nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,624
ni hatua nzuri. ni bora wafukuzwe tu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cuf si imeshanunuliwa na wale watuhumiwa waufisadi. upinzani Tanzania kwishney. hakuna tena.mnadhani kuwafukuza ni muhimu sana, Lipumba atabaki kuwa mtu muhimu katika uhai na ukuaji wa CUF, alijitolea akili,mwili na pesa kwaajili ya pesa..hakutaka kushiriki ufisadi na CHADEMA, hakika mtamkumbuka!
naona CUF INAENDESHWA NA CHADEMA
hapo anajenga hoja kichwani ngojeni timbwili lije sasa. mtamjua kama yeye ni profesa au la
hakunaga tena upinzani tz,,hata huo ukuta ni maigizo tu...kuchanganya watu..kuchelewesha maendeleo ya nchicuf si imeshanunuliwa na wale watuhumiwa waufisadi. upinzani Tanzania kwishney. hakuna tena.
Kwani walipochukuwa uwanachama walichukuwa kwa kikao kipi?Wamefukuzwa na kikao kipi? Je walupewa nafasi ya kujieleza kama katiba inavyotaka?
Vyama vya ki ujanja ujanja hivi ni hatari sana
Pumbavu gharama gani alitumia, na wakati yeye mwaka 2010 alikuwa na mbunge mmoja tu Bara, huyu mzeee bwege sanakatumia nguvu kubwa kuijenga cuf,kapoteza mengi,kuiacha mikononi mwa 'fisadi' ,lazma apambane kupgania jasho lake
Kuna profesa mmoja niliwahi kumsikia akisema kama wangekuwa wanaruhusu kurudisha PhD...angeirudisha ya kwake kwa sababu ya 'upuuzi' unaofanywa na PhD wenzake!Huyu Lipumba ni wa ajabu sijapata kuona!hivi ni profesa wa kweli au ni jina tuu..
cuf si imeshanunuliwa na wale watuhumiwa waufisadi. upinzani Tanzania kwishney. hakuna tena.
Ndio zenu ndio maana mnakataza kwenda mahakamani.Nimeongelea katiba inavyotaka huwezi kumfukuza mwanachama bila kumpa fursa ya kujieleza,kadi inachukuliwa hata stendi ya basiKwani walipochukuwa uwanachama walichukuwa kwa kikao kipi?
Wajieleze vipi zaidi ya vile walivyojieleza mbele ya mamilioni ya Watanzania live!Ndio zenu ndio maana mnakataza kwenda mahakamani.Nimeongelea katiba inavyotaka huwezi kumfukuza mwanachama bila kumpa fursa ya kujieleza,kadi inachukuliwa hata stendi ya basi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ya siasa?Ndio maana sitaki kwenda piechidii!
Hapana sio aibu kwakuwa hata majuha wana maprofesa wao na mfalme piaMaprof wengine ni aibu tupu hata kuitwa Prof
Hapana ni zile zile za wakati ule..mkataba ulikuwa na phase IISafari hii naona lipumba kapewa hela nyingi sana kiasi cha kupoteza akili zake zote zilizokuwa zimebakia
Kaka huogopi kuzingirwa?Hapana sio aibu kwakuwa hata majuha wana maprofesa wao na mfalme pia