Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tamaa ya pesa tusio wa kike wala wakiume, wamekomaa mno.
unadhani wamekomazwa na nani, wapi?
Kabinti kanang'ang'ana na lizee jitu zima na kakijana kanang'ang'ana na jimama jitu zima..
Ni nini hasa chanzo cha hali hili isiyo ya kimaadili wala isiyo ya kawaida inayosikitisha sana mapenzini katika jamii?🐒
Wewe una ngapi mkuu.Kumbe 40 tayar ni mtu mzima,,, woooiii wacha nimuache huyu
Ooh sawa mkuu. So 20s vs 40s ni sawa?under 18 vs above 50🐒
actually, ndiyo...Ooh sawa mkuu. So 20s vs 40s ni sawa?
Wewe ulimlisha matango pori, ananiona kama vice shetani Yani 😅😅Unajua île siku tulipigwa ban wote nikapambana nikatoka 😹😹😹
Vipi sasa bff wangu simuoni umemficha wapi?
Naona kanitoroka kaja peke yake kukuona mgonjwa
Angalau ila, bado tu miyeyusho 😂😂🤣🤣🤣lakini, mdada wa 35 hivi hawezi kudate na me wa 50?
26 tuu yaani hata ungo bado sjavunjaWewe una ngapi mkuu.
ila nna watoto tatu😂kwa nyakati na majira ya sasa...
kibayolojia mwenye 26 anakua kiautomatolikali hana wala hatembei na ungo tena bali anavunja mifupa angali bado meno iko 🐒
Slopesio wa kike wala wakiume, wamekomaa mno.
unadhani wamekomazwa na nani, wapi?
Kabinti kanang'ang'ana na lizee jitu zima na kakijana kanang'ang'ana na jimama jitu zima..
Ni nini hasa chanzo cha hali hili isiyo ya kimaadili wala isiyo ya kawaida inayosikitisha sana mapenzini katika jamii?🐒
Aposto na muujiza wa mishangazi😂😂😂Vijana wadogo ndio kina nani? I mean wana umri upi? Na hao unaowaita watu wazima, mtu mzima ni mwenye umri gani?
Katiba mpyasio wa kike wala wakiume, wamekomaa mno.
unadhani wamekomazwa na nani, wapi?
Kabinti kanang'ang'ana na lizee jitu zima na kakijana kanang'ang'ana na jimama jitu zima..
Ni nini hasa chanzo cha hali hili isiyo ya kimaadili wala isiyo ya kawaida inayosikitisha sana mapenzini katika jamii?🐒
Wewe sema tu humpendi Rais 😁Very logic. Thanks
Wewe tayari unafaa, kidume wa 45 anakuweka ndani vizuri kabisa. Nimesimamia ndoa mbili, moja jamaa yuko 45 dada yuko 28, nyingine jamaa 42 dada 26. Kawaida sana hiyo.26 tuu yaani hata ungo bado sjavunja
Mmmhila nna watoto tatu😂
Mnisaidie majibu 😅Aposto na muujiza wa mishangazi😂😂😂