Vijana wasomi msio na ajira maisha hayapo Bongo tu. Unaweza kuzamia nchi jirani ukaishi vizuri. Dunia yote ya Mola mipaka ipo ili kuleta utulivu

Vijana wasomi msio na ajira maisha hayapo Bongo tu. Unaweza kuzamia nchi jirani ukaishi vizuri. Dunia yote ya Mola mipaka ipo ili kuleta utulivu

Sio kweli mkuu Botswana,Zambia na Zimbabwe zilikua na Wafanyakazi wengi kutoka Tanzania mpaka sasa hivi wapo wachache kutokana na wao kubadili sheria za kazi kwa Wageni hapo Hwange ,Zimbabwe mkuu wa Polisi pale ni Mtanzania/Mzimbabwe na wao wanajua ana mke Mzimbabwe mtu wa Mbozi hapo watu wengi wamemfahamu wakipata matatizo yeye ndio nguzo yetu kule..nina list nyingi wacha niishie hapa kama utaelewa..
Zambia ina watanzania wengi sana sehemu nyeti. Tatizo wengi wao wamebadili majina ili kupata kadi za uraia kirahisi.. wenyewe wanaita NRC. Lakini fresh tu kwasababu ni mojawapo ya mihangaiko maishani. Zambia ukiwa mtulivu na ishu zako husumbuliwi na maisha yatakunyookea
 
Kwahiyo ni kama Tanzania tu? Maana mgeni yoyote akija Tanzania akiwa na mishe zake anakaa fresh tu unaweza usijue kama sio mtanzania.
Zambia ina watanzania wengi sana sehemu nyeti. Tatizo wengi wao wamebadili majina ili kupata kadi za uraia kirahisi.. wenyewe wanaita NRC. Lakini fresh tu kwasababu ni mojawapo ya mihangaiko maishani. Zambia ukiwa mtulivu na ishu zako husumbuliwi na maisha yatakunyookea
 
Hello!
Huu ndio ukweli kuwa vijana wasomi wa Zanzibar hawana changamoto ya ukosefu wa ajira kama ilivyo vijana wa Tanganyika a.k.a bara.

Vijana ombeni kibali cha ukaazi wa Zanzibar, wengine nendeni Gado(Msumbiji) kuna fursa kedekede, Msumbiji kuna amani kwa 98 %, ni sehemu ndogo tu ndio iko hovyo baada ya IS kuweka kambi.

Kuna Angola maisha yako njema.

Botswana pesa nje nje.

Siwashauri muende huko Ng'ambo kwa wazungu ambako kuna upweke mkubwa.

Fundi yeyote nenda Angola utanishukuru.

Daktari, muuguzi, watu wa maabara n k nendeni Botswana.

Wanasheria , walimu nendeni Msumbiji.

Wafanyabishara nendeni Zambia.

Wahandisi nendeni South Africa.
Umeongea kitu nimekipemda, na hiv sasa ni muda nimekua nikiwaza.
Sema mimi udhaifu wangu mkubwa ni family, yan nikiwaza tu kukaa mbali na madogo dah!! Moyo unakua mdogo kabisa.
ILa mwaka huu nitajaribu japo kuanza kutoka kwa muda na kurudi.
 
Kwahiyo ni kama Tanzania tu? Maana mgeni yoyote akija Tanzania akiwa na mishe zake anakaa fresh tu unaweza usijue kama sio mtanzaia.
Yes. Ila wengi utakuta wamebadili majina. Mtu anaitwa Mohamed Hussein ila akiwa Zambia anajiita Moses Banda. Cha muhimu ukiwa ni kujifunza sana lugha yao
 
Kaka kwenye hiyo project inabidi tuwe wote, binafsi natamani sana kutoka maana maisha ni popote.
Umeongea kitu nimekipemda, na hiv sasa ni muda nimekua nikiwaza.
Sema mimi udhaifu wangu mkubwa ni family, yan nikiwaza tu kukaa mbali na madogo dah!! Moyo unakua mdogo kabisa.
ILa mwaka huu nitajaribu japo kuanza kutoka kwa muda na kurudi.
 
Lugha vipi ni rahisi kujifunza? Vipi kuhusu fursa, kuna fursa gani huko?
Kama unajua kiingereza vizuri utaishi fresh huku ukijifunza taratibu kinyanja na kibemba. Hizo lugha mbili zinashea maneno mengi sana na kiswahili hasa kinyanja. Mimi naona Zambia iko nyuma karibu kila kitu kulinganisha na Tanzania. Kwenye masoko ya Lusaka wamejaa sana wabongo.
 
Hello!
Huu ndio ukweli kuwa vijana wasomi wa Zanzibar hawana changamoto ya ukosefu wa ajira kama ilivyo vijana wa Tanganyika a.k.a bara.

Vijana ombeni kibali cha ukaazi wa Zanzibar, wengine nendeni Gado(Msumbiji) kuna fursa kedekede, Msumbiji kuna amani kwa 98 %, ni sehemu ndogo tu ndio iko hovyo baada ya IS kuweka kambi.

Kuna Angola maisha yako njema.

Botswana pesa nje nje.

Siwashauri muende huko Ng'ambo kwa wazungu ambako kuna upweke mkubwa.

Fundi yeyote nenda Angola utanishukuru.

Daktari, muuguzi, watu wa maabara n k nendeni Botswana.

Wanasheria , walimu nendeni Msumbiji.

Wafanyabishara nendeni Zambia.

Wahandisi nendeni South Africa.
✍️📝👍👌👏👊🤝🙏🛡️
 
Wewe upo Zambia?
Kama unajua kiingereza vizuri utaishi fresh huku ukijifunza taratibu kinyanja na kibemba. Hizo lugha mbili zinashea maneno mengi sana na kiswahili hasa kinyanja. Mimi naona Zambia iko nyuma karibu kila kitu kulinganisha na Tanzania. Kwenye masoko ya Lusaka wamejaa sana wabongo.
 
Back
Top Bottom