Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Above 3Wana jf mambo vp? Eti bachelor of science with education ili upige Hadi masters Ina hitaji kama GPA ya ngapi??
Vp na kuhus course ya data science ni nzur au vp naomb mutuelekezeeVijana wamechaguliwa tena UDOM kusoma hizi course
Bachelor of Arts in English,
Bachelor of Arts History,
Bachelor of Arts Kiswahili[emoji24][emoji24][emoji24]
Ni huzuni kwa kweli.
Kuna hizi za sayansi pia
Bachelor of science in chemistry
Bachelor of science in physics
Bachelor of science in biology
Mm siyo muandishi mzuri imeniuma nimeamua niandike.
Wana JF Naomba muwashauri hawa vijana kabla hawajaenda kupoteza muda wao huko vyuoni[emoji120][emoji120]
Kosa lake nini?Acha kuwatisha watu nyie na taarifa za ovyo wewe ulieanzixha huu uzi naomba uondolewe
Acha kuwatisha watu nyie na taarifa za ovyo wewe ulieanzixha huu uzi naomba uondolewe
Mkuu analeta taharukiKosa lake nini?
BA. History au Bsc. Physics atafanya kazi gani?Mkuu analeta taharuki
Vijana wamechaguliwa tena UDOM kusoma hizi course
Bachelor of Arts in English,
Bachelor of Arts History,
Bachelor of Arts Kiswahili[emoji24][emoji24][emoji24]
Ni huzuni kwa kweli.
Kuna hizi za sayansi pia
Bachelor of science in chemistry
Bachelor of science in physics
Bachelor of science in biology
Mm siyo muandishi mzuri imeniuma nimeamua niandike.
Wana JF Naomba muwashauri hawa vijana kabla hawajaenda kupoteza muda wao huko vyuoni[emoji120][emoji120]
Bachela of science with Mathematics nayo vipi?
🤣hajira kama hajira.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakisoma hizo kozi nn wanapata cha kuja kupambana mtaani Bora hata masomo ya biasharaSi watapata degree?
Maana kuna upumbavu umekaa kwenye vichwa vya wasomi wengi kuthamini cheti na sio kilichopo kichwani na jinsi kinavyoweza kusaidia kutatua changamoto kulingana na mazingira yetu
Umewahi kusoma tangazo la KAZI kwa hii kozi either utumishi au privateBachela of science with Mathematics nayo vipi?