Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Good
 
Wote mnataka kuwa bilionea?

That is not life reality!!

Take a look at the universe and all is creation, you will realize diversity is universe reality

You become who you were meant to be!

A cat can't be a lion

Monkey can't be an elephant

Those meant to be business man will always find a way to be in business

But I'm surely telling you... there's bunch of people who are made to serve as workers

These can be acknowledged by looking all business run by bilionea and tilionea have employed majority of us and these is the reality.


By these... I Call for those meant to be workers to develop themselves and be creative enough to alleviate all the financial constraints facing them

And those employee others should straive to pay descent renumeration for their workers including government

There is no problem with being an employee...but the poor wages paid.

Dear professionals... kindly don't leave our school and universities running to to do business

We really need you for the call God has given you

Let's unite together fighting for the rights and well-being of all works in our nation for the betterment of our society


Tuheshimiane sote

Watumishi kongore kwenu

Wafanyabihashara na wajasiliamali hongera kwenu


Gap za maisha is Life reality and not inferiority

Kind regards
 
Mkuu tukipata ubilionea watu 200 wa humu jf kuna ubaya gani?
Watu wa kutumikishwa bado watabaki wengi sana hawawezi kuisha.
 
Mkuu tukipata ubilionea watu 200 wa humu jf kuna ubaya gani?
Watu wa kutumikishwa bado watabaki wengi sana hawawezi kuisha.
Hakuna shida kabisa
I'm against the mindset that being employed is something to be looked down
 
Jambo la Msingi kama unataka kuacha kazi na kujiajiri ni kuwa na Malengo ya biashara na uwe na commitment ya kuanza na kidogo ulichonacho ukiwa bado umeajiriwa unaweza ukachukua hata mshahara wa mwezi mmoja ukaanzia hii inakusaidia kugain experience wakati unapunguza risk ya kupoteza pesa nyingi kwa wakati mmoja kitu kingine jipe muda Kila siku wa kuifanya mwenyewe hiyo biashara yako hata kama umemuajiri mtu
 
Kwa mimi bora niajiriwe, kwa sababu naona kama unakuwa umejihakikishia pesa fulani kila mwezi. Kunawatu wanasema ati ukijiajiri unakuwa huru, lakin mimj naona waajiriwa wako huru zaid, na walijiajiri wako busy sana na kazi kwa sababu wanajua wakizembea hawatapat kitu.
lakin pia risk ni kubwa sana, mim nimewaona watu wakiacha kazi na kuingia kwenye biashara na kilimo. Kiukweli nimewaona asilimia chini ya hamsini wakifanikiwa. Ila wengi wameishia kuanguka na wanatafuta kazi kwenye private school. Kilimo hakiaminiki na biashara inaanguk mda wowote au kukua muda wowote.

Mwisho, kama wew kichwa chako ni cha biashara basi usitegemee kutoka kinaisha kwa kuwa mfanyakazi, kwasabau kanuni ya mfanya biashara ni kwamba ukifanya kazi sana na kipato kitakuwa kikubwa na kwenye ajira hata ufanye kazi sana mshahara utabaki pake pale regardless of efforts you made
Ila kuajiriwa kuna raha yake
 
Mkuu uko sahihi.
Kwenye kujiajiri ukiingia kwa kukaririshwa unapotea mazima.
Ndio maana wajanja huwa wanafanya biashara huku wameajiriwa pia.
Assume Kuna jamaa mmoja tulikuwa tunafanya naye kazi.
Alikuwa ana biashara kubwa tu ya kuagiza magari na kuuza na pia ana daladala/coaster zake zaidi ya 10 mjini dar.
Na mshahara wake ulikuwa ni wa kawaida tu Kama milioni 2 tu lkn hakuthubutu kuacha kazi.
 

Wazo lako liliishia wapi mkuu?
 
sisi tusio hata na computer tutawaambia nn watu
 
kozi ya environmental sciences and management inayotoleawa ardhi kwa level ya degree yupo ndugu amemaliza ila anatafuta mwanga wa kujiajiri mwenyewe. kuanza kujiajiri kwa mtaji mdogo. cpa hajapitia (nemc) naombeni msaada
 
kozi ya environmental sciences and management inayotoleawa ardhi kwa level ya degree yupo ndugu amemaliza ila anatafuta mwanga wa kujiajiri mwenyewe. kuanza kujiajiri kwa mtaji mdogo. cpa hajapitia (nemc) naombeni msaada
Kujiajiri sio lazima utumie hyo fani yako bali ni ubunifu wako tu wa kujifunza vitu mbalimbali.
Unaposema kujiajiri kwa kutumia hyo fani ni kwa kujipanga sana maana yake utahitajika usajili kampuni uwe contractor au consultant na kuanza kutafuta tender Kama unavyowaona contractors wa civil engineering.
Kwa hyo sio Jambo la mchezo mchezo kwamba umetoka chuo tu na kukurupuka.
 
Me nikushauli mkuu jitahid kubuni kitu ambacho Lipo nje ya fan yako then baadae uje ujiajiri huko unakotaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…