Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
- Thread starter
-
- #101
Tutafute hela tuwatengenezee watoto wetu maisha mazuri wakifika umri wa kujitegemea na kuondoka nyumbani mambo yawe tambalale ili mabinti wetu wasiishie kuishi maisha kama hayaSiku hizi wamewageza mademu kama bidhaa,anajule pale nikimpangia laki,ndani ya wiki mbili na mla na kutambaa na kweli huwaga hawachomoki (japo wapo ila wachache mno).Siku hizi hata ule ufundi wa kutongoza hamna na kama ukiwa na mzigo unasahau hata kutongoza.
Kwa kifupi pesa imerahisisha sana upatikanaji wa ngono, japo wanawake wanaona kama wanatukomoa.Kuthaminisha ngono pesa,kumewafanya wanawake wawe na grade, kuna wa buku,buku mbili, buku tano,buku kumi,elfu 20,laki na kuendelea.So kinacho bakia ni mfuko wa mwanaume,ndio utakao amua aende na grade ipi.
Ila wapo mabinti ambao wazazi wao hawana hela nyingi kivile ila wamewafunza vizuri ni maana ya utu, kujiheshimu na hofu ya Mungu. Sometimes si kiwango cha fedha mzazi alichokuwa nacho bali,uliwafunza nini hao mabinti zako. Mfano Wema baba yake alikuwa balozi, Uwoya baba yake alikuwa rubani ,ila nazani tabia zao nazani unazijua.Tutafute hela tuwatengenezee watoto wetu maisha mazuri wakifika umri wa kujitegemea na kuondoka nyumbani mambo yawe tambalale ili mabinti wetu wasiishie kuishi maisha kama haya
Yap kesi kama izo zipo lakini nafikiri sababu kubwa pia ni umasikini ukijumlisha na hizi media na maigizo ya hollywood basi mabinti ndo akili zao zimepumbazwa kabisa. Kina binti wa dada angu sasa hivi yupo chuo yaani akiniambiaga tu anko nina shida fulani nampa hela fasta fasta maana najua nikimcheleweshea tu kinachofuata ni kudangaIla wapo mabinti ambao wazazi wao hawana hela nyingi kivile ila wamewafunza vizuri ni maana ya utu, kujiheshimu na hofu ya Mungu. Sometimes si kiwango cha fedha mzazi alichokuwa nacho bali,uliwafunza nini hao mabinti zako. Mfano Wema baba yake alikuwa balozi, Uwoya baba yake alikuwa rubani ,ila nazani tabia zao nazani unazijua.