Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
Nilikaa Senegal. Wolof sijui kifaransa sijui na nikatoboa hvyo hvyo na nikaondoka lugha zao sijui....πTatizo lugha, Msumbiji wanatumia kireno zaidi
Tutajifunza tukifika. "We'll cross the bridge when we get there"Wabongo hawajui kiingereza, unashauri waende nchi za nje wakafundishe ujinga?
Hii nchi tunaweza ku-export umbea tu.
Nchi ngumu sana hii. Acha maiti ziendelee kuteuliwa tuTutajifunza tukifika. "We'll cross the bridge we get there"
Jaribu kutafuta hiyo passport ambayo ni haki yako ya kiraia uone vikwazo vya uhamiaji!
Mkuu nipo Kazungula boarder nipe connection..
+260774270349
Hello!
Huu ndio ukweli kuwa vijana wasomi wa Zanzibar hawana changamoto ya ukosefu wa ajira kama ilivyo vijana wa Tanganyika a.k.a bara.
Vijana ombeni kibali cha ukaazi wa Zanzibar, wengine nendeni Gado(Msumbiji) kuna fursa kedekede, Msumbiji kuna amani kwa 98 %, ni sehemu ndogo tu ndio iko hovyo baada ya IS kuweka kambi.
Kuna Angola maisha yako njema.
Botswana pesa nje nje.
Siwashauri muende huko Ng'ambo kwa wazungu ambako kuna upweke mkubwa.
Fundi yeyote nenda Angola utanishukuru.
Daktari, muuguzi, watu wa maabara n k nendeni Botswana.
Wanasheria , walimu nendeni Msumbiji.
Wafanyabishara nendeni Zambia.
Wahandisi nendeni South Africa.
Zimbabwe nenda kasukume malori.Nikiwa na ujuzi wa udereva nie nchi gani tofauti na SA?
Nyie subirieni mkeka wa mama.....sisi ma administrator twende wapi?
Mkuu kama Wewe Selemara nenda Kabinda(Angola)
Fundi Magari nenda Botswana..
Wewe msukuma ndinga. (Malori)
Mote umo karibu Rizki yako..
Zimbabwe nenda kasukume malori.
Ila kada ya madereva Tanzania bado uhitaji upo mkubwa ushindwe wewe tu
Nilikiwa chuo Botswana.Mkuu wewe upo nchi gani kati ya hizo?
Naomba connection mkuu mm joblessMimi niko Bongo ila sina changamoto ya ajira.
Sio kweli mkuu Botswana,Zambia na Zimbabwe zilikua na Wafanyakazi wengi kutoka Tanzania mpaka sasa hivi wapo wachache kutokana na wao kubadili sheria za kazi kwa Wageni hapo Hwange ,Zimbabwe mkuu wa Polisi pale ni Mtanzania/Mzimbabwe na wao wanajua ana mke Mzimbabwe mtu wa Mbozi hapo watu wengi wamemfahamu wakipata matatizo yeye ndio nguzo yetu kule..nina list nyingi wacha niishie hapa kama utaelewa..Botswana Kuna uhutaji mkubwa sana wa madaktari na walimu, lkn husikii hata balozi zetu zikiweka Utaratibu wa kuuwezesha wahitimu kwenda kuchukua kazi huko. Nadhani wanaogopa lawama, kwasabb wanafahamu kuwa elimu yetu inatotoa wahitimu ambao ni half cooked.
Nilikiwa chuo Botswana.