Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu langu gumu ila ni jepesiMkuu nakushukuru sana kwa kuanzisha uzi huu maalum kwa sisi tunaotaka kuacha kazi, hasa tuliopo kwenye sekta binafsi. Huku kuna manyanyaso ya kutosha...yaani ni ubabe na utemi kwa kwenda mbele. Mtu hata ukifiwa au ukawa na kikao cha harusi au familia, hupati ruhusa ya kutoka kazini.
Hapa kazini kwangu, kuna uhakika wa nyongeza ya mshahara mnano mwezi wa 8. Nasubiri mshahara upande niende benki nichukue mkopo hata wa milioni 50 niondoke hapa UTUMWANI nikajiajiri huko uraiani. Hiki kifungo cha miaka 11 kinanitosha kabisa. Kazi gani haina weekendi wala sikukuu? Kwa ujumla naichukua sana hii kazi ya shift.
Nikishachukua mkopo wangu sitajali kama nina uzoefu wa biashara au la. Nitakachofanya nitajipa takribani muda wa wiki moja nitajifungia ndani nitafakari biashara yoyote inayoweza kuniingizia kipato cha walau Tsh 20,000 kwa siku. Hata kama ni kukaanga chipsi au mihogo nitafanya ilmradi niondoke huku utumwani mwa makaburu. Kabla ya kuanza biashara yangu hiyo nitafanya business survey, ambapo nitatembea mitaani kuangalia biashara ambazo zinalipa kwa wakati huu. Hata ikibidi kujifanya kibarua wa mtu ambaye nataka kusoma biashara yake nitafanya hivyo ilmradi nipate conclusion ya ufasaha kabla sijaingia kwenye biashara husika.
Tena utafiti ngoja niuanzie hapa kwa kuwauliza wajasiriamali wenzangu (N.B: tayari najiona kama mjasiriamali mtarajiwa). Je, ndugu zangu mlionitangulia kwenye ujasiriamali, ni biashara gani ambayo nikifanya kipindi hiki cha 'vyuma kukaza' haitaniangusha? Jamani tusiwe wachoyo wa kushirikishana taarifa kwani sisi sote adui yetu ni mmoja: UMASIKINI.
Nawasilisha
Wahusika wakija mi simoWALIOAJIRIWA WANATAKIWA KUTOLEWA KILA BAADA YA MIAKA 10 WAKAJIAJIRI,NASERIKALI IWAAJIRI WASOMI WENGINE WAPYA NAO PIA WAKIPATA MTAJI WATOLEWE WAKAJIAJIRI
Kuacha kazi na kujiari ni kutengeneza kazi nyingne na sio kukaa bureILI UWEZE KUFIKA ELFU MOJA KATIKA KUHESABU LAZIMA UANZE NA MOJA
Ninachotaka kusema ni kuwa katika maisha kila mtu ana plan zake, na zote zina mahala pa kuanzia na kufikia. Huwezi kurukia ngazi ya tano pasipo kupitia mbili, tatu na nne. Ukichukua uamuzi wa kurukia ngazi ya tano utapasuka msamba. Hapa nimeongea kimafumbo hope wengi wamenielewa.
Cha pili Hivi kuna nchi ambayao haina masikini????
Hivi leo waote tukisema tuache kazi wote serikalini, taasisi binafsi na kwingineko na tufanye ujasiriamali!
Unafikiri nini kitatokea, muhimu kujua ni kuwa kwa mambo mengi huwa yanategemeana, shughuli huwa zinategemeana, watu huwa wanategemeana, kazi nazo zinategemeana, taasisi nazo hutegemeana.
Akili za kuambiwa changanya na zakwako hata ikibidi kopa ya mwenziwe
SO WOTE HATUWEZI KUFANANA KWA NAMNA YEYOTE ILE.
Mkuu nimesema hivyo ili kuonyesha kwamba hiyo huenda ikawa biashara isiyohitaji mshahara mkubwa sana. Lakini hii ni biashara inayolipa sana, hasa ukipata location yenye population kubwa ya watu. Mo anakuambia kwamba :"ukitaka kuwa tajiri wekeza kwenye matumbo ya watu". Na huu uwekezaji kwenye soko la chakula ndio umemtoa Mo kibiashara. Biashara ya chakula inalipa sana mkuu.…..
Hata kama ni kukaanga chipsi au mihogo nitafanya
…. Mkuu hii kauli maana yake kuwa ni biashara rahisi au ngumu? Maana kuna jamaa wengi duniani wanafanya kwa kuwaiga hawa washindani wako hapa chini na mmoja yuko tayari, ukitaka kujua au kufanya research ya wanaokula mihogo na kipato chao nenda Coco Beach uangalie magari na wadhifa wao,hii biashara natamani ningeiweza. Ushauri wangu chagua au fanya biashara unayoipenda, wadau wakupe ushauri.Kwa hali ya sasa watu wanaogopa hata kuchukua mkopo wa 10M, kwa kuogopa biashara kufa, lakini mawazo yangu huu ndio wakati mzuri wa kufanya biashara.Mungu akusaidie.
McDonald's is an American fast food company, founded in 1940 as a restaurant operated by Richard and Maurice McDonald, in San Bernardino, California, United States..KFC, also known as Kentucky Fried Chicken, is an American fast food restaurant chain headquartered in Louisville, Kentucky that specializes in fried chicken. It is the world's second-largest restaurant chain after McDonald's, with 22,621 locations globally in 136 countries
Nipo mkoa wa Dar mkuu.Jibu langu gumu ila ni jepesi
Twambie mkoa gani upo ili tujue cha kushauri
Uko sahihi;ndio maana matajiri ni wachache ukiringanisha na idadi ya masikiniILI UWEZE KUFIKA ELFU MOJA KATIKA KUHESABU LAZIMA UANZE NA MOJA
Ninachotaka kusema ni kuwa katika maisha kila mtu ana plan zake, na zote zina mahala pa kuanzia na kufikia. Huwezi kurukia ngazi ya tano pasipo kupitia mbili, tatu na nne. Ukichukua uamuzi wa kurukia ngazi ya tano utapasuka msamba. Hapa nimeongea kimafumbo hope wengi wamenielewa.
Cha pili Hivi kuna nchi ambayao haina masikini????
Hivi leo waote tukisema tuache kazi wote serikalini, taasisi binafsi na kwingineko na tufanye ujasiriamali!
Unafikiri nini kitatokea, muhimu kujua ni kuwa kwa mambo mengi huwa yanategemeana, shughuli huwa zinategemeana, watu huwa wanategemeana, kazi nazo zinategemeana, taasisi nazo hutegemeana.
Akili za kuambiwa changanya na zakwako hata ikibidi kopa ya mwenziwe
SO WOTE HATUWEZI KUFANANA KWA NAMNA YEYOTE ILE.
Mkuu una ndugu yeyote nje ya hapo darNipo mkoa wa Dar mkuu.
Sawa mkuu ila....Mimi nataka nifungue biashara ya kanisa niwe nakusanya sadaka
Jana kuna member mmoja alipendekeza tusome kitabu hiki, nimeweza kukipata katika mtandao. Kwa kweli members wengine wakisome ni kitabu kizuri kinapanua uwezo wa kufikiri japo sijakisoma choke ila kwa kurasa nilizosoma, ninaamini nitafaidika sana .Great, nilishaacha kazi ya Ualimu mara mbili, nikarudi kwa kazi nyingine ila pia roho yangu inaniambia kuwa ni Lazima niache kazi ili niwe na kitu ambacho ni lasting.... kazi zina muda, kazi za watu zinazeesha, zinaleta magonjwa ya stress na kukuminya sana kufikiria nje ya box. Nashukuru kwamba nakarinia kuvuka daraja hili, sitarudi nyuma this time MUNGU anisaidie. Kuna kitabu nakisoma kipo kwenye Playstore kinaitwa THINK AND GROW RICH aaaghhhh kinanitia nguvu sana, I encourage you guys mkisome pia.
Hivi vitabu vipo vingi na vya bure
Lazima tubadilike, lazima tubadilishe our Life style, inawezakana lakini ni lazima tujikane kwanza, lazima tujishushe, lazima tuwe commited.
Thank you
Nina ndugu zangu Mwanza mkuu.Mkuu una ndugu yeyote nje ya hapo dar
Kwa mfano
Mbeya
Dodoma
Shinyanga
Singida
Iringa
Samahan kwa kuendeleza maswali
Hii nataka tupate kitu cha kushauriana biashara gani uifanye
Ya kutoka nayo dar kupeleka mkoani na mkoani kupeleka dar
Unaweza kwenda mwanza ukafanya utafiti kwati ya hizi biasharaNina ndugu zangu Mwanza mkuu.
Unaweza kwenda mwanza ukafanya utafiti kwati ya hizi biashara
Viatu kwa kuuza kwa jumla
Nguo za watoto kuuza kwa jumla
Wewe ukawa unatoa machimbo ya hapo dar na kuzipeleka huko
Na wakati huo huo ukafanya utafiti wa nini ukitoe mwanza upeleke dar
Sawa mkuu utekelezaji mwema
Sawa mkuu utekelezaji mwema
Ila ingekuwa mbeya au ifakara ninge kushauri kuchukua mchele kuupeleka dar na kusambaza kwa mama ntilie na wahitaji wa nyumbni na mahotelin