co fm
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 1,541
- 2,487
- Thread starter
- #21
Only pesa pesa
Yaani kwa mfano sinza nyumba analipia 300,000+ per month,mafuta ya gari 300,000 per month, matumizi yake 400,000 per month,huoni sio pesa ya kutisha sana,na unaweza kukuta haweki savings.Akipnga nyumba ya laki kuna ubaya gani? au akiendesha ist au vitz ili kusave hela nyingine akajengeOnly pesa pesa