Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Majibu unayoMnisaidie majibu 😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majibu unayoMnisaidie majibu 😅
CCM
[/QUOTE
Omba radhi hapa hapa
Kumbe,,basi nkaombe msamaha, coz jana nilimtukana aniacheWewe tayari unafaa, kidume wa 45 anakuweka ndani vizuri kabisa. Nimesimamia ndoa mbili, moja jamaa yuko 45 dada yuko 28, nyingine jamaa 42 dada 26. Kawaida sana hiyo.
Na kwa nini iwe matusi, kwa nini isiwe kuongea mkaeleweshana?Kumbe,,basi nkaombe msamaha, coz jana nilimtukana aniache
alikua haelewi sasa ningefanyaje mimi?Na kwa nini iwe matusi, kwa nini isiwe kuongea mkaeleweshana?
Ukaona matusi anafaa, dah! So hizo three kids ni zake?alikua haelewi sasa ningefanyaje mimi?
Si ndio,,,na pregnant ingine juu,, namwambia ni kisirani cha mimba kilifanya nimtukane jana hata haelewi piaUkaona matusi anafaa, dah! So hizo three kids ni zake?
Aisee unatendea mayai yako haki, safi sana. Sasa unaamuachaje baby daddy wakati mna watoto kisa tu umri?Si ndio,,,na pregnant ingine juu,, namwambia ni kisirani cha mimba kilifanya nimtukane jana hata haelewi pia
sasa si nilisoma huu uzi nkadanganyikaAisee unatendea mayai yako haki, safi sana. Sasa unaamuachaje baby daddy wakati mna watoto kisa tu umri?
Tafuta wako utajua kwa ninisio wa kike wala wakiume, wamekomaa mno.
unadhani wamekomazwa na nani, wapi?
Kabinti kanang'ang'ana na lizee jitu zima na kakijana kanang'ang'ana na jimama jitu zima..
Ni nini hasa chanzo cha hali hili isiyo ya kimaadili wala isiyo ya kawaida inayosikitisha sana mapenzini katika jamii?🐒
Ss hivi nimeokoka nitahakikisha unachukua goma lile 😂😂😂Wewe ulimlisha matango pori, ananiona kama vice shetani Yani 😅😅
Mwenyewe nakatafuta kamoja kapotable hapa 😂😂😂Wenyewe wanasemaje?
Kwamba uzi huu tu ubadilishe mawazo na maisha yako ya mahusiano, just like that...mkuu unadanganya.sasa si nilisoma huu uzi nkadanganyika
sasa nyuzi si zinaanzishwa kwaajili yetu tujifunze na kung'amua mambo,, sidanganyiKwamba uzi huu tu ubadilishe mawazo na maisha yako ya mahusiano, just like that...mkuu unadanganya.
Its an informal business ni vile tu haina tin number na taxes to the Gavoolololoh!
kumbe huwa ni biashara ya mapenzi tu na hakuna mapenzi ya dhati moyoni 🐒
au ndio maana ndoa nyingi ni kichefuchefu sasa hivi labda pesa imekata 🐒
Acheni wivu vijana tafuteni mikwanjaMabinti wengi wanadate na vibabu vilivyogoma kustaafu serikalini
Wanataka kulelewa, ndio maana wengi wao wakihongwa pesa na wao wanaenda kuhomga wanawake wa rika lao.sio wa kike wala wakiume, wamekomaa mno.
unadhani wamekomazwa na nani, wapi?
Kabinti kanang'ang'ana na lizee jitu zima na kakijana kanang'ang'ana na jimama jitu zima..
Ni nini hasa chanzo cha hali hili isiyo ya kimaadili wala isiyo ya kawaida inayosikitisha sana mapenzini katika jamii?🐒