Vijana wa mwaka 1990 mnazeeka ujue nyie sio watoto tena

Vijana wa mwaka 1990 mnazeeka ujue nyie sio watoto tena

Ulivyowatimua magetoni eti waende wakatufute pesa wataweza na uzee huo kweli ?
Niko na limoja hapa naagiza ulanzi linanitolea mijicho ili nilinunulie pia
 
Life
Vijanaa wengi waliozaliwa mwaka 1990 bado wanajiona ni watoto.

Nawakumbusha kwasasa mna miaka 35 kasoro, umri ndio huo maji ya jioni.

Toka maghetoni, toka kwenu nenda katafute maisha, wakati ni sasa.
Life begin at 40
 
Back
Top Bottom