Vijana walioandamana (Gen Z) wakutwa wametupwa kwenye viroba wakiwa wameuawa kwa kuchinjwa kama nyama

Vijana walioandamana (Gen Z) wakutwa wametupwa kwenye viroba wakiwa wameuawa kwa kuchinjwa kama nyama

Mcha mungu aliyewapoteza mashahidi wote wa icc.
Wengine dini wanatumia kuficha tu uchafu wao
IMG_20240626_193451.png
 
Vijana walioandamana (Gen Z) wakutwa wametupwa kwenye viroba wakiwa wameuawa kwa kuchinjwa kama nyama

Hali ya usalama kwa vijana walionekana Kenya inazidi kuhatarisha huku kukiwa na ongezeko la mauaji kwa vijana walioandamana kali ikiwa ni sehemu ya wanaodhani ni kulipa kisasi cha Rais wao William Ruto kwa waandamanaji kuchoma bunge.

Vijana wamekutwa wakiwa wamefungwa katika viroba wakiwa wamekatwa katwa na mapanga hadi kufa.

Huku media nchini kenya zikiwa kimya video hii hapa chini
View attachment 3041039

Soma ===>> Kituo cha polisi Mukuru Kenya chashtumiwa kufahamu uwepo wa miili ya watu iliyokutwa nyuma ya bonde
Ndio maana IGP amejitoa mapema...hili ni kaa la moto...matukio kama haya yatawafanya hata waliokua hawataki kuandamana nao waandamane
 
Umenena, hii nakubaliana nayo.
1. Wait a minute mpinzani asiye na Dola anawezaje kuua watu wote hao akawatupe jalalani bila kukamatwa?

2. Ruto na Gachagua wakiiingia Kwa pupa wakaona wameyapatia maisha. Kutwa kutukana watu, walikosa busara za Kiongozi. Wacha kiwakute kitu
 
Vijana walioandamana (Gen Z) wakutwa wametupwa kwenye viroba wakiwa wameuawa kwa kuchinjwa kama nyama

Hali ya usalama kwa vijana walionekana Kenya inazidi kuhatarisha huku kukiwa na ongezeko la mauaji kwa vijana walioandamana kali ikiwa ni sehemu ya wanaodhani ni kulipa kisasi cha Rais wao William Ruto kwa waandamanaji kuchoma bunge.

Vijana wamekutwa wakiwa wamefungwa katika viroba wakiwa wamekatwa katwa na mapanga hadi kufa.

Huku media nchini kenya zikiwa kimya video hii hapa chini
View attachment 3041039

Soma ===>> Kituo cha polisi Mukuru Kenya chashtumiwa kufahamu uwepo wa miili ya watu iliyokutwa nyuma ya bonde
kitu nisichoelewa, hii mbinu wameikopa wapi? ingekuwa nchi nyingine icho kiroba kuonekana boss wa kitengo angetumbuliwa manake ni kama ameshindwa kazi ya kuficha uovu huo. Mungu anaona.
 
1. Wait a minute mpinzani asiye na Dola anawezaje kuua watu wote hao akawatupe jalalani bila kukamatwa?

2. Ruto na Gachagua wakiiingia Kwa pupa wakaona wameyapatia maisha. Kutwa kutukana watu, walikosa busara za Kiongozi. Wacha kiwakute kitu
Moizania asikuwa na dola!!!! Hahahhahaha, wewe unadhani mwenye nguvu ni dala tu, mm ukinilipa vizuri niambie nimtoe nani na nitatekeleza pasipo kuacha doa. Cash me well, nitakuondolea yoyote yule...... Na katka malipo tutaelewana unatakaje? Niue ajulikane Juma ama John, ama Abdallah ama Andrew.
 
Back
Top Bottom