Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Mcha mungu aliyewapoteza mashahidi wote wa icc.Mcha mungu wapi mwizi mkubwa huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mcha mungu aliyewapoteza mashahidi wote wa icc.Mcha mungu wapi mwizi mkubwa huyo
Tukisema tunaonekanaga wajuaji tunatetea madikteta 😂 kuna vitu ukifanya unakua " pawn in the game of chess" This world… belongs to the strong! The ritual of our existence is based on the strong getting stronger by devouring the weak.Walimfanyia hivi hivi Rais Wetu Maghufuli.
Ruto Mungu akusaidie.
Naikumbuka Vyema Movie ya Kenya inayoitwa Nairobi Half Life.. Unatumiwa na Unauawa na waliokutuma.
Mlokole msanii, alishaiba, anaiba halafu kila siku Mungu. Aonekane mcha Mungu, ila ataumbuka tu.Mcha mungu wapi mwizi mkubwa huyo
Kenya Wana maigizo ya katibaHapa sasa ndio faida ya kabila lako itakapoonekana. Katiba itawekwa pembeni soon.
Punde wanaingia kingi (Ikulu).Wapinzani wa Ruto wameshasukuma kete nyengine
Huyu hana mb labda, maana nimefuatilia sana hili, na media nyingi sana zimetoa report toka jana, yeye anakuja na mapungufu.Media hazijakaa kimya labda hauna mb za kutosha.
Ni mchezo mchafu anachezewaRuto asipokuwa na intelenjisia ya maana anaweza pia akawa ana dance midundo ya watu wengine.
Ni ngumu kweli kuamini serikali ya Ruto iue kisha iwatupe wazi sehemu ya kuonekaa ,hapo inaonekana kuna mchezo mchafu anachezewa.
Wengi wao hawakufunika sura hasa walioingia bungeniMlokole msanii, alishaiba, anaiba halafu kila siku Mungu. Aonekane mcha Mungu, ila ataumbuka tu.
Hao vijana nahisi ni wale, waliokamatwa na familia wakasema hawajui walipo.
Wengine dini wanatumia kuficha tu uchafu waoMcha mungu aliyewapoteza mashahidi wote wa icc.
Umenena, hii nakubaliana nayo.Kuna uwezekano wapinzani wa Ruto ndiyo wanafanya hayo ili wazidi kumuharibia credibility.
Hivi lo uko kwenye gen ipi vileeeeee??
Kesi inafufuliwa upyaMcha mungu aliyewapoteza mashahidi wote wa icc.
Ndio maana IGP amejitoa mapema...hili ni kaa la moto...matukio kama haya yatawafanya hata waliokua hawataki kuandamana nao waandamaneVijana walioandamana (Gen Z) wakutwa wametupwa kwenye viroba wakiwa wameuawa kwa kuchinjwa kama nyama
Hali ya usalama kwa vijana walionekana Kenya inazidi kuhatarisha huku kukiwa na ongezeko la mauaji kwa vijana walioandamana kali ikiwa ni sehemu ya wanaodhani ni kulipa kisasi cha Rais wao William Ruto kwa waandamanaji kuchoma bunge.
Vijana wamekutwa wakiwa wamefungwa katika viroba wakiwa wamekatwa katwa na mapanga hadi kufa.
Huku media nchini kenya zikiwa kimya video hii hapa chini
View attachment 3041039
Soma ===>> Kituo cha polisi Mukuru Kenya chashtumiwa kufahamu uwepo wa miili ya watu iliyokutwa nyuma ya bonde
1. Wait a minute mpinzani asiye na Dola anawezaje kuua watu wote hao akawatupe jalalani bila kukamatwa?Umenena, hii nakubaliana nayo.
kitu nisichoelewa, hii mbinu wameikopa wapi? ingekuwa nchi nyingine icho kiroba kuonekana boss wa kitengo angetumbuliwa manake ni kama ameshindwa kazi ya kuficha uovu huo. Mungu anaona.Vijana walioandamana (Gen Z) wakutwa wametupwa kwenye viroba wakiwa wameuawa kwa kuchinjwa kama nyama
Hali ya usalama kwa vijana walionekana Kenya inazidi kuhatarisha huku kukiwa na ongezeko la mauaji kwa vijana walioandamana kali ikiwa ni sehemu ya wanaodhani ni kulipa kisasi cha Rais wao William Ruto kwa waandamanaji kuchoma bunge.
Vijana wamekutwa wakiwa wamefungwa katika viroba wakiwa wamekatwa katwa na mapanga hadi kufa.
Huku media nchini kenya zikiwa kimya video hii hapa chini
View attachment 3041039
Soma ===>> Kituo cha polisi Mukuru Kenya chashtumiwa kufahamu uwepo wa miili ya watu iliyokutwa nyuma ya bonde
Moizania asikuwa na dola!!!! Hahahhahaha, wewe unadhani mwenye nguvu ni dala tu, mm ukinilipa vizuri niambie nimtoe nani na nitatekeleza pasipo kuacha doa. Cash me well, nitakuondolea yoyote yule...... Na katka malipo tutaelewana unatakaje? Niue ajulikane Juma ama John, ama Abdallah ama Andrew.1. Wait a minute mpinzani asiye na Dola anawezaje kuua watu wote hao akawatupe jalalani bila kukamatwa?
2. Ruto na Gachagua wakiiingia Kwa pupa wakaona wameyapatia maisha. Kutwa kutukana watu, walikosa busara za Kiongozi. Wacha kiwakute kitu