Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hili muende mkalifanyie kazi.Kuna vijana ambao wanaona maisha wameyapatia kama vijana wenye sifa hizi;-
1. Anakaa sinza
2. Anamiliki crown au Mark x
3. Anafanya kazi posta
na hii sio lazima sana 4. Anafanya kzi bank.
vijana hawa huwa wanaona maisha wameyapatia sana,
lakini bado sanaaa,kuna vingi sana bado hawajafanikiwa
alaf wanachakata mbususu tamu kweli yaani, pisi haina hata doaKuna vijana ambao wanaona maisha wameyapatia kama vijana wenye sifa hizi;-
1. Anakaa sinza
2. Anamiliki crown au Mark x
3. Anafanya kazi posta
na hii sio lazima sana anafanya kazi bank.
vijana hawa huwa wanaona maisha wameyapatia sana,
hapa ulimaanisha "HAKUNA" au maana sentensi kama haileti maana hivi?Kuna
Elewa sentensi yako ya kwanza kwenye UZI isome tenaAu ni moja ya vijana waliotajwa hapo juu
Ilikiwa zamani sana ndugu yangu. Kwa sasa ni vitu vya kawaida sana hvyoKuna vijana ambao wanaona maisha wameyapatia kama vijana wenye sifa hizi;-
1. Anakaa sinza
2. Anamiliki crown au Mark x
3. Anafanya kazi posta
na hii sio lazima sana anafanya kazi bank.
vijana hawa huwa wanaona maisha wameyapatia sana,
Aisee,pole sana mkuu...Ndio vijana wa sinza haoDaaah .... Kaka wamenichukulia mwanamke wangu ao vijana wa sinza nimeumia Sana aisee .. All in All tupambane kila mtu Ana definition yake ya mafanikio
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app