Vijana wanasema hadharani kabisa kwamba wananunua sex

Vijana wanasema hadharani kabisa kwamba wananunua sex

MKE wako mweneyewa anakudangia mazaoo anamdangia babako kwa miaka...kinachokushangaza NI uwazi walionao ma gen z...hakuna longolongo wanajua anachotaka mwanamke NI hel a na mwanaume anataka tundu so nope nikupe
Kuna mambo ambayo sio busara kuyajadili hadharani
 
If you can pay for convenience, do it. Mambo ya stori za gesi imeisha, sijui baba anaumwa mara kuulizana maswali ya kijinga kijinga sijui umekula nini baby etc. haviendani na kasi ya maisha ya sasa haswa kwa tusiopenda drama. Njoo na price tag yako tumalizane mapema na tusisumbuane
Lamomy tujajie bei bwana watu hatutaki mambo ya baba anaumwa mara bby umekula nini
 
Lamomy tujajie bei bwana watu hatutaki mambo ya baba anaumwa mara bby umekula nini
Kwa mujibu wa Gen Z nilivyosikia story zao pisi ya kiwango cha kawaida ambae sio mtu maarufu mjini bei elekezi ni 20k-30k kwa usiku mmoja zaidi ya hapo umepigwa. Bei ya yas ni makubaliano ila inaongezeka kidogo kutoka iyo bei tajwa hapo juu
 
Huwa nilipita pale sinza
Malaya:20k wewe ndo mteja wangu wa kwanza unaenda kuifungua
Mimi:Sitaki kifo cha mende nataka unipe mbong'eo
Malaya:Usijali na parachute ipo😅
 
Mfano una mtoto wa kiume amefikiaha umri wa kujitegemea na ameondoka nyumbani. Wewe kama baba utamshauri aoe au abaki single na utakapobanwa na upwiru anunue dadapoa?
Inategemea Ila mimi kama mzazi nitampa hela za kuhonga Ila sio kununua wale wanaogongwa sana
 
If you can pay for convenience, do it. Mambo ya stori za gesi imeisha, sijui baba anaumwa mara kuulizana maswali ya kijinga kijinga sijui umekula nini baby etc. haviendani na kasi ya maisha ya sasa haswa kwa tusiopenda drama. Njoo na price tag yako tumalizane mapema na tusisumbuane
Hii ni kweli mkuu
 
Huwa nilipita pale sinza
Malaya:20k wewe ndo mteja wangu wa kwanza unaenda kuifungua
Mimi:Sitaki kifo cha mende nataka unipe mbong'eo
Malaya:Usijali na parachute ipo😅
😀😀😀😀 hii road ya kuanzia kumekucha mpaka ustawi wa jamii sijapita miaka mingi sana. Pale mori giza likiingia tu walikua wanajipanga pembeni ya bmax club. Siku moja niliingia kwenye atm ya pale sheli ya upande wa pili ile natoka si wakaniona bhana ilikua balaa
 
😀😀😀😀 hii road ya kuanzia kumekucha mpaka ustawi wa jamii sijapita miaka mingi sana. Pale mori giza likiingia tu walikua wanajipanga pembeni ya bmax club. Siku moja niliingia kwenye atm ya pale sheli ya upande wa pili ile natoka si wakaniona bhana ilikua balaa
Asee wananusa hela wale mamazi
 
Katika pitapita zangu nikatulia sehemu moja hivi ambapo kwa pembeni yangu kulikua na vijana mchanganyiko wanapiga story. Sikuwahi kufikiria kama itafika wakati wanaume watajitokeza hadharani na kukubali waziwazi kwamba wananunua sex, lakini leo hii imekua kawaida.

Kiukweli maongezi yao hayakunistaajibisha kivile lakini kuna masuala yalinijia akilini na kubaki natafakari zaidi. Nikaanza kufikiria kama jamii, imekuaje tumefika hapa.

Mimi sio Gen Z, nimezaliwa na kukua katika generation ambayo wanaume walikua comfortable with chesting billing from women whom they liked so they could have sex, ni generation ambayp iliamini ukimpenda mwanamke basi bill zake zinakua ni wajibu wako.

Unalipa kodi, unamalizia nyumba yake, umamsomesha, unasaidia ndugu zake n.k. Wanaume wengi walikua wanafanya hivi bila malalamiko. Then, why these Gen Z young men did not inherit this patience or threshold of tolerance and endurance?

They don't understand why they should put women in their lives on a monthly allowance when they could spend less to have the same sex which is the end game of all the spending and billing.

Hapa tuelewane kwamba, ukahaba ulikuwepo tangu kitambo, haujaanza leo, lakini kasi ya uongezekaji wa hii biashara inatisha. Pia ieleweke ninavyosema ukahaba simaanishi wanaojipanga barabarani tu, hapa namaanisha mpaka wale wanaojiuza indirect kwa kujificha kwenye kichaka cha matunzo

So, for these Gen Z boys paying for sex is better and gives better returns than going through the mechanics of relationship because you spend more in relationships.

Sipo hapa kuwatetea hawa madogo, but we need to have honest conversation about why younger men are avoiding commitments and relationships, rather they opted for paid sex? i think i know why:

Mahusiano ya kimapenzi tayari yashakua full-blown commercial transaction.

Si unanipenda.! basi ni wajibu wako kinihudumia mahitaji yangu, ku-sponser my extravaganda life style n.k. Hii ndio mindset ya wanawake tulio nao kwenye jamii leo hii.

Kwa upande wa wanawake ni sawa lakini kwa hawa Gen Z boys inagoma kuingia akilini, ndio maana hawaitaki idea ya monogamous relationship ambapo unatumia kiasi kikubwa zaidi kwa ajiri ya kupata sex in return.

Hapa ndipo vijana wanaona cheap and fast option ni kulipia tu. Baada ya tendo no attachment, no billing. Kama end goal ni kupata sex sasa kwanini utoe laki kumnunulia demu wigi wakati unaweza piga pisi ya kiwango kizuri tu kwa elfu 30?

Before now relationahip were meant for two people who likes each other to underatand other aspects of each other's lives and see whether they were compatible to spend the rest of their lives together. But now we turned it into commercial transaction.

Ukimtembelea demu wako nenda na zawadi, akija kukutembelea umlipie nauli na posho ya kuja wakati akiwa anaondoka. Kwa sasa ukimuomba tu namba mwanamke ni kama umesaini mkataba wa ku-adopt mtoto yatima. Hapa ndipo Gen Z wanaona mambo yasiwe mengi, anaingia telegram ana-import mzigo geto.

Nikiwa kama mzazi mpya huwa namwangalia huyu mwanangu ambae kwa sasa ana miezi miwili tu, nafikiria atakapoingia mtaani sijui atakutana na ulimwengu wa aina gani
Siku hizi wamewageza mademu kama bidhaa,anajule pale nikimpangia laki,ndani ya wiki mbili na mla na kutambaa na kweli huwaga hawachomoki (japo wapo ila wachache mno).Siku hizi hata ule ufundi wa kutongoza hamna na kama ukiwa na mzigo unasahau hata kutongoza.

Kwa kifupi pesa imerahisisha sana upatikanaji wa ngono, japo wanawake wanaona kama wanatukomoa.Kuthaminisha ngono pesa,kumewafanya wanawake wawe na grade, kuna wa buku,buku mbili, buku tano,buku kumi,elfu 20,laki na kuendelea.So kinacho bakia ni mfuko wa mwanaume,ndio utakao amua aende na grade ipi.
 
Back
Top Bottom