Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Muhimu kwako ni kuelewa CCM ni chama.Hajasema CCM kuwa ni timu ya mpira.
Hoja ya msingi umeielewa lakini? Soma upya mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhimu kwako ni kuelewa CCM ni chama.Hajasema CCM kuwa ni timu ya mpira.
Hoja ya msingi umeielewa lakini? Soma upya mkuu!
Sasa nimegundua kuwa wewe sio Kilatha bali kilaza.Ndio uzuri wa CCM freedom of opinion; jaribu kwenda kinyume cha Mbowe au viongozi wa vyama vingine.
CCM Chama
Kama yupo sawa na mama Samia niwiye radhi.Sasa nimegundua kuwa wewe sio Kilatha bali kilaza.
Kwani hapo mwandishi kaenda kinyume na Samia?
Ongezea hapo,Ujumbe huu nimeutoa mahali lakini author hafahamiki ila utawasaidia sana vijana hawa kujitambua na kujua kuwa ubaguzi wao na dharau kwa wengine hauna manufaa kwao;
Matokeo ya Kisiasa yanataka Moyo Sana vijana wa CCM tutulieni nchi ni yetu sote, tupunguze kuchukiana na kuumizana kimwili!
Moses Machali, DC
David Kafulila, RC
Mwita Waitara, Naibu Waziri
Joshua Nassari, DC
Fakii Lulandala, DC
Julius Mtatiro, DC
Albert Msando, DC
David Silinde, Naibu Waziri,
Vincent Mashinji, DC
Mwambe, MB
Gekuli, Naibu Waziri
Juliana Shonza, MB
Patrobasi Katambi, N/W
Lijua Likali, DC
UVCCM tunajifunza nini toka kwa Vijana waliojengwa na CHADEMA wakaiponda CCM, Wamechukuliwa kuisaidia CCM[emoji404]
NCHI YETU SOTE tufanye siasa za hoja na siyo vioja na kuumizana.
maendeleo hayana vyama🤣🤣Ujumbe huu nimeutoa mahali lakini author hafahamiki ila utawasaidia sana vijana hawa kujitambua na kujua kuwa ubaguzi wao na dharau kwa wengine hauna manufaa kwao;
Matokeo ya Kisiasa yanataka Moyo Sana vijana wa CCM tutulieni nchi ni yetu sote, tupunguze kuchukiana na kuumizana kimwili!
Moses Machali, DC
David Kafulila, RC
Mwita Waitara, Naibu Waziri
Joshua Nassari, DC
Fakii Lulandala, DC
Julius Mtatiro, DC
Albert Msando, DC
David Silinde, Naibu Waziri,
Vincent Mashinji, DC
Mwambe, MB
Gekuli, Naibu Waziri
Juliana Shonza, MB
Patrobasi Katambi, N/W
Lijua Likali, DC
UVCCM tunajifunza nini toka kwa Vijana waliojengwa na CHADEMA wakaiponda CCM, Wamechukuliwa kuisaidia CCM[emoji404]
NCHI YETU SOTE tufanye siasa za hoja na siyo vioja na kuumizana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukikaa pale pale na nguo zako za kijani unaonekan km mti wa mgomba[emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo ukiwa CCM lazima ujitoe ufahamu,hao vijana wote huko ni misukule tuUjumbe huu nimeutoa mahali lakini author hafahamiki ila utawasaidia sana vijana hawa kujitambua na kujua kuwa ubaguzi wao na dharau kwa wengine hauna manufaa kwao;
Matokeo ya Kisiasa yanataka Moyo Sana vijana wa CCM tutulieni nchi ni yetu sote, tupunguze kuchukiana na kuumizana kimwili!
Moses Machali, DC
David Kafulila, RC
Mwita Waitara, Naibu Waziri
Joshua Nassari, DC
Fakii Lulandala, DC
Julius Mtatiro, DC
Albert Msando, DC
David Silinde, Naibu Waziri,
Vincent Mashinji, DC
Mwambe, MB
Gekuli, Naibu Waziri
Juliana Shonza, MB
Patrobasi Katambi, N/W
Lijua Likali, DC
UVCCM tunajifunza nini toka kwa Vijana waliojengwa na CHADEMA wakaiponda CCM, Wamechukuliwa kuisaidia CCM[emoji404]
NCHI YETU SOTE tufanye siasa za hoja na siyo vioja na kuumizana.
Kusanyiko la wana CCM ni sawa na shamba la migombaUkikaa pale pale na nguo zako za kijani unaonekan km mti wa mgomba[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa ukongwe wa CCM kwa nini inakosa mtu mwenye sifa ya kuwa Mkuu wa Wilaya hadi waokoleze akina Msando?CCM chama sio unga unga kama CDM.
CCM aiwezi wacha talent yenye vigezo nakuhakikishia hilo.
Mwalimu wa siasa kaziniUjumbe huu nimeutoa mahali lakini author hafahamiki ila utawasaidia sana vijana hawa kujitambua na kujua kuwa ubaguzi wao na dharau kwa wengine hauna manufaa kwao;
Matokeo ya Kisiasa yanataka Moyo Sana vijana wa CCM tutulieni nchi ni yetu sote, tupunguze kuchukiana na kuumizana kimwili!
Moses Machali, DC
David Kafulila, RC
Mwita Waitara, Naibu Waziri
Joshua Nassari, DC
Fakii Lulandala, DC
Julius Mtatiro, DC
Albert Msando, DC
David Silinde, Naibu Waziri,
Vincent Mashinji, DC
Mwambe, MB
Gekuli, Naibu Waziri
Juliana Shonza, MB
Patrobasi Katambi, N/W
Lijua Likali, DC
UVCCM tunajifunza nini toka kwa Vijana waliojengwa na CHADEMA wakaiponda CCM, Wamechukuliwa kuisaidia CCM[emoji404]
NCHI YETU SOTE tufanye siasa za hoja na siyo vioja na kuumizana.
Aiseeee !!!Kwa ukongwe wa CCM kwa nini inakosa mtu mwenye sifa ya kuwa Mkuu wa Wilaya hadi waokoleze akina Msando?
If they had done there assessment they would have known Msando hana shida ya nafasi ya ukuu wilaya.Kwa ukongwe wa CCM kwa nini inakosa mtu mwenye sifa ya kuwa Mkuu wa Wilaya hadi waokoleze akina Msando?
Hawajifunzi na hawatajifunza. Waache waendelee kukaa na chuki zao kwenye mataa.Ujumbe huu nimeutoa mahali lakini author hafahamiki ila utawasaidia sana vijana hawa kujitambua na kujua kuwa ubaguzi wao na dharau kwa wengine hauna manufaa kwao;
Matokeo ya Kisiasa yanataka Moyo Sana vijana wa CCM tutulieni nchi ni yetu sote, tupunguze kuchukiana na kuumizana kimwili!
Moses Machali, DC
David Kafulila, RC
Mwita Waitara, Naibu Waziri
Joshua Nassari, DC
Fakii Lulandala, DC
Julius Mtatiro, DC
Albert Msando, DC
David Silinde, Naibu Waziri,
Vincent Mashinji, DC
Mwambe, MB
Gekuli, Naibu Waziri
Juliana Shonza, MB
Patrobasi Katambi, N/W
Lijua Likali, DC
UVCCM tunajifunza nini toka kwa Vijana waliojengwa na CHADEMA wakaiponda CCM, Wamechukuliwa kuisaidia CCM[emoji404]
NCHI YETU SOTE tufanye siasa za hoja na siyo vioja na kuumizana.
Mtoa mada ameeleza unachokielezea wewe ila hoja yake ni kwamba hao talented hawapo CCM huko huko mpaka wachukue wa upinzani ??CCM chama sio unga unga kama CDM.
CCM aiwezi wacha talent yenye vigezo nakuhakikishia hilo.
Did I not answer you becauseright know I am too JD and about promise; what I will tell you is this Albert Msando aendi Morogolo miaka 800 and if he does I will pay you a million.Kwa ukongwe wa CCM kwa nini inakosa mtu mwenye sifa ya kuwa Mkuu wa Wilaya hadi waokoleze akina Msando?
UVCCM hata kuelewa hoja tu mtihani Aiseee!!Hajasema CCM kuwa ni timu ya mpira.
Hoja ya msingi umeielewa lakini? Soma upya mkuu!
CCM ina talent elewa achana na huyo mleta mada anaropoka tu.Mtoa mada ameeleza unachokielezea wewe ila hoja yake ni kwamba hao talented hawapo CCM huko huko mpaka wachukue wa upinzani ??
Nadhani sasa utakuwa umeelewa hoja ilipo.
Inaelekea hujui maana ya chama. Chama ni hoja na ushawishi na CCM kwenye hilo hawamo.CCM ina talent elewa achana na huyo mleta mada anaropoka tu.
Hivi nyie watu mnaijua CCM au mnaisikia tu, humu JF tunaweza kuwa na ushambenga wasiasa fulani fulani wenzetu wanatusoma tu.
Hila watu wanaokilinda hicho chama ukiwajua and how powerful they are acha tu; ukiambiwa huwezi amini.
Sometimes tujikite kuwateta tuu JF hila uwezi shindana na CCM kama akili zako timamu.
Na sisi tunaowatukana sio kwamba hatujui risk zetu; hila tunatambua ni watu ambao kwa namna gani tunaweza waponda wakativumilia.
CCM chama asikwambie mtu vingine.