hapana..

Nasema ndio kwa sababu kuna baadhi ya vijana wanajua majukumu yao, wajibu na thamani katika ngazi ya familia, jamii na taifa kwa ujumla..na hii inatokana na misingi ya malezi waliyoyapata kutoka kwa walezi wao...pia elimu waliyopata imewasaidia kujitambua na kujua wajibu wao ni nini...Mathalani leo hii kuna vijana ni nguzo kubwa kwa familia (wanategemewa) kutokana na kuwa waliona fursa na wakazifanyia kazi. Kazi wanayofanya inasaidia kukuza familia, jamii na hata taifa katika nyanja mbalimbali za kiuchumi na kimaendeleo... Misingi mizuri ya malezi ya maisha imewafanya wawe bora na mfano wa kuigwa katika jamii yetu tunayoishi kwa hiyo utaona ni jinsi gani wanatimiza majukumu yao na wajibu huku wakiilinda thamani yao...


Kwa upande wa HAPANA PIA, naweza kusema pia kuna ambao (baadhi) hawajajua thamani, wajibu na majukumu katika familia,jamii na taifa kwa ujumla..

Leo hii tunashuhudia vijana wengi wakichagua kazi, kuishi vijiweni kupiga soga na kuishia kuilalamikia serikali kila kukicha..Wao ni kula kulala tu, yaani wapowapo... Wengi wao ni "Fuata mkumbo" na ndio husababisha kukithiri kwa tabia hatarishi kama utumiaji wa madawa ya kulevya, ukahaba na ujambazi..ila laiti kama wangebadili fikra na kuumiza kichwa haya mambo mabaya tusingeyasikia kamwe na ninaamini vijana tungeamka na taifa lingesonga mbele kwa maana kama ujuavyo VIJANA NI TAIFA LA LEO NA NGUVU KAZI YA TAIFA...

Kwa hiyo kwa kumalizia, ningependa kuwaasa vijana tuamke, tuache ukorofi na tuchape kazi kwa sana.. Utandawazi usitupumbaze tukajisahau kabisa...

Tuwe na maadili mazuri ili vizazi vijavyo vijifunze mema kwa manufaa ya familia, jamii na Taifa kwa ujumla kimaendeleo...

Asante...
[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Asante kwa swali zuri, jibu hapo linaweza kuwa ndio na upande mwingine hapana..

Nasema ndio kwa sababu kuna baadhi ya vijana wanajua majukumu yao, wajibu na thamani katika ngazi ya familia, jamii na taifa kwa ujumla..na hii inatokana na misingi ya malezi waliyoyapata kutoka kwa walezi wao...pia elimu waliyopata imewasaidia kujitambua na kujua wajibu wao ni nini...Mathalani leo hii kuna vijana ni nguzo kubwa kwa familia (wanategemewa) kutokana na kuwa waliona fursa na wakazifanyia kazi. Kazi wanayofanya inasaidia kukuza familia, jamii na hata taifa katika nyanja mbalimbali za kiuchumi na kimaendeleo... Misingi mizuri ya malezi ya maisha imewafanya wawe bora na mfano wa kuigwa katika jamii yetu tunayoishi kwa hiyo utaona ni jinsi gani wanatimiza majukumu yao na wajibu huku wakiilinda thamani yao...


Kwa upande wa HAPANA PIA, naweza kusema pia kuna ambao (baadhi) hawajajua thamani, wajibu na majukumu katika familia,jamii na taifa kwa ujumla..

Leo hii tunashuhudia vijana wengi wakichagua kazi, kuishi vijiweni kupiga soga na kuishia kuilalamikia serikali kila kukicha..Wao ni kula kulala tu, yaani wapowapo... Wengi wao ni "Fuata mkumbo" na ndio husababisha kukithiri kwa tabia hatarishi kama utumiaji wa madawa ya kulevya, ukahaba na ujambazi..ila laiti kama wangebadili fikra na kuumiza kichwa haya mambo mabaya tusingeyasikia kamwe na ninaamini vijana tungeamka na taifa lingesonga mbele kwa maana kama ujuavyo VIJANA NI TAIFA LA LEO NA NGUVU KAZI YA TAIFA...

Kwa hiyo kwa kumalizia, ningependa kuwaasa vijana tuamke, tuache ukorofi na tuchape kazi kwa sana.. Utandawazi usitupumbaze tukajisahau kabisa...

Tuwe na maadili mazuri ili vizazi vijavyo vijifunze mema kwa manufaa ya familia, jamii na Taifa kwa ujumla kimaendeleo...

Asante...
Sijasoma ulichoandika ila nimepita tu kuuliza na wewe upo kundi hili?
 
kizazi cha ukomboz wa taifa
Kizazi hiki
1.mashoga wameongezeka
2.vilaza wengi....hadi mmeshushiwa grades
3.kulialia tu
4.hata JF imekuwa hovyo kwadababu ya kundi kubwa ni kizazi hiki
5.kizazi cha mihemko(hii ni sababu ya umri)
6.ujuaji mwingi,nidhamu sifuri

Lakini sio kosa lenu, mmekuwa kipindi kigumu na chenye changamoto.
 
Dhumuni na lengo la kutaka vijana wa miaka 20 mpaka 29 tukutane hapa ni kutokana sisi vijana tuna mawazo tofauti na pia hatupishani sana kwenye mambo binafsi kwahiyo inaweza kuwa vyema tukikutana hapa tukibadilishana mawazo na kufurahi kwa pamoja.
Mkuu, kuna grades za watu kwenye psychological classifications depending on various scholars' thoughts,,,
Mfano talented na gifted sasa naomba kukuweka kwenye gifted people.

Namanisha unaakili sana, kwasababu nivijana wachache wajuao kujiongeza kimawazo ya kujenga, wengi wa vijana kuanzia miaka 20's wanawaza mapenzi zaid

Naomba ni kazie na ni wasihi vijana tulio katika levels mbalimbali tujifunze kujitengenezea fursa,

kwangu mim binafsi huwa siamin katika upewaji elimu kuhusu ujasiliamali, kwahyo kama ni swala la fursa kwanza tujifunze kujitengenezea fursa wenyewe kupitia hela ndogondogo
tujifunze kutunza au kuwekeza kidogo kidogo, tusitarajie kuwekeza kwa kuanzia kwenye kiwango cha pesa kilicho kikubwa, kwanza yatupasa kujua pesa huwaga ina sifa ya kutotosha hivyo tukisubiria ela itoshe, tutashindwa kufikia malengo yaliyo kusudiwa,

Nihayo2 jaman
 
Kuna Cancer kwenye Taifa hili inayoitwa; Megadumpism of Youth Policies. Ukilijua hili naweza kuendelea kuwa hapa
 
nilijua umetuita vijana wenzio ili utupe girisii..
ila sio basi kesi.
 
Back
Top Bottom