Jamani tusishupaze shingo kiasi hicho kupinga kupinga simu zina mambo mengi kuna ujuzi mwingi wakuuchukua na sio lazima uwe una hela ndio uvione vinamaana au vinakupa hela unaweza soma kwa kusolve matatizo yako mwenyewe na mwisho wa siku ukasolve na ya wengine, simu ya laki moja unaacces youtube, google maps, google earth, pdfdrive, healthonline, wikihow, wikipedia na n.k kwa bando la 1000 mtoa mada ameleta chachu tu hututakiwi kumbeza hizi simu hizi kila akitumia kwa uchanya tunaweza songa mbele sana