Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Ndio kaka! Ni zaidi ya majanga.[emoji23] [emoji23] [emoji23] ya siasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kaka! Ni zaidi ya majanga.[emoji23] [emoji23] [emoji23] ya siasa?
[emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji3]Ndio kaka! Ni zaidi ya majanga.
Vizuri sana,na wafunguliwe mashitaka ya kuleta vurugu. Hawa vijana wanatumikia ccm kwa vijisent vidogo.
Jina tuuuu..Huyu Lipumba ni wa ajabu sijapata kuona!hivi ni profesa wa kweli au ni jina tuu..
Umetumia akili gani kufikiria haya? Sasa kwanini alijiuzuru??katumia nguvu kubwa kuijenga cuf,kapoteza mengi,kuiacha mikononi mwa 'fisadi' ,lazma apambane kupgania jasho lake
Profesa uchwara[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaha hilo pozi la Prof Lipumba limenichekesha kwelikweli. Utadhani siyo Professor.
Hata yeye si mlimpa pesa aropoke sasa huo pia si ufisadi ama n nnLipumba hawezi kukubali kumwachia chama fisadi atapambana mwanzo mwisho hatakubali kamwe.
Nashangaa watu wanamtetea wakati alionyesha unafki wa hali ya juu tena kwenye kipindi kibaya kabisa cha uchaguziNani alimlazimisha kujiuzulu????????? Kwani hajui kuwa ukijiuzulu ndiyo basi tena!!!!!!
Atulizane kama dactare silaaSa kama anatk kupambana kwann alijiuzuru?huyu alikokimbilia wamemtupa baada ya uchaguz kwsha ndo anatk kurud huku
upo kazini au najitia uzezet usudi!..hujui sababu iliyomfanya akae pembeni?Nashangaa watu wanamtetea wakati alionyesha unafki wa hali ya juu tena kwenye kipindi kibaya kabisa cha uchaguzi
unasemaje ndugu?upo kazini au najitia uzezet usudi!..hujui sababu iliyomfanya akae pembeni?
Hivi mbona sababu ya Lipumba kutoka huko hamuitaji? Je Mnaikumbuka?Hivi huyu Lipumba anaitakia nini CUF ilhali aliamua kuisaliti kwa vipande thalathini vya fedha toka chama tawala? Ataendelea kutumiwa na hao hadi lini huyu ?