Vijana wasomi msio na ajira maisha hayapo Bongo tu. Unaweza kuzamia nchi jirani ukaishi vizuri. Dunia yote ya Mola mipaka ipo ili kuleta utulivu

Vijana wasomi msio na ajira maisha hayapo Bongo tu. Unaweza kuzamia nchi jirani ukaishi vizuri. Dunia yote ya Mola mipaka ipo ili kuleta utulivu

Wanasheria wa Tanzania waende Msumbiji kufanya nini ama kuosha vyombo?
Botswana Kuna uhutaji mkubwa sana wa madaktari na walimu, lkn husikii hata balozi zetu zikiweka Utaratibu wa kuuwezesha wahitimu kwenda kuchukua kazi huko. Nadhani wanaogopa lawama, kwasabb wanafahamu kuwa elimu yetu inatotoa wahitimu ambao ni half cooked.
 
Hello!
Huu ndio ukweli kuwa vijana wasomi wa Zanzibar hawana changamoto ya ukosefu wa ajira kama ilivyo vijana wa Tanganyika a.k.a bara.

Vijana ombeni kibali cha ukaazi wa Zanzibar, wengine nendeni Gado(Msumbiji) kuna fursa kedekede, Msumbiji kuna amani kwa 98 %, ni sehemu ndogo tu ndio iko hovyo baada ya IS kuweka kambi.

Kuna Angola maisha yako njema.

Botswana pesa nje nje.

Siwashauri muende huko Ng'ambo kwa wazungu ambako kuna upweke mkubwa.

Fundi yeyote nenda Angola utanishukuru.

Daktari, muuguzi, watu wa maabara n k nendeni Botswana.

Wanasheria , walimu nendeni Msumbiji.

Wafanyabishara nendeni Zambia.

Wahandisi nendeni South Africa.
Msumbiji kuna kazi gani za sheria?
 
Hello!
Huu ndio ukweli kuwa vijana wasomi wa Zanzibar hawana changamoto ya ukosefu wa ajira kama ilivyo vijana wa Tanganyika a.k.a bara.

Vijana ombeni kibali cha ukaazi wa Zanzibar, wengine nendeni Gado(Msumbiji) kuna fursa kedekede, Msumbiji kuna amani kwa 98 %, ni sehemu ndogo tu ndio iko hovyo baada ya IS kuweka kambi.

Kuna Angola maisha yako njema.

Botswana pesa nje nje.

Siwashauri muende huko Ng'ambo kwa wazungu ambako kuna upweke mkubwa.

Fundi yeyote nenda Angola utanishukuru.

Daktari, muuguzi, watu wa maabara n k nendeni Botswana.

Wanasheria , walimu nendeni Msumbiji.

Wafanyabishara nendeni Zambia.

Wahandisi nendeni South Africa.
TUSIJE TUKAKULAUMU USICHO KIJUA .USIWADANGANYE VIJANA
 
Botswana Kuna uhutaji mkubwa sana wa madaktari na walimu, lkn husikii hata balozi zetu zikiweka Utaratibu wa kuuwezesha wahitimu kwenda kuchukua kazi huko. Nadhani wanaogopa lawama, kwasabb wanafahamu kuwa elimu yetu inatotoa wahitimu ambao ni half cooked.
Hacheni bhasi dharau😁
 
Hello!
Huu ndio ukweli kuwa vijana wasomi wa Zanzibar hawana changamoto ya ukosefu wa ajira kama ilivyo vijana wa Tanganyika a.k.a bara.

Vijana ombeni kibali cha ukaazi wa Zanzibar, wengine nendeni Gado(Msumbiji) kuna fursa kedekede, Msumbiji kuna amani kwa 98 %, ni sehemu ndogo tu ndio iko hovyo baada ya IS kuweka kambi.

Kuna Angola maisha yako njema.

Botswana pesa nje nje.

Siwashauri muende huko Ng'ambo kwa wazungu ambako kuna upweke mkubwa.

Fundi yeyote nenda Angola utanishukuru.

Daktari, muuguzi, watu wa maabara n k nendeni Botswana.

Wanasheria , walimu nendeni Msumbiji.

Wafanyabishara nendeni Zambia.

Wahandisi nendeni South Africa.
sisi ma administrator twende wapi?
 
A
Kwa Zambia na Congo viatu vinalipa sana....Kuna mcongo anafataga mizigo bongo alinambia huku mnabanwa sana wao TRA ya kule kwao chanzo kikuu Cha mapato madini....yeye alifanya biashara miaka mitatu hakulipa kodi alikua anakwepa huyo

Kwa Zambia na Congo viatu vinalipa sana....Kuna mcongo anafataga mizigo bongo alinambia huku mnabanwa sana wao TRA ya kule kwao chanzo kikuu Cha mapato madini....yeye alifanya biashara miaka mitatu hakulipa kodi
Alikua anakwepa kodi huyo
 
Back
Top Bottom