Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Mkuu Wolfpack ni kweli bila risk biashara haianzi. Ndio maana watu matajiri wenye mabiashara makubwa marekani kama kina Warren Buffet hutaka kufanya ubia kupunguza risk.
Hili naona kwa Tz, wanaoliweza ni ndugu zetu wa Kilimanjaro na wakinga. Na sijui kwanini watu hawapendi kufanya hata research na kwa Tz unaweza kumuliza mtu info ya biashara akakupa bure bila gharama au kama hapa jf. Na tatizo linguine kubwa ambalo linatufanya wa TZ wengi wakafeli lakini hayo makabila 2 yanaliweza ni supervision, kiukweli 75% ya wafanyakazi na supervisors ukimuajiri anataka matatizo ayamalize kwa mkupuo kabla hata mtaji haijarudshwa hata kama mmeuchukua bank haujarudi. Mfano biashara ya Bajaj nadhani mtaji hauzidi 10M sasa driver ukimpa aiendeshe anataka yeye pesa ya kwanza kukusanya kwa siku atoe 15,000 yake, wewe mwenye biashara upate 10,000 za mwisho kama zikibaki, kama hazikubaki basi akudanganye ndio maana wachaga wakaona bora wampee akusanye mfano 15M Bajaj iwe ya driver hapo Kiswahili kinakuwa hamna na hii ni kwa biashara nyingi, tuzidi kumuomba na Mungu na kuwashukuru wanaotoa mawazo endelevu.Ila jamani walimu wetu tuwasaidie wanafunzi kusoma vitabu na wanafunzi tujifunze kujisomea vitabu, hamna njia nzuri ya kujifunza kama kusoma vitabu , nawashukuru waliotoa vitabu humu. Kwa wastani mtu ukifanya mazoezi ya kawaida unaweza kusoma karatasi za vitabu mpaka karatasi 200 kwa siku bila kuleta shida kwenye ratiba yako kila siku.

Financial education ni muhimu, hiki ni kitu ambacho hakifundishwi mashuleni au vyuoni ni kuvpata kwenye vtabu tu. Mwanafunzi mmoja alimuuliza mwalimu, kama tuna soma ili tuje tutafute pesa baadae kuna haja gani yakusoma masomo yote haya! Kwanini msitufundishi moja kwa moja namna ya kutafuta izo pesa? In short ni watu wachache sana hufanikiwa kutoka kwenye hii system. Pia mkuu asante sana maana uli chokisema ni kweli mtupu.

NOTE: mpuuze mtu ambae unamwomba ushauri wa kibiashara alafu anakwambia higo biashara haina faida alafu ukimwangalia yeye hata pipi hajawai kuuza. Nimejifunza kuwa ni kosa sana kuomba ushauri wa kibiashara fulani mfano unampanvo wa kufungua pub, duka la nafaka au stationary alafu ushauri unaenda kuupata kwa mtu ambae ni none of the above hajawai fanya usitegemee ushauri wake ni realistic lahasha ushauri wake umebase on assumptions na ni more of ideology japo pia ni vema kumsikiliza ila upate idea pengine asemalo nikutokana pia aliyo yaona kwa wengine sasa basi baada ya hapo wale walengwa ambao wako wanapambania kombe kwwnye biashara hizo unawafuata na kuzungumza sasa hawa ndio wanatoa madini ukitoka hapo ukachanganya na ya wale watazamaji na ukachanganya na akili yako lazma utapata majibu. Saivi kuna msemo watu tunasema ooh maisha magumu biashara zinafungwa sawa ndio maisha magumu na biashara zinafungwa ila iyo sio sababu ya ww kutokufanya biashara pengine hata uyo anaesema hivo hata biashara hajui na hajawai fanya. Najua humu ndani kuna wachumi....wote tunafahamu upatikanaji wa pesa ukiwa mrahisi basi kuna tatzo kubwa sana kiuchumi ila ukiwa mgumu basi tunapelekea pengine pana unafuu au pazuri correct me if I am wrong!
 
Financial education ni muhimu, hiki ni kitu ambacho hakifundishwi mashuleni au vyuoni ni kuvpata kwenye vtabu tu. Mwanafunzi mmoja alimuuliza mwalimu, kama tuna soma ili tuje tutafute pesa baadae kuna haja gani yakusoma masomo yote haya! Kwanini msitufundishi moja kwa moja namna ya kutafuta izo pesa? In short ni watu wachache sana hufanikiwa kutoka kwenye hii system. Pia mkuu asante sana maana uli chokisema ni kweli mtupu.

NOTE: mpuuze mtu ambae unamwomba ushauri wa kibiashara alafu anakwambia higo biashara haina faida alafu ukimwangalia yeye hata pipi hajawai kuuza. Nimejifunza kuwa ni kosa sana kuomba ushauri wa kibiashara fulani mfano unampanvo wa kufungua pub, duka la nafaka au stationary alafu ushauri unaenda kuupata kwa mtu ambae ni none of the above hajawai fanya usitegemee ushauri wake ni realistic lahasha ushauri wake umebase on assumptions na ni more of ideology japo pia ni vema kumsikiliza ila upate idea pengine asemalo nikutokana pia aliyo yaona kwa wengine sasa basi baada ya hapo wale walengwa ambao wako wanapambania kombe kwwnye biashara hizo unawafuata na kuzungumza sasa hawa ndio wanatoa madini ukitoka hapo ukachanganya na ya wale watazamaji na ukachanganya na akili yako lazma utapata majibu. Saivi kuna msemo watu tunasema ooh maisha magumu biashara zinafungwa sawa ndio maisha magumu na biashara zinafungwa ila iyo sio sababu ya ww kutokufanya biashara pengine hata uyo anaesema hivo hata biashara hajui na hajawai fanya. Najua humu ndani kuna wachumi....wote tunafahamu upatikanaji wa pesa ukiwa mrahisi basi kuna tatzo kubwa sana kiuchumi ila ukiwa mgumu basi tunapelekea pengine pana unafuu au pazuri correct me if I am wrong!
Well said brother. Uko sahihi kabisa
 
Research ya biashara inahitaji uifanye kwa wafanya biashara wa aina tofauti fauti ili kupata jibu sahihi
Financial education ni muhimu, hiki ni kitu ambacho hakifundishwi mashuleni au vyuoni ni kuvpata kwenye vtabu tu. Mwanafunzi mmoja alimuuliza mwalimu, kama tuna soma ili tuje tutafute pesa baadae kuna haja gani yakusoma masomo yote haya! Kwanini msitufundishi moja kwa moja namna ya kutafuta izo pesa? In short ni watu wachache sana hufanikiwa kutoka kwenye hii system. Pia mkuu asante sana maana uli chokisema ni kweli mtupu.

NOTE: mpuuze mtu ambae unamwomba ushauri wa kibiashara alafu anakwambia higo biashara haina faida alafu ukimwangalia yeye hata pipi hajawai kuuza. Nimejifunza kuwa ni kosa sana kuomba ushauri wa kibiashara fulani mfano unampanvo wa kufungua pub, duka la nafaka au stationary alafu ushauri unaenda kuupata kwa mtu ambae ni none of the above hajawai fanya usitegemee ushauri wake ni realistic lahasha ushauri wake umebase on assumptions na ni more of ideology japo pia ni vema kumsikiliza ila upate idea pengine asemalo nikutokana pia aliyo yaona kwa wengine sasa basi baada ya hapo wale walengwa ambao wako wanapambania kombe kwwnye biashara hizo unawafuata na kuzungumza sasa hawa ndio wanatoa madini ukitoka hapo ukachanganya na ya wale watazamaji na ukachanganya na akili yako lazma utapata majibu. Saivi kuna msemo watu tunasema ooh maisha magumu biashara zinafungwa sawa ndio maisha magumu na biashara zinafungwa ila iyo sio sababu ya ww kutokufanya biashara pengine hata uyo anaesema hivo hata biashara hajui na hajawai fanya. Najua humu ndani kuna wachumi....wote tunafahamu upatikanaji wa pesa ukiwa mrahisi basi kuna tatzo kubwa sana kiuchumi ila ukiwa mgumu basi tunapelekea pengine pana unafuu au pazuri correct me if I am wrong!
 
Niliajiriwa Kwa muda Wa miaka 10 lkn hata siku moja sikuwahi kufurahia kazi yangu sikuacha ila kampun ilikufa lkn nilikuwa nishajipanga kufanya biashara ambayo sikujua ni biashara gani.
Nimesomea biashara hivyo naelewa ups and down sasa bas ile hela kwanza nikaiweka sehem iongezeke kidogo wakati nafanya research ya biashara.
Nilipata karibu Mara mbili ya kile nilichowekeza sasa bas nikaanza biashara unajua kilichotokea?
Nilipoteza hela,ingawa najua kuna kukosa kabisa na kupata kwenye biashara lkn ilikuwa karibu nife Kwa mawazo.Nikatulia nikamuomba mtu mtaji nikaanza na biashara ya Chini kabisa ya mtaji wa elf 50,sikuona aibu, nikawa mvumilivu,nikawa natumia kidogo mtaji ukakua ulivyokua nikaacha ile biashara.
Nikaanza biashara nyingine ya mtaji Wa juu kidogo,ile biashara niliifanya ndani ya mwaka mtaji ukakua zaidi.
Nikaacha nikafikiria kufanya biashara ya hadhi yangu nilianza na kile nilichokuwa nacho nikaomba mkopo nikaongezea Nina mwaka sasa na nafikiria kufungua nyingine.
Kwa wale wanaotaka kuacha kazi na kufanya biashara mnapaswa kukumbuka yafuatayo:
1: Si kila mtu anayeweza kufanya biashara
2: Ukitaka kufika ngazi ya kumi lazima uanze ya kwanza ya pili na kuendelea ili ufikie lengo
3: Usisikilize stori za mtaani Mara Fanya hivi inalipa Mara Fanya vile nop! Fanya research ya kutosha
4: Kwenye biashara utegemee hasaraa na faida
5: kamwe usikate tamaa ukisema unaweza utaweza tu kikubwa juhudi
Nadhani mtakuwa mmepata mwanga.
 
Achana na watu wanaokuambia kuajiriwa ni dhambi. Wewe ndo unajua hali yako, majukumu yako na ndoto zako. Tumia akili yako, chuja na jiongeze. Mitandaoni kama ilivyo mtaani, kuna wengi wanaohubiri ambayo hata wao hawayaishi. TAKECAKE
 
Achana na watu wanaokuambia kuajiriwa ni dhambi. Wewe ndo unajua hali yako, majukumu yako na ndoto zako. Tumia akili yako, chuja na jiongeze. Mitandaoni kama ilivyo mtaani, kuna wengi wanaohubiri ambayo hata wao hawayaishi. TAKECAKE
Tushauriane, tutahadharishane, tupeane moyo, tupeane mbinu, tukumbushane changamoto, ndio lengo la uzi huu mkuu
 
Niliajiriwa Kwa muda Wa miaka 10 lkn hata siku moja sikuwahi kufurahia kazi yangu sikuacha ila kampun ilikufa lkn nilikuwa nishajipanga kufanya biashara ambayo sikujua ni biashara gani.
Nimesomea biashara hivyo naelewa ups and down sasa bas ile hela kwanza nikaiweka sehem iongezeke kidogo wakati nafanya research ya biashara.
Nilipata karibu Mara mbili ya kile nilichowekeza sasa bas nikaanza biashara unajua kilichotokea?
Nilipoteza hela,ingawa najua kuna kukosa kabisa na kupata kwenye biashara lkn ilikuwa karibu nife Kwa mawazo.Nikatulia nikamuomba mtu mtaji nikaanza na biashara ya Chini kabisa ya mtaji wa elf 50,sikuona aibu, nikawa mvumilivu,nikawa natumia kidogo mtaji ukakua ulivyokua nikaacha ile biashara.
Nikaanza biashara nyingine ya mtaji Wa juu kidogo,ile biashara niliifanya ndani ya mwaka mtaji ukakua zaidi.
Nikaacha nikafikiria kufanya biashara ya hadhi yangu nilianza na kile nilichokuwa nacho nikaomba mkopo nikaongezea Nina mwaka sasa na nafikiria kufungua nyingine.
Kwa wale wanaotaka kuacha kazi na kufanya biashara mnapaswa kukumbuka yafuatayo:
1: Si kila mtu anayeweza kufanya biashara
2: Ukitaka kufika ngazi ya kumi lazima uanze ya kwanza ya pili na kuendelea ili ufikie lengo
3: Usisikilize stori za mtaani Mara Fanya hivi inalipa Mara Fanya vile nop! Fanya research ya kutosha
4: Kwenye biashara utegemee hasaraa na faida
5: kamwe usikate tamaa ukisema unaweza utaweza tu kikubwa juhudi
Nadhani mtakuwa mmepata mwanga.
Achana na watu wanaokuambia kuajiriwa ni dhambi. Wewe ndo unajua hali yako, majukumu yako na ndoto zako. Tumia akili yako, chuja na jiongeze. Mitandaoni kama ilivyo mtaani, kuna wengi wanaohubiri ambayo hata wao hawayaishi. TAKECAKE
 
Niliajiriwa Kwa muda Wa miaka 10 lkn hata siku moja sikuwahi kufurahia kazi yangu sikuacha ila kampun ilikufa lkn nilikuwa nishajipanga kufanya biashara ambayo sikujua ni biashara gani.
Nimesomea biashara hivyo naelewa ups and down sasa bas ile hela kwanza nikaiweka sehem iongezeke kidogo wakati nafanya research ya biashara.
Nilipata karibu Mara mbili ya kile nilichowekeza sasa bas nikaanza biashara unajua kilichotokea?
Nilipoteza hela,ingawa najua kuna kukosa kabisa na kupata kwenye biashara lkn ilikuwa karibu nife Kwa mawazo.Nikatulia nikamuomba mtu mtaji nikaanza na biashara ya Chini kabisa ya mtaji wa elf 50,sikuona aibu, nikawa mvumilivu,nikawa natumia kidogo mtaji ukakua ulivyokua nikaacha ile biashara.
Nikaanza biashara nyingine ya mtaji Wa juu kidogo,ile biashara niliifanya ndani ya mwaka mtaji ukakua zaidi.
Nikaacha nikafikiria kufanya biashara ya hadhi yangu nilianza na kile nilichokuwa nacho nikaomba mkopo nikaongezea Nina mwaka sasa na nafikiria kufungua nyingine.
Kwa wale wanaotaka kuacha kazi na kufanya biashara mnapaswa kukumbuka yafuatayo:
1: Si kila mtu anayeweza kufanya biashara
2: Ukitaka kufika ngazi ya kumi lazima uanze ya kwanza ya pili na kuendelea ili ufikie lengo
3: Usisikilize stori za mtaani Mara Fanya hivi inalipa Mara Fanya vile nop! Fanya research ya kutosha
4: Kwenye biashara utegemee hasaraa na faida
5: kamwe usikate tamaa ukisema unaweza utaweza tu kikubwa juhudi
Nadhani mtakuwa mmepata mwanga.
Mkuu nimeona niongezee iyo mana vijana wanlishana mno matango poli mtaani huku, mwisho mtu anakufa kwa mawazo, kama kampuni moja imeshawish sana watu kuacha kazi na kuanza kuuza dawa, sasa walipo ni hatari watu wana mawazo hatari
 
Mkuu nimeona niongezee iyo mana vijana wanlishana mno matango poli mtaani huku, mwisho mtu anakufa kwa mawazo, kama kampuni moja imeshawish sana watu kuacha kazi na kuanza kuuza dawa, sasa walipo ni hatari watu wana mawazo hatari
Usishawishiwe na mtu kuacha kazi acha kwa malengo yako mwenyewe
 
Niliajiriwa Kwa muda Wa miaka 10 lkn hata siku moja sikuwahi kufurahia kazi yangu sikuacha ila kampun ilikufa lkn nilikuwa nishajipanga kufanya biashara ambayo sikujua ni biashara gani.
Nimesomea biashara hivyo naelewa ups and down sasa bas ile hela kwanza nikaiweka sehem iongezeke kidogo wakati nafanya research ya biashara.
Nilipata karibu Mara mbili ya kile nilichowekeza sasa bas nikaanza biashara unajua kilichotokea?
Nilipoteza hela,ingawa najua kuna kukosa kabisa na kupata kwenye biashara lkn ilikuwa karibu nife Kwa mawazo.Nikatulia nikamuomba mtu mtaji nikaanza na biashara ya Chini kabisa ya mtaji wa elf 50,sikuona aibu, nikawa mvumilivu,nikawa natumia kidogo mtaji ukakua ulivyokua nikaacha ile biashara.
Nikaanza biashara nyingine ya mtaji Wa juu kidogo,ile biashara niliifanya ndani ya mwaka mtaji ukakua zaidi.
Nikaacha nikafikiria kufanya biashara ya hadhi yangu nilianza na kile nilichokuwa nacho nikaomba mkopo nikaongezea Nina mwaka sasa na nafikiria kufungua nyingine.
Kwa wale wanaotaka kuacha kazi na kufanya biashara mnapaswa kukumbuka yafuatayo:
1: Si kila mtu anayeweza kufanya biashara
2: Ukitaka kufika ngazi ya kumi lazima uanze ya kwanza ya pili na kuendelea ili ufikie lengo
3: Usisikilize stori za mtaani Mara Fanya hivi inalipa Mara Fanya vile nop! Fanya research ya kutosha
4: Kwenye biashara utegemee hasaraa na faida
5: kamwe usikate tamaa ukisema unaweza utaweza tu kikubwa juhudi
Nadhani mtakuwa mmepata mwanga.
Asante sana mkuu kwa input yako. Upo sahihi kabsa tatzo wengi wakiwaza biznes wanawaza kuanza juu badala ya kuanza chini. Upo ryt kaka
 
Babu,., Maisha si kama movie kama watu wengine wanavyofikiria. Eti sterling hauawi.., Yote yanawezekana (+or-) kama usipokuwa makini.
Kuacha kazi inawezekana lakini hakikisha una source ya kipato cha kudumu hata kama ni kidogo (kipato halali e.g kama biashara basi ipo kihalali yaan inalipiwa kodi,. kama shamba basi ni lako si la kukodi,.kama gari ya biashara ni yako na unaendesha mwenyewe kwa kuanzia.)
Mimi ni mfanyakazi wa serikalini nina umri wa miaka 34,.nina miaka 4 tangu nimeajiriwa laakini sifikirii kudumu katika kazi hii chamsingi nasset kipato imara mtaani kwanza.
 
Icho nacho
IMG_20190520_145542.jpeg
 
Heshima kwenu viongozi

Nimeona ni vyema na sisi wenye lengo la kuacha kazi tukawa na uzi wetu kama wenye agenda nyingine walivyoanzisha uwanja wao.

Lengo la nyuzi hii ni kupeana mawazo, moyo na uzoefu wa mbinu bora tunazotumia katika maandalizi yetu ya kuachana na aina Mpya ya utumwa, yaani KUAJIRIWA.

Lengo lingine la uzi huu ni kuonesha sababu ya uamuzi wa kutaka kuacha kazi ili kila mtu apime kama sababu yake ni sababu tosha ya kufanya hivyo ama la, lakini hii pia inatoa fursa kwa wachangiaji wengine kufanya assessment ya maamuzi hayo.

Kuacha kazi na kujiajiri na pengine baadae kufikia hatua ya kuajiri ni uamuzi wa kuyatoa maisha yako mikononi mwa mtu mwingine (muajiri) na kuyakabidhi mikononi mwako mwenyewe. Ni kujitoa katika kutawaliwa na kuamua kujitawala mwenyewe. Ni vyema pia tukajulishana gharama za maamuzi hayo mazito ya kutoka Misri kuelekea Kanani. NI WAZI HAITAKUWA SAFARI NYEPESI.

Tushauriane time scale, mfano mimi ninakimbizana na miaka Mitatu kabla sijatoka kwenye hii Jela. Baada ya hapo ntarudi uraiani, nyumbani kuishi maisha yangu ya uhuru.

Tunaotaka tutoke hii Jela Tushauriane humu, je tukusanye mtaji sasa bila kufanya ujasiriamali na tutakapoacha tu kazi ndio tuanze rasmi ujasiriamali? Ama tuanze sasa hivi kufanya kazi na ujasiriamali ili tu-taste ladha ya ujasiriamali kabla hatujaacha kazi? (Ila hata mambo yakiwa magumu kwenye ujasiriamali kipindi tupo kazini na tunafanya ujasiriamali, kuendelea na kazi sio option). Kubaki Jela haiwezi kuwa option kisa kuna dona na maharage ya bure, bora kuwa uraiani ule mlo mmoja wa maharage na ugali kwa mwaka mmoja ili uje kula asali na maziwa kwa miaka mingi ijayo.

Kila mtu anaweza kuwa na sababu yake ya kuacha kazi. Wengine watakwambia kazini kipato kidogo, lakini amini nakwambia hata ukiajiri na kutoweka mwili, moyo na roho yako kwenye hiyo kazi, unaweza kupata kipato kidogo kuliko hata kile cha kazini. Katika swala la kipato, tofauti ya kipato cha kuajiriwa na kujiajiri ni kipato kimoja Anapanga mtu akulipe kiasi gani, na Kingine Unapanga wewe uingize kiasi gani.

Wengine watakwambia, wanataka waache kazi sababu ya Mateso kazini,ubabe wa mwajiri, kutojali kwa mwajiri. Yote hayo yanakupa HASIRA, geuza hasira zako kuwa DRIVES, zigeuze kuwa USONGO.

Kwanini nataka niache kazi, nataka kuwa huru, nataka kusafiri huku na kule bila kujali bosi atahesabu siku tatu sipo kazini anifute kazi. Sitaki kumpigia mtu mmoja Magoti (bosi) ili kipato changu kiendelea kutiririka. Bora nipigie magoti watu wengi (wateja) ili kipato kiingie, kwani mteja mmoja akiamua kunifukuza kazi ntakuwa na option kwa mteja mwingine.

Uzi wetu TUNAOPANGA KUACHA KAZI, the clock is clicking....LET'S DO IT, LET'S GO.... Tunapenda pia kuchota busara za wale walioacha kazi na wapo wanaendelea kupambana.
Mkuu nakushukuru sana kwa kuanzisha uzi huu maalum kwa sisi tunaotaka kuacha kazi, hasa tuliopo kwenye sekta binafsi. Huku kuna manyanyaso ya kutosha...yaani ni ubabe na utemi kwa kwenda mbele. Mtu hata ukifiwa au ukawa na kikao cha harusi au familia, hupati ruhusa ya kutoka kazini.

Hapa kazini kwangu, kuna uhakika wa nyongeza ya mshahara mnano mwezi wa 8. Nasubiri mshahara upande niende benki nichukue mkopo hata wa milioni 50 niondoke hapa UTUMWANI nikajiajiri huko uraiani. Hiki kifungo cha miaka 11 kinanitosha kabisa. Kazi gani haina weekendi wala sikukuu? Kwa ujumla naichukua sana hii kazi ya shift.

Nikishachukua mkopo wangu sitajali kama nina uzoefu wa biashara au la. Nitakachofanya nitajipa takribani muda wa wiki moja nitajifungia ndani nitafakari biashara yoyote inayoweza kuniingizia kipato cha walau Tsh 20,000 kwa siku. Hata kama ni kukaanga chipsi au mihogo nitafanya ilmradi niondoke huku utumwani mwa makaburu. Kabla ya kuanza biashara yangu hiyo nitafanya business survey, ambapo nitatembea mitaani kuangalia biashara ambazo zinalipa kwa wakati huu. Hata ikibidi kujifanya kibarua wa mtu ambaye nataka kusoma biashara yake nitafanya hivyo ilmradi nipate conclusion ya ufasaha kabla sijaingia kwenye biashara husika.

Tena utafiti ngoja niuanzie hapa kwa kuwauliza wajasiriamali wenzangu (N.B: tayari najiona kama mjasiriamali mtarajiwa). Je, ndugu zangu mlionitangulia kwenye ujasiriamali, ni biashara gani ambayo nikifanya kipindi hiki cha 'vyuma kukaza' haitaniangusha? Jamani tusiwe wachoyo wa kushirikishana taarifa kwani sisi sote adui yetu ni mmoja: UMASIKINI.

Nawasilisha
 
Mkuu nakushukuru sana kwa kuanzisha uzi huu maalum kwa sisi tunaotaka kuacha kazi, hasa tuliopo kwenye sekta binafsi. Huku kuna manyanyaso ya kutosha...yaani ni ubabe na utemi kwa kwenda mbele. Mtu hata ukifiwa au ukawa na kikao cha harusi au familia, hupati ruhusa ya kutoka kazini.

Hapa kazini kwangu, kuna uhakika wa nyongeza ya mshahara mnano mwezi wa 8. Nasubiri mshahara upande niende benki nichukue mkopo hata wa milioni 50 niondoke hapa UTUMWANI nikajiajiri huko uraiani. Hiki kifungo cha miaka 11 kinanitosha kabisa. Kazi gani haina weekendi wala sikukuu? Kwa ujumla naichukua sana hii kazi ya shift.

Nikishachukua mkopo wangu sitajali kama nina uzoefu wa biashara au la. Nitakachofanya nitajipa takribani muda wa wiki moja nitajifungia ndani nitafakari biashara yoyote inayoweza kuniingizia kipato cha walau Tsh 20,000 kwa siku. Hata kama ni kukaanga chipsi au mihogo nitafanya ilmradi niondoke huku utumwani mwa makaburu. Kabla ya kuanza biashara yangu hiyo nitafanya business survey, ambapo nitatembea mitaani kuangalia biashara ambazo zinalipa kwa wakati huu. Hata ikibidi kujifanya kibarua wa mtu ambaye nataka kusoma biashara yake nitafanya hivyo ilmradi nipate conclusion ya ufasaha kabla sijaingia kwenye biashara husika.

Tena utafiti ngoja niuanzie hapa kwa kuwauliza wajasiriamali wenzangu (N.B: tayari najiona kama mjasiriamali mtarajiwa). Je, ndugu zangu mlionitangulia kwenye ujasiriamali, ni biashara gani ambayo nikifanya kipindi hiki cha 'vyuma kukaza' haitaniangusha? Jamani tusiwe wachoyo wa kushirikishana taarifa kwani sisi sote adui yetu ni mmoja: UMASIKINI.

Nawasilisha
Mkuu nakushukuru sana kwa kuanzisha uzi huu maalum kwa sisi tunaotaka kuacha kazi, hasa tuliopo kwenye sekta binafsi. Huku kuna manyanyaso ya kutosha...yaani ni ubabe na utemi kwa kwenda mbele. Mtu hata ukifiwa au ukawa na kikao cha harusi au familia, hupati ruhusa ya kutoka kazini.

Hapa kazini kwangu, kuna uhakika wa nyongeza ya mshahara mnano mwezi wa 8. Nasubiri mshahara upande niende benki nichukue mkopo hata wa milioni 50 niondoke hapa UTUMWANI nikajiajiri huko uraiani. Hiki kifungo cha miaka 11 kinanitosha kabisa. Kazi gani haina weekendi wala sikukuu? Kwa ujumla naichukua sana hii kazi ya shift.

Nikishachukua mkopo wangu sitajali kama nina uzoefu wa biashara au la. Nitakachofanya nitajipa takribani muda wa wiki moja nitajifungia ndani nitafakari biashara yoyote inayoweza kuniingizia kipato cha walau Tsh 20,000 kwa siku. Hata kama ni kukaanga chipsi au mihogo nitafanya ilmradi niondoke huku utumwani mwa makaburu. Kabla ya kuanza biashara yangu hiyo nitafanya business survey, ambapo nitatembea mitaani kuangalia biashara ambazo zinalipa kwa wakati huu. Hata ikibidi kujifanya kibarua wa mtu ambaye nataka kusoma biashara yake nitafanya hivyo ilmradi nipate conclusion ya ufasaha kabla sijaingia kwenye biashara husika.

Tena utafiti ngoja niuanzie hapa kwa kuwauliza wajasiriamali wenzangu (N.B: tayari najiona kama mjasiriamali mtarajiwa). Je, ndugu zangu mlionitangulia kwenye ujasiriamali, ni biashara gani ambayo nikifanya kipindi hiki cha 'vyuma kukaza' haitaniangusha? Jamani tusiwe wachoyo wa kushirikishana taarifa kwani sisi sote adui yetu ni mmoja: UMASIKINI.

Nawasilisha
…..
Hata kama ni kukaanga chipsi au mihogo nitafanya
…. Mkuu hii kauli maana yake kuwa ni biashara rahisi au ngumu? Maana kuna jamaa wengi duniani wanafanya kwa kuwaiga hawa washindani wako hapa chini na mmoja yuko tayari, ukitaka kujua au kufanya research ya wanaokula mihogo na kipato chao nenda Coco Beach uangalie magari na wadhifa wao,hii biashara natamani ningeiweza. Ushauri wangu chagua au fanya biashara unayoipenda, wadau wakupe ushauri.Kwa hali ya sasa watu wanaogopa hata kuchukua mkopo wa 10M, kwa kuogopa biashara kufa, lakini mawazo yangu huu ndio wakati mzuri wa kufanya biashara.Mungu akusaidie.

McDonald's is an American fast food company, founded in 1940 as a restaurant operated by Richard and Maurice McDonald, in San Bernardino, California, United States..KFC, also known as Kentucky Fried Chicken, is an American fast food restaurant chain headquartered in Louisville, Kentucky that specializes in fried chicken. It is the world's second-largest restaurant chain after McDonald's, with 22,621 locations globally in 136 countries
 
Mkuu nakushukuru sana kwa kuanzisha uzi huu maalum kwa sisi tunaotaka kuacha kazi, hasa tuliopo kwenye sekta binafsi. Huku kuna manyanyaso ya kutosha...yaani ni ubabe na utemi kwa kwenda mbele. Mtu hata ukifiwa au ukawa na kikao cha harusi au familia, hupati ruhusa ya kutoka kazini.

Hapa kazini kwangu, kuna uhakika wa nyongeza ya mshahara mnano mwezi wa 8. Nasubiri mshahara upande niende benki nichukue mkopo hata wa milioni 50 niondoke hapa UTUMWANI nikajiajiri huko uraiani. Hiki kifungo cha miaka 11 kinanitosha kabisa. Kazi gani haina weekendi wala sikukuu? Kwa ujumla naichukua sana hii kazi ya shift.

Nikishachukua mkopo wangu sitajali kama nina uzoefu wa biashara au la. Nitakachofanya nitajipa takribani muda wa wiki moja nitajifungia ndani nitafakari biashara yoyote inayoweza kuniingizia kipato cha walau Tsh 20,000 kwa siku. Hata kama ni kukaanga chipsi au mihogo nitafanya ilmradi niondoke huku utumwani mwa makaburu. Kabla ya kuanza biashara yangu hiyo nitafanya business survey, ambapo nitatembea mitaani kuangalia biashara ambazo zinalipa kwa wakati huu. Hata ikibidi kujifanya kibarua wa mtu ambaye nataka kusoma biashara yake nitafanya hivyo ilmradi nipate conclusion ya ufasaha kabla sijaingia kwenye biashara husika.

Tena utafiti ngoja niuanzie hapa kwa kuwauliza wajasiriamali wenzangu (N.B: tayari najiona kama mjasiriamali mtarajiwa). Je, ndugu zangu mlionitangulia kwenye ujasiriamali, ni biashara gani ambayo nikifanya kipindi hiki cha 'vyuma kukaza' haitaniangusha? Jamani tusiwe wachoyo wa kushirikishana taarifa kwani sisi sote adui yetu ni mmoja: UMASIKINI.

Nawasilisha
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hyo staili ya shift halaf kwa makaburu kwa vyovyote hiyo itakuwa TBL.
Mimi mwenyewe nilikimbia huko na Sasa hivi nataka nijifunze maisha ya mtaani.
 
ILI UWEZE KUFIKA ELFU MOJA KATIKA KUHESABU LAZIMA UANZE NA MOJA
Ninachotaka kusema ni kuwa katika maisha kila mtu ana plan zake, na zote zina mahala pa kuanzia na kufikia. Huwezi kurukia ngazi ya tano pasipo kupitia mbili, tatu na nne. Ukichukua uamuzi wa kurukia ngazi ya tano utapasuka msamba. Hapa nimeongea kimafumbo hope wengi wamenielewa.
Cha pili Hivi kuna nchi ambayao haina masikini????
Hivi leo waote tukisema tuache kazi wote serikalini, taasisi binafsi na kwingineko na tufanye ujasiriamali!
Unafikiri nini kitatokea, muhimu kujua ni kuwa kwa mambo mengi huwa yanategemeana, shughuli huwa zinategemeana, watu huwa wanategemeana, kazi nazo zinategemeana, taasisi nazo hutegemeana.
Akili za kuambiwa changanya na zakwako hata ikibidi kopa ya mwenziwe
SO WOTE HATUWEZI KUFANANA KWA NAMNA YEYOTE ILE.
 
Kabla ya yote fanya utafiti mdogo tu wa idadi ya matajiri ambao wameajiriwa ndio utapata majibu kipi ni bora.
 
Back
Top Bottom