Vijana waliofanikiwa maisha

Vijana waliofanikiwa maisha

Sijui uchumi wako,crown au mark x ina cc 2450 hivyo umwaji wake wa mafuta ni mkubwa kulinganisha na ist au vitz so huoni gharama zake ni kubwa
Acha ushamba jamaa mjini usiige maisha wala usipangie watu jinsi ya kuishi. Wengine wanaendesha hata Majesta ila mafuta ana Card anawekewa mafuta na ofisi. Hapo unasemaje?
 
Acha ushamba jamaa mjini usiige maisha wala usipangie watu jinsi ya kuishi. Wengine wanaendesha hata Majesta ila mafuta ana Card anawekewa mafuta na ofisi. Hapo unasemaje?
Mmmmh
 
Kuna vijana ambao wanaona maisha wameyapatia kama vijana wenye sifa hizi;-
1. Anakaa sinza
2. Anamiliki crown au Mark x
3. Anafanya kazi posta
na hii sio lazima sana anafanya kazi bank.

vijana hawa huwa wanaona maisha wameyapatia sana,
Nilivyo na nilivyonavyo ni kwa ajili ya Mungu,

Wapo watu wanaoishi km kwamba wàmependelewa sana na Mungu

Tambua kwamba ni Mungu aliefanya wawe jinsi walivyo sio juhudi, jitihada, maarifa wala bidii zao binafsi na wala sio matokeo ya akili, maamuzi au matakwa yao binafsi

Yupo anaeshinda, anaelinda, anaetunza na anaekuza kwa ajili yako/yao

Ni yeye pekee alie ukamilifu na utoshelevu

Fanya kila kitu kwa ajili ya yeye pekee

Injili ya Luka 12:19-20

Kumbukumbu la Torati 8:12-14

Nawasilisha..
 
Na wale wanaishi juu ya Bank je? Inasikitisha sana...
 
“I can do what I wanna do. I made this money you didn’t.” Bobby Brown
 
Nyie mnaoishi kwa quotes mtapotea vibaya sana


bas mnaoishi kwa kuchunguza maisha ya wengne mko njia sahihi..kahesabiwe mwamba 🤔
 
Back
Top Bottom