Vijana wa sasa hawana busara na maadili mema, hawajieshimu, hawaoni ukweli na hawajui historia yetu

Vijana wa sasa hawana busara na maadili mema, hawajieshimu, hawaoni ukweli na hawajui historia yetu

Masi Lambo

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2020
Posts
532
Reaction score
360
Ukiambiwa Dr Salim Ahmed Salim aliteuliwa balozi nchini Misri akiwa na miaka 22 halafu ukalinganisha na vijana wetu wa leo wenye elimu na umri huo utaona km vile tunarudi nyuma badala kwenda mbele.

Na ukiambiwa miaka ya 70 hadi 90 nchi yetu ilikuwa na vyama vya ushirika kila mko vyenye nguvu kabisa vya kuweza kununua mazao ya wakulima bila matatizo halafu ukalinganisha na Sacco's za sasa hivi za wasomi utaona tunarudi nyuma badala ya kwenda mbele.

Ukiambiwa zamani nchi yetu bila wasomi ilikuwa na viwanda Mutex mwatex kiltex urafiki nk na mashirika ya umma yenye mafanikio makubwa sana lkn baada wasomi kuyaongoza ndo yamefilisika kabisa lazima utakuwa na mashaka na elimu za vijana wetu.
 
Ni uzembe wa vijana wa zamani kushindwa kuandaa msingi imara wa vijana wa sasa.
Vijana wa zamani(Wazee) kuna wajibu wenu hamkuutekeleza vyema ndiyo maana leo mnalalamika tu.
Rejea ...."Mlee Mtoto katika njia impasayo naye hataiacha hata atakapokuwa Mzee"..Je! Mlilea watoto katika njia ziwapasazo?
 
Ukiambiwa Dr Salim Ahmed Salim aliteuliwa balozi nchini Misri akiwa na miaka 22 halafu ukalinganisha na vijana wetu wa leo wenye elimu na umri huo utaona km vile tunarudi nyuma badala kwenda mbele.

Na ukiambiwa miaka ya 70 hadi 90 nchi yetu ilikuwa na vyama vya ushirika kila mko vyenye nguvu kabisa vya kuweza kununua mazao ya wakulima bila matatizo halafu ukalinganisha na Sacco's za sasa hivi za wasomi utaona tunarudi nyuma badala ya kwenda mbele.

Ukiambiwa zamani nchi yetu bila wasomi ilikuwa na viwanda Mutex mwatex kiltex urafiki nk na mashirika ya umma yenye mafanikio makubwa sana lkn baada wasomi kuyaongoza ndo yamefilisika kabisa lazima utakuwa na mashaka na elimu za vijana wetu.
Nyinyi wazee mumeshindwa kuviendeleza vyote hivyo mumeshindwa kuwajengea msingi imara vijana mumeelekeza nguvu kwenye upigaji na kutembea na vibint vidogo kama wajukuu zenu mwisho wa siku mnaishia kuwalaumu vijana.
 
Nyinyi wazee mumeshindwa kuviendeleza vyote hivyo mumeshindwa kuwajengea msingi imara vijana mumeelekeza nguvu kwenye upigaji na kutembea na vibint vidogo kama wajukuu zenu mwisho wa siku mnaishia kuwalaumu vijana.
Wanageuza lawama mapema hawa jamaa,tena kuna wengine utawasikia wakisema " vijana wa siku hizi bwana hawasikii"...utafikiri kuna kiyu walikuwa wanawaambia.
 
Ukitaka kujua aina ya vijana simaama mahali panapouzwa magazeti uone magazeti wanayonunua,waangalie music wanayocheza na kusikiliza,nenda kwenye wanapo Fanya betting ,
 
Ukiambiwa Dr Salim Ahmed Salim aliteuliwa balozi nchini Misri akiwa na miaka 22 halafu ukalinganisha na vijana wetu wa leo wenye elimu na umri huo utaona km vile tunarudi nyuma badala kwenda mbele.

Na ukiambiwa miaka ya 70 hadi 90 nchi yetu ilikuwa na vyama vya ushirika kila mko vyenye nguvu kabisa vya kuweza kununua mazao ya wakulima bila matatizo halafu ukalinganisha na Sacco's za sasa hivi za wasomi utaona tunarudi nyuma badala ya kwenda mbele.

Ukiambiwa zamani nchi yetu bila wasomi ilikuwa na viwanda Mutex mwatex kiltex urafiki nk na mashirika ya umma yenye mafanikio makubwa sana lkn baada wasomi kuyaongoza ndo yamefilisika kabisa lazima utakuwa na mashaka na elimu za vijana wetu.
Naunga mkono
 
Kuna sehemu ya kuignore hapo juu ukiona comment mbovu kama uliyotumia wenzetu hapo juu unaignore au unaitolea ripoti.Mimi tayari nimeshaignore.
 
Wanageuza lawama mapema hawa jamaa,tena kuna wengine utawasikia wakisema " vijana wa siku hizi bwana hawasikii"...utafikiri kuna kiyu walikuwa wanawaambia.
Teh teh 🤣 🤣🤣,hawa wazee bhana....
 
Kama hivi
 

Attachments

  • Screenshot_20200601-175523_Chrome.jpg
    Screenshot_20200601-175523_Chrome.jpg
    55.5 KB · Views: 1
Nyinyi wazee mumeshindwa kuviendeleza vyote hivyo mumeshindwa kuwajengea msingi imara vijana mumeelekeza nguvu kwenye upigaji na kutembea na vibint vidogo kama wajukuu zenu mwisho wa siku mnaishia kuwalaumu vijana.
Kwanini wewe usijengee misingi imara vijana wajao badala yake unalalamika huku ukifanya hicho walichofanya hao wazee.
 
Hvi ndio kusema mtoa uzi hauoni hali ya sasa ya kujuana ilivyotawala unategemea utapata balozi wa miaka 22..

Ebu cheki matangazo ya ikulu ya msigwa kila mabadiliko yakifanywa na Rais utaona

" Nimemteua ndugu juma kuwa mkurugenzi taaasisi flani kabla ya hapo ndugu juma alikua balozi sijui wapi"

Unategemea utakuta kijana hapo na tena usiseme vijana ovyo vijana wenye akili wapo sema ndio hvo bila connection hutoboi

Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
 
Ukiambiwa Dr Salim Ahmed Salim aliteuliwa balozi nchini Misri akiwa na miaka 22 halafu ukalinganisha na vijana wetu wa leo wenye elimu na umri huo utaona km vile tunarudi nyuma badala kwenda mbele.
Tatizo ni mifumo kaka.

Wewe mtu unamlea mwanao kiasi kwamba anajijua hasa kwamba kwa malezi haya mimi bado mtoto.

Mtoto wa miaka 7 unashindwa kumpa pesa ya matumizi ukamuambia mwanangu hii alfu tatu nakupa tumia wiki nzima shuleni ukiimaliza leo ndo mpaka wiki ijayo,mzazi unashindwa atii.

Mzazi mlee mwanao katika mazingira ya kujiona yeye kuwa ni mtu mzima.
 
Ni uzembe wa vijana wa zamani kushindwa kuandaa msingi imara wa vijana wa sasa.
Vijana wa zamani(Wazee) kuna wajibu wenu hamkuutekeleza vyema ndiyo maana leo mnalalamika tu.
Rejea ...."Mlee Mtoto katika njia impasayo naye hataiacha hata atakapokuwa Mzee"..Je! Mlilea watoto katika njia ziwapasazo?
Na hao wazee wa zamani mpaka leo bado wameng'ang'ania madaraka hawataki kabisa kustaafu maana nje ya serikali wanahisi hawawezi kusurvive.
Mtu kawa raisi, lakini mpaka leo eti anajengewa mjumba kama wote. Wakati ana maslahi makubwa, hakatwi kodi, anatunzwa na serikali lakini eti hadi nyumba najengewa.
 
Back
Top Bottom