Tetesi: Vijana waliovamia mkutano mkuu CUF wafukuzwa uanachama

Tetesi: Vijana waliovamia mkutano mkuu CUF wafukuzwa uanachama

mnadhani kuwafukuza ni muhimu sana, Lipumba atabaki kuwa mtu muhimu katika uhai na ukuaji wa CUF, alijitolea akili,mwili na pesa kwaajili ya pesa..hakutaka kushiriki ufisadi na CHADEMA, hakika mtamkumbuka!
naona CUF INAENDESHWA NA CHADEMA
cuf si imeshanunuliwa na wale watuhumiwa waufisadi. upinzani Tanzania kwishney. hakuna tena.
 
hapo anajenga hoja kichwani ngojeni timbwili lije sasa. mtamjua kama yeye ni profesa au la

hahahahahahahahhahahah...eti anajenga hoja..aende huko na hoja zake.....

amekuwepo tangu miaka na miaka .....alikuwa wapi mbona timbwili lake halijawahi kuonekana

Loosers
 
cuf si imeshanunuliwa na wale watuhumiwa waufisadi. upinzani Tanzania kwishney. hakuna tena.
hakunaga tena upinzani tz,,hata huo ukuta ni maigizo tu...kuchanganya watu..kuchelewesha maendeleo ya nchi
 
Wamefukuzwa na kikao kipi? Je walupewa nafasi ya kujieleza kama katiba inavyotaka?
Vyama vya ki ujanja ujanja hivi ni hatari sana
Kwani walipochukuwa uwanachama walichukuwa kwa kikao kipi?
 
......kweli kusoma sio kuwa na AKILI timamu .....maaana daah HESHIMA ya kuitwa MSOMI iko wap sasa.
 
katumia nguvu kubwa kuijenga cuf,kapoteza mengi,kuiacha mikononi mwa 'fisadi' ,lazma apambane kupgania jasho lake
Pumbavu gharama gani alitumia, na wakati yeye mwaka 2010 alikuwa na mbunge mmoja tu Bara, huyu mzeee bwege sana
 
Huyu Lipumba ni wa ajabu sijapata kuona!hivi ni profesa wa kweli au ni jina tuu..
Kuna profesa mmoja niliwahi kumsikia akisema kama wangekuwa wanaruhusu kurudisha PhD...angeirudisha ya kwake kwa sababu ya 'upuuzi' unaofanywa na PhD wenzake!
-----------------------
Hivi anatoa wapi nguvu za kujishusha hadhi namna hii...!!
 
cuf si imeshanunuliwa na wale watuhumiwa waufisadi. upinzani Tanzania kwishney. hakuna tena.


Pole mkuu.

Huyu aliachia ngazi kwa hiari kabisa....tukubali ukweli hafai na tusisingizie wengine.....mbona alikimbia kwa hiari tu...
 
Kwani walipochukuwa uwanachama walichukuwa kwa kikao kipi?
Ndio zenu ndio maana mnakataza kwenda mahakamani.Nimeongelea katiba inavyotaka huwezi kumfukuza mwanachama bila kumpa fursa ya kujieleza,kadi inachukuliwa hata stendi ya basi
 
Ndio zenu ndio maana mnakataza kwenda mahakamani.Nimeongelea katiba inavyotaka huwezi kumfukuza mwanachama bila kumpa fursa ya kujieleza,kadi inachukuliwa hata stendi ya basi
Wajieleze vipi zaidi ya vile walivyojieleza mbele ya mamilioni ya Watanzania live!

Wewe linakukera kufutwa uwanachama hawa, hukereki kufukuzwa wabunge waliochaguliwa na wananchi bungeni! Pathetic!
 
Inawezekana jina la huyo mwenyekiti aliyejizulu linaishia na "VU" (sasa andika jina lote)
 
Back
Top Bottom