Vijana wanasema hadharani kabisa kwamba wananunua sex

Vijana wanasema hadharani kabisa kwamba wananunua sex

Sawa tu,zaman kipindi hawajaanza hii mbinu ya kuomba omba kuna wajinga walikuwa wanawatumia vibaya,unakuta mfano wkend jamaa anawagonga mpaka kumi kwa siku afu bure tu na wengine wanamfumania anawafukuza na kuwatukana lakin sahv huo ujinga huwez fanya maana kila anaekuja anataka kuondoka na hela au kabla hajaja umrushie hela
Yeah ila kiukweli Wasichana wametumika vibaya sana. Ile wengi pia kwa ujinga wao wa tamaa.
 
Ndio maana tukasema wanawake Asilimia 95 hujiuza either direct or indirect so ukifahamu hilo hutoumia kichwa kamwe juu yao,
Nakubaliana kabisa na ilo la kujiuza direct or indirect lakini biashara ifanyike kwa busara yaani kwa vificho na kufichiana siri za wauzaji na wananunuaji, sasa hili la watu kuweka wazi hadharani kabisa kama wanapoga story za ronaldo nq messi halafu inaonekana ni kawaida linafikirisha kidogo
 
Tàtizo lako nini? Hujui kiswahili au unataka tujue wewe ni wa kishua umeishi hukooo àu ..,.
Ila wauzaji miili wanauza hàdharani sasa unashangaa nini kuongea hàdharani?
Ndio mkuu mimi wa kishua kiswahili hakipandi vizuri
 
Havai mpira...akumbushwe tuu kwamba USAID imefutwa
IMG-20250207-WA00601.png
 
Ukileta Mambo, ya Mapenzi mwanamke ndo anafaidika na hilo Jambo kununua. Kuliko Kutafuta mawazo,
Ni kweli mkuu popote panapojumuisha hisia za binadamu hakuna guaranteed return ya uwekezako wako. Hisia zinabadilika, watu wanakua bored
 
Ni kweli mkuu popote panapojumuisha hisia za binadamu hakuna guaranteed return ya uwekezako wako. Hisia zinabadilika, watu wanakua bored
Usiwekeze Hisia + Pesa, Mali ktk mapenzi utapata shida sana( Mwanaume)
Mwanamke Hana cha kupoteza ktk Maisha yake.
Kwa upande wangu naona Bora mtu anenunua maana anakua Hana majukumu yasio muhusu, maana mwanamke anakuja kwako kwa Faida Tu, akiona Faida hazipo hapo mwanamke lazima ataondoka.
 
Huko napo pia changamoto ila hayo malezi hayatasaidia kitu kama hiyo mwanaume nguvu zake ya uzalishaji wa pesa hazikidhi mahitaji ya mwanamke
Kwaiyo solution ni kuwa sex worker?. Hawezi kutafuta kazi ili aongezee hapo kwenye baki ambayo mwanaume kashindwa au akatulia kwa wazazi wake mpaka atakapompata mwanaume ambae anaweza ku-sponser lifestyle yake kwa 100%?

Let say you have a daughter, can you advice her to fvck strangers for money so she can finance her life?
 
Usiwekeze Hisia + Pesa, Mali ktk mapenzi utapata shida sana( Mwanaume)
Mwanamke Hana cha kupoteza ktk Maisha yake.
Kwa upande wangu naona Bora mtu anenunua maana anakua Hana majukumu yasio muhusu, maana mwanamke anakuja kwako kwa Faida Tu, akiona Faida hazipo hapo mwanamke lazima ataondoka.
Mfano una mtoto wa kiume amefikiaha umri wa kujitegemea na ameondoka nyumbani. Wewe kama baba utamshauri aoe au abaki single na utakapobanwa na upwiru anunue dadapoa?
 
Kwaiyo solution ni kuwa sex worker?. Hawezi kutafuta kazi ili aongezee hapo kwenye baki ambayo mwanaume kashindwa au akatulia kwa wazazi wake mpaka atakapompata mwanaume ambae anaweza ku-sponser lifestyle yake kwa 100%?

Let say you have a daughter, can you advice her to fvck strangers for money so she can finance her life?
I wasn't talking about the daughter, I'm talking about the men; most people don't invest in relationships because it's too expensive to do so
 
Mfano una mtoto wa kiume amefikiaha umri wa kujitegemea na ameondoka nyumbani. Wewe kama baba utamshauri aoe au abaki single na utakapobanwa na upwiru anunue dadapoa?
Hayo ni maamuzi yake, Maisha ni Maamuzi Binafsi kumshauri mtu ni kupoteza mda wako, hata mtu akikufuata kuomba ushauri, anakua Tayari ana majibu yake ila anakuuliza kama mtego Ili aone mawazo yake.
 
Back
Top Bottom