Vijana wasio na ajira waache kuiangalia Serikali, watumie YouTube kujinasua kiuchumi

Vijana wasio na ajira waache kuiangalia Serikali, watumie YouTube kujinasua kiuchumi

For what I know, kwa sababu nimekuwa nikifuatilia AGT kwa muda mrefu, V.Unbeatable mwaka jana hawakushinda bali walishinda mwaka kwenye mchuano wa mabingwa... sasa hizo za kila mwaka unazotaja wewe ni zipi?!

Anyway, but that's not the case... hivi unafahamu ni namna gani Vijana ambao walianza kujiari kupitia YouTube walivyokuwa wamerudishwa nyuma na serikali yako unayoitetea hapa kila wakati baada ya kuwataka walipie leseni ya eti kuwa ni Online TV wakati these are just YouTube Channel?!
Tatizo hata vijana tukiachiwa tunaumizana wenyewe yaani kutoa taarifa zisizo na ukweli hafu utegemee watanzania hao hao wakupe hela kwa kutazama video zako zisizo na maudhui kwa vile unatumia lugha ya kiswahili. Mbona ukitumia lugha nyingine hawataki lesini. Mm naunga mkono kwa sababu hatuwezi tukatumia ujinga wa watanzania kujiingizia pesa na kuwafaidisha google kwa kuwapa taarifa za uwongo. Yaani tutakuwa tunazunguka hapohapo.
 
Asante kwa kutuonyesha mafanikio waliyopata wenzetu kupitia YouTube, lakini hivi karibuni mamlaka husika siyo kwamba walitaka walipie leseni na hapo ndio mambo yalipo anza kuharibika kwa kile aliyekua ana miliki You Tube channel...!
 
tatizo hata vijana tukiachiwa tunaumizana wenyewe yaani kutoa taarifa zisizo na ukweli hafu utegemee watanzania hao hao wakupe hela kwa kutazama video zako zisizo na maudhui kwa vile unatumia lugha ya kiswahili. Mbona ukitumia lugha nyingine hawataki lesini. Mm naunga mkono kwa sababu hatuwezi tukatumia ujinga wa watanzania kujiingizia pesa na kuwafaidisha google kwa kuwapa taarifa za uwongo. Yaani tutakuwa tunazunguka hapohapo.
Una uelewa wowote kuhusu mambo ya YouTube?! I doubt...

I doubt kama unaweza kuwa na input ya kueleweka kwenye mada ambayo nina mashaka kama kweli una uelewa nayo!!
 
Una uelewa wowote kuhusu mambo ya YouTube?! I doubt...
Kwanini nisielewe asie we uliza hujaelewa nini ? sio kuanza kudhani kwamba sielewe yawezekana ww bado hujaelewa kwa vile mm zidhani tcra hawaelewi zaidi ya wewe
 
Youtube kuna kila kitu waweza jifunza kutengeneza mashine yeyote, waweza jifunza vitu vingi vya kukukingizia kipato. Ona hawa vijana wa Mumbai Uswahilini walioingia shindano la American GOT talents na kushinda dola Milioni Moja.


Hapo ujue YouTube yako ikikiomaa rungu ya TCRA linakutafta italazimu usajiri Napo ni parefu
 
kwanini nisielewe asie we uliza hujaelewa nini ? sio kuanza kudhani kwamba sielewe yawezekana ww bado hujaelewa kwa vile mm zidhani tcra hawaelewi zaidi ya wewe
Fine, unaelewa sana... now tell me:

1. Hao Watanzania unaodai kwamba "... hafu utegemee watanzania hao hao wakupe hela kwa kutazama video zako..." Ni Watanzania wa wapi hao wanaolipa hela kutazama video za mtu?! Na wanalipa lipa vipi hizo pesa?

2. Hao Google unaosema "...hatuwezi tukatumia ujinga wa watanzania kujiingizia pesa na kuwafaidisha google kwa kuwapa taarifa za uwongo" ni Google gani na wanafaidika vipi na hizo taarifa za uongo?

3. Unadai kwamba, "...Mbona ukitumia lugha nyingine hawataki lesini." Hivi unajua unachoongea kweli wewe?! Kwahiyo unataka leseni pale TCRA kwa maudhui yanayotolewa kwa lugha ya Kiswahili?!
 
Fine, unaelewa sana... now tell me:

1. Hao Watanzania unaodai kwamba "... hafu utegemee watanzania hao hao wakupe hela kwa kutazama video zako..." Ni Watanzania wa wapi hao wanaolipa hela kutazama video za mtu?! Na wanalipa lipa vipi hizo pesa?

2. Hao Google unaosema "...hatuwezi tukatumia ujinga wa watanzania kujiingizia pesa na kuwafaidisha google kwa kuwapa taarifa za uwongo" ni Google gani na wanafaidika vipi na hizo taarifa za uongo?

3. Unadai kwamba, "...Mbona ukitumia lugha nyingine hawataki lesini." Hivi unajua unachoongea kweli wewe?! Kwahiyo unataka leseni pale TCRA kwa maudhui yanayotolewa kwa lugha ya Kiswahili?!
1.paid per views unalipwakutokana watu walioyo angalia na hawaangilii offline ila wanaangalia online with bundle ko ni hela hizo.

2. nahili google wanachukua chao kutoka kwa views, na jamii inabaki jambo lisilo na maudhui au la uwongo ( mfano utasikia star flani kafa kumbe uwongo )na vijana wananganya kwa video editing ya front kavaa. Na serikali ina baki bila kitu na pesa umeipata kutoka kwa rasilimali watu watanzania ambayo ni mali ya serikali

3. Sidhani kama serikali itakuwa ina chake kwa kuanzisha youtube channel yenye maudhui yasiyo ya tanzania hivyo pesa nitaichuma kutoka kwa audience wa nje ko hapo sijatumia rasilima ya tanzania. Ko mm nitafaidika serikali itafaidika kwa sababu nimeongeza pesa kwenye mzunguko wa nchi na google watafaidika
 
Kiukweli upo sahihi.

Lakini Tz ina ulemavu sehemu nyingi katika kumuwezesha mtu kujiajiri online.

Mtandaoni kuna petition ya kuitaka Paypal iruhusu huduma ya kutoa na kupokea pesa.

Mtandaoni kuna kazi ambazo mlipaji anasema malipo ni kwa Paypal tu.

Mtandaoni kuna watu wanawaomba mawaziri na BOT washughulikie swala la Paypal.

Mtandaoni kuna doc inayosema kua na channel ya Youtube inahitaji uilipe serikali 1M.

Ni mengi
 
1.paid per views unalipwakutokana watu walioyo angalia na hawaangilii offline ila wanaangalia online with bundle ko ni hela hizo.

2. nahili google wanachukua chao kutoka kwa views, na jamii inabaki jambo lisilo na maudhui au la uwongo ( mfano utasikia star flani kafa kumbe uwongo )na vijana wananganya kwa video editing ya front kavaa. Na serikali ina baki bila kitu na pesa umeipata kutoka kwa rasilimali watu watanzania ambayo ni mali ya serikali

3. Sidhani kama serikali itakuwa ina chake kwa kuanzisha youtube channel yenye maudhui yasiyo ya tanzania hivyo pesa nitaichuma kutoka kwa audience wa nje ko hapo sijatumia rasilima ya tanzania. Ko mm nitafaidika serikali itafaidika kwa sababu nimeongeza pesa kwenye mzunguko wa nchi na google watafaidika
Kumbe hiki kimya ulikuwa una-Google kuangalia YouTube wanafanya vipi payments zao, na kwa bahati mbaya umetoka na elimu duni kwa kudhani mtu aki-view tu, ndo tayari unalipwa bila kuangalia factors zingine... keep learning ili uje na tangible inputs!

Hoja yako #3 inathibitisha kwamba HUNA UELEWA wowote kuhusu YouTube, ndo maana ukalazimika ku-Google ili upate mawili matatu kwa sababu suala la audience ipi itakufanya ulipwe itategemea na Advertizer's Target Market na wala sio lugha or anything like that!

Hata kama utatumia lugha ya Kiyunani, na kuelezea uchaguzi wa Israel kwa mfano, ads itakayotokea ndiyo itakayokupa uwezekano wa wewe kulipwa, na Advertizer amechagua location husika kama target market/audience!!

Google hawachukui chao kutokana na Views bali wanachukua chao baada ya tangazo husika kuwa viewed at least for 30 seconds! Na lau kama ingekuwa unafahamu hilo kabla, usingesema Google wanafaidika kwa kuwapa taarifa za uongo!!
 
Kumbe hiki kimya ulikuwa una-Google kuangalia YouTube wanafanya vipi payments zao, na kwa bahati mbaya umetoka na elimu duni kwa kudhani mtu aki-view tu, ndo tayari unalipwa bila kuangalia factors zingine... keep learning ili uje na tangible inputs!

Hoja yako #3 inathibitisha kwamba HUNA UELEWA wowote kuhusu YouTube, ndo maana ukalazimika ku-Google ili upate mawili matatu kwa sababu suala la audience ipi itakufanya ulipwe itategemea na Advertizer's Target Market na wala sio lugha or anything like that!

Hata kama utatumia lugha ya Kiyunani, na kuelezea uchaguzi wa Israel kwa mfano, ads itakayotokea ndiyo itakayokupa uwezekano wa wewe kulipwa, na Advertizer amechagua location husika kama target market/audience!!

Google hawachukui chao kutokana na Views bali wanachukua chao baada ya tangazo husika kuwa viewed at least for 30 seconds! Na lau kama ingekuwa unafahamu hilo kabla, usingesema Google wanafaidika kwa kuwapa taarifa za uongo!!
Inasikitisha kuzaani kuwa kila mtu ni wakugoogle yaani ku busy kidogo tu nimegoogle hafu unaongea vitu vya makaratasi mpaka basi tatizo hujawaingia kwenye uhalisia. Mm natumaini watz wengi wanatumia sana simu na youtube matangazo huwa hawapendi kuweka matangazo kwenye youtube in mobilephone sanasana ni kwenye pc ni lazima wawekee kwenye video yoyote ile.

Sasa mm nikaona kutokana na hiyo factor watanzania kutumia sana youtube in mobileapp na pia ni vijiela kidogo kwa mtu watz akiclick tangazo unapata nikaona niignore hii factor na kubaki na the main source factor ambayo ni paid per views. sasa wewe unajikuta unajuaa na wewe ndo utabidi ujifunze thing in practically habari ya kuniwekea makaratasi na uhalisia wake hujui.

na pia hawependi kuweka kwenye mobileapp sanasana wanaweka kwenye webapp sana mtz gani anatumia webapp. Ndio kwanza kwenye tecno wametuwekea hadi youtube go sasa nani wakutumia webapp
 
Kumbe hiki kimya ulikuwa una-Google kuangalia YouTube wanafanya vipi payments zao, na kwa bahati mbaya umetoka na elimu duni kwa kudhani mtu aki-view tu, ndo tayari unalipwa bila kuangalia factors zingine... keep learning ili uje na tangible inputs!

Hoja yako #3 inathibitisha kwamba HUNA UELEWA wowote kuhusu YouTube, ndo maana ukalazimika ku-Google ili upate mawili matatu kwa sababu suala la audience ipi itakufanya ulipwe itategemea na Advertizer's Target Market na wala sio lugha or anything like that!

Hata kama utatumia lugha ya Kiyunani, na kuelezea uchaguzi wa Israel kwa mfano, ads itakayotokea ndiyo itakayokupa uwezekano wa wewe kulipwa, na Advertizer amechagua location husika kama target market/audience!!

Google hawachukui chao kutokana na Views bali wanachukua chao baada ya tangazo husika kuwa viewed at least for 30 seconds! Na lau kama ingekuwa unafahamu hilo kabla, usingesema Google wanafaidika kwa kuwapa taarifa za uongo!!
Hafu kitu kingine ambacho hukijui tangazo unawekewa nilazima liendane na video unayoangalia ieza maudhui au location ndo maana hata hizo ads zinategemeana na video yako. Hafu eti mm naelimu duni. Mm nahisi hayo makaratasi yanakuchanganya na ndio maana chuoni kuna field.
 
hafu kitu kingine ambacho hukijui tangazo unawekewa nilazima liendane na video unayoangalia ieza maudhui au location ndo maana hata hizo ads zinategemeana na video yako. Hafu eti mm naelimu duni. Mm nahisi hayo makaratasi yanakuchanganya na ndio maana chuoni kuna field.
We nyamaza bhana, huna uelewa na haya mambo, na wala sio aibu kutoelewa!! Sasa sijui kwanini unahangaika sana kuonesha una uelewa nayo wakati kila unapoendelea kuandika ndipo unazidi kuthibitisha ni namna gani ulivyo shallow!!
 
Unazungumzia YouTube hii hii ambayo huwez kumiliki channel pasi na kulipia leseni + ada ya kila mwaka? Do you know how this policy kills creativity among youth?
 
Tatizo hata vijana tukiachiwa tunaumizana wenyewe yaani kutoa taarifa zisizo na ukweli hafu utegemee watanzania hao hao wakupe hela kwa kutazama video zako zisizo na maudhui kwa vile unatumia lugha ya kiswahili. Mbona ukitumia lugha nyingine hawataki lesini. Mm naunga mkono kwa sababu hatuwezi tukatumia ujinga wa watanzania kujiingizia pesa na kuwafaidisha google kwa kuwapa taarifa za uwongo. Yaani tutakuwa tunazunguka hapohapo.
Mkuu kwa ushauri tu, hebu itumie YouTube kuelewa namna inavyoingiza pesa na namna patners wake wanavyolipwa halaf uje usome kanuni za TCRA. Naona uelewa wako on that matter uko limited!.
 
Easy said than done. Serikali ina watu asiojua mambo mengi. Mfano mpaka leo njia ambazo vijana wangetumia kufanya biashara na kazi mtandaoni kama Paypal Tanzania BOT wana policies ambazo haziruhusu kupokea pesa.

Kenya paypal unapokea na kuwithdraw pesa kwa safaricom mpesa, Kenya hata upwork mtu ana withdraw pesa wka safaricom hata skrill pia. Yani kama kuna jambo linanishangaza Tanzania ni hili. TUko nyuma kwa vitu vingi sana sana sanaa.
Point
 
1607347042695.png

Muasisi wa fikra nje ya box na yeye yuko nje ya box.
 
inasikitisha kuzaani kuwa kila mtu ni wakugoogle yaani ku busy kidogo tu nimegoogle hafu unaongea vitu vya makaratasi mpaka basi tatizo hujawaingia kwenye uhalisia. Mm natumaini watz wengi wanatumia sana simu na youtube matangazo huwa hawapendi kuweka matangazo kwenye youtube in mobilephone sanasana ni kwenye pc ni lazima wawekee kwenye video yoyote ile. Sasa mm nikaona kutokana na hiyo factor watanzania kutumia sana youtube in mobileapp na pia ni vijiela kidogo kwa mtu watz akiclick tangazo unapata nikaona niignore hii factor na kubaki na the main source factor ambayo ni paid per views. sasa wewe unajikuta unajuaa na wewe ndo utabidi ujifunze thing in practically habari ya kuniwekea makaratasi na uhalisia wake hujui.

na pia hawependi kuweka kwenye mobileapp sanasana wanaweka kwenye webapp sana mtz gani anatumia webapp. Ndio kwanza kwenye tecno wametuwekea hadi youtube go sasa nani wakutumia webapp
Mkuu, yaan kadiri unavyojitutumua kujibu ndio unadhihirisha jinsi gani uko mweupe kwny hii field. Busara kutulia kujifunza sio dhambi wala udhaifu!.
 
Back
Top Bottom