Vijana wa umri mdogo kujihusisha kimapenzi na watu wazima chanzo ni nini?

Zipo sababu nyingi tu Moja ni kutokuheshimiana,tamaa,na kujiona wewe ni WA level Fulani wakati ni tofauti na uhalisia,kutaka kuishi maisha ambayo huna.
 
Issue iko kwa kijana mdogo kua na mmama, lakini kinyume chake Mwanaume wa miaka 45 anaweza kumuoa binti wa miaka 25 na wakazeeka wote....au hujastuka tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…