Vijana wasomi msio na ajira maisha hayapo Bongo tu. Unaweza kuzamia nchi jirani ukaishi vizuri. Dunia yote ya Mola mipaka ipo ili kuleta utulivu

Nikiwa na ujuzi wa udereva nie nchi gani tofauti na SA?
 
Watu hutoka kutokana na maslahi, hapa nyumbani maslahi bado kidogo kutokana na huduma ile inatolewa kwa madereva. Huko Zimbabwe wanakuja bei gani kwa mwezi? Maana kule Marekani dereva malori analipwa dollar 3 kwa maili 1 kimbembe kipo kufika huko.
Zimbabwe nenda kasukume malori.
Ila kada ya madereva Tanzania bado uhitaji upo mkubwa ushindwe wewe tu
 
Walimu wakienda Msumbiji watafundisha nini? mana Msumbiji wanatumia Kireno na huku Tanzania tunatumia Kiingereza na Kiswahili
 
Sio kweli mkuu Botswana,Zambia na Zimbabwe zilikua na Wafanyakazi wengi kutoka Tanzania mpaka sasa hivi wapo wachache kutokana na wao kubadili sheria za kazi kwa Wageni hapo Hwange ,Zimbabwe mkuu wa Polisi pale ni Mtanzania/Mzimbabwe na wao wanajua ana mke Mzimbabwe mtu wa Mbozi hapo watu wengi wamemfahamu wakipata matatizo yeye ndio nguzo yetu kule..nina list nyingi wacha niishie hapa kama utaelewa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…