Vijana wasio na ajira waache kuiangalia Serikali, watumie YouTube kujinasua kiuchumi

Unazungumzia YouTube hii hii ambayo huwez kumiliki channel pasi na kulipia leseni + ada ya kila mwaka? Do you know how this policy kills creativity among youth?
Na hilo la creativity ni muhimu sana!!

NI kweli YouTubers wengi hawana uelewa mkubwa wa haya mambo, lakini kama wasingekuwa wamewekewa hivi vikwazo, ingekuwa wanaendelea kujifunza with time kutokana na makosa wanayofanya; na baada ya muda, wengine wangekuwa wame-shift hata kutoka kwenye aina moja ya content to another!!!
 
Hao vijana wacheki tena wamekuwa wakishinda dola hizo milioni moja kila mwaka ona walichofanya kingine

Kwahiyo wote tukawe madancer kama hao kila mmoja atafute namna hatuwezi kua ma dancer wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…