Vijana walioandamana (Gen Z) wakutwa wametupwa kwenye viroba wakiwa wameuawa kwa kuchinjwa kama nyama
Hali ya usalama kwa vijana walionekana Kenya inazidi kuhatarisha huku kukiwa na ongezeko la mauaji kwa vijana walioandamana kali ikiwa ni sehemu ya wanaodhani ni kulipa kisasi cha Rais wao William Ruto kwa waandamanaji kuchoma bunge.
Vijana wamekutwa wakiwa wamefungwa katika viroba wakiwa wamekatwa katwa na mapanga hadi kufa.
Huku media nchini kenya zikiwa kimya video hii hapa chini
Vijana walioandamana (Gen Z) wakutwa wametupwa kwenye viroba wakiwa wameuawa kwa kuchinjwa kama nyama
Hali ya usalama kwa vijana walionekana Kenya inazidi kuhatarisha huku kukiwa na ongezeko la mauaji kwa vijana walioandamana kali ikiwa ni sehemu ya wanaodhani ni kulipa kisasi cha Rais wao William Ruto kwa waandamanaji kuchoma bunge.
Vijana wamekutwa wakiwa wamefungwa katika viroba wakiwa wamekatwa katwa na mapanga hadi kufa.
Kwa nn wana husishwa kuwa ni vijana wa gen Z.?
Vijana walikuwa wengi kwa nn wamekuwa selected hao wachache?
nahis kuna mchezo mchafu
daah pole sana Mcha Mungu Rais Ruto.
Wapumzike kwa Amani vijana mashujaa waliokuwa wana pigania taifa lao.
Kwa nn wana husishwa kuwa ni vijana wa gen Z.?
Vijana walikuwa wengi kwa nn wamekuwa selected hao wachache?
nahis kuna mchezo mchafu
daah pole sana Mcha Mungu Rais Ruto.
Wapumzike kwa Amani vijana mashujaa waliokuwa wana pigania taifa lao.
Vijana walioandamana (Gen Z) wakutwa wametupwa kwenye viroba wakiwa wameuawa kwa kuchinjwa kama nyama
Hali ya usalama kwa vijana walionekana Kenya inazidi kuhatarisha huku kukiwa na ongezeko la mauaji kwa vijana walioandamana kali ikiwa ni sehemu ya wanaodhani ni kulipa kisasi cha Rais wao William Ruto kwa waandamanaji kuchoma bunge.
Vijana wamekutwa wakiwa wamefungwa katika viroba wakiwa wamekatwa katwa na mapanga hadi kufa.