paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Dar es salaam Chadema mwaka huu ni wa kuhama jiji mkatafute kwingine sio darMungu wa HAKI atatenda HAKI, kinyume na hapo Kuna mapigo kumi ya Farao yanawasubiri
RubbishKesho ndio siku maalumu kuweka historia ya kuifungasha virago Chadema na Lisu mkoa wa Dar es salaam kuwapiga chini wagombea wake wote kuanzia wa uraisi ,ubunge na udiwani
Dar kesho tutaiongoza mikoa mingine kumfungasha virago mbelgiji Tundu Lisu Dar hadi aigope akisikia Dar presha iwe inampanda kwa kukumbuka kipigo cha kura alichoppata
Shetani hawezi badilika kamwe !!CCM itashinda huu uchaguzi kirahisi sana, kwa sababu muundo wa tume ya uchaguzi, na jinsi katiba ilivyo havitoi mwanya wa asiye madarakani kushinda u rais!!
Hivyo naungana na ww Pasco kusema kwamba CCM itashinda!!
Binafsi nilitamani JPM ashinde kwa ushindi finyu wa angalau 51% labda pengine ingeweza kumbadilisha na kufanya vizuri zaidi kuliko awamu iliyopita!!
Wapinzani kama kweli wanataka mabadiliko, basi waanze na kupigania badiliko la katiba kwanza. Lasivyo watakuwa wakilia kila mwaka kuwa wanaonewa!!
Subiri kesho uone Dar tutakachowafanyizia ChademaRubbish
Paschal kajitoa ufahamu, sijui ni Ukabila au ni kutafuta Uteuzi kwani naona bado kakaza shingo !!Pascal Mayalla, time is a factor of production. Hao vijana wa CCM ni jobless, time wasters, muda wa kufanya kazi wanazurura, na wewe msomi nguli wa habari na Sheria unafurahia.
Rasilimali muda ikipotea huipati Tena, Bora uooteza pesa lakini si muda.
Huu muda wa kuwatafutia madaraka wenzao watakuja kuulilia siku moja.
Kampeni zinaisha na wanarudi kwenye msoto wao wa Kila siku.
CCM imeahindwa kubuni vyanzo vipya vya ajira kwa wahitimu wa elimu ya juu, elimu ya Kati na ya chini.
CCM ni bug time failure
Inavyoonekana bila Nchi kuingia kwenye Machafuko CCM itapoka ushindi kila chaguzi.Kaagiza ashindishwe kwa asilimia 93
Siku hizi sisomagi thread zake maana amekuwa mlamba makalio sana siku hiziPaschal kajitoa ufahamu, sijui ni Ukabila au ni kutafuta Uteuzi kwani naona bado kakaza shingo !!
Wametega kupata nafasi za ajira za upendeleo,kama nafasi za utendaji kata na Afisa tarafa.Hao vijana kuna uwezekano kabisa kutowapa kura ccm, kutokana na ugumu wa maisha kuna posho wamefuatia hapo
uko sahihiHao vijana kuna uwezekano kabisa kutowapa kura ccm, kutokana na ugumu wa maisha kuna posho wamefuatia hapo