Vijana Watafuta Kadi za Uanachama wa CCM Kama Dhahabu

Vijana Watafuta Kadi za Uanachama wa CCM Kama Dhahabu

Hao vijana watakuwa hawana akili bila shaka.
Vijana wanaojitambua kwa Sasa wanakimbilia ofisi za CCM kuchukua kadi za Uanachama na kuwaacha wale wa chadema kule wabaki wanatukana mimatusi utafikiri watu waliokosa malezi Bora ya wazazi
 
2016 nilichukua kadi ya CCM baada ya kuhitimu mahali fulani na tukatuma PDF ya majina ya waliochukua kadi vyuo mbalimbali ajabu nikuwa wote tuliochukua huo upuuzi mpaka leo hakuna aliyepata ajira.

Ukiona vijana wanachukua kadi za CCM basi jua Kuna fursa na sio wanaitaka CCM.
Vijana wenye akili wanajiunga na CCM kutokana na ubora wa Sera na ajenda zake zinazogusa maisha Yao na siyo kusaka fursa za ajira
 
Wamegundua kuwa CCM ndio chama chenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu na kulinda Rasilimali zetu , wametambua kuwa Ni CCM pekee yenye kuweza kuwasaidia kutimiza Ndoto zao,wameelewa kuwa ni CCM pekee yenye uchungu na maisha yao,wametambua ya kuwa Ni CCM pekee yenye muelekeo unaoeleweka na yenye mipango mikakati ya kuwainua kiuchumi
Kesho nitakuteua kuwa RC. Sawa mtoto mtiifu?! Juzi kwenye UDCnilipitiwa kidogo, ingawa niliowateua walikuwa na umuhimu zaidi kuliko wewe. Tehe tehe tehe.
 
Vijana wasojitambua hao .

Wanasiasa wanasema wajiajiri na wanapojiajiri wanakutana na vikwazo lukuki mfano mwepesi tu kwa freelancers huduma ya Paypal sio kamilifu kwa mtu aishiye Tanzania.

Hata cryptocurrencies zimewekewa mizengwe ya kutosha na BOT yaani kila kijana akijaribu kupiga hatua anarudishwa nyuma kwa hofu eti atatakatisha pesa au kuhujumu uchumi.

Hao ni vijana waliokuwa staged kwa igizo la kuchukua kadi ila kijana hustler kwa Tanzania hawezi kuhangaika na hicho chama chenu kugombea kadi.
 
Yap mimi nimeichukua nishaajiriwa kitambo,nilikuwa nafukuzia fursa tu
2016 nilichukua kadi ya CCM baada ya kuhitimu mahali fulani na tukatuma PDF ya majina ya waliochukua kadi vyuo mbalimbali ajabu nikuwa wote tuliochukua huo upuuzi mpaka leo hakuna aliyepata ajira.

Ukiona vijana wanachukua kadi za CCM basi jua Kuna fursa na sio wanaitaka CCM.
 
  • Thanks
Reactions: Exy
Tuacheni uongo kila mtu anajua vijana wa siku hizi walivyo wavivu. Hivi kuna vijana kizazi hiki wa kwenda kutafuta card wakati wengi hawajitambui🤔
 
Serikali ya CCM chini ya uongozi shupavu wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia imeweka mazingira mazuri kwa vijana kuweza kujiajiri kwa kutoa na kuwapa mitaji kupitia halmashauri zao Inayowasaidia kuinuka kiuchumi na kuondokana na utegemezi.

Pia serikali ya CCM imeboresha secta binafsi na kuifanya kutengeneza fursa nyingi Sana za ajira kwa vijana,lakini pia serikali imetoa ajira nyingi Sana za ajira kupitia miradi mbalimbali inayojengwa kila Kona ya nchi yetu pamoja na kutoa ajira za moja kwa moja serikalini
Kuna mtu anamsomesha mtoto wake ualimu au kada yoyote ili aje aingie kwenye vijibarua vya kwenye miradi,eti ajiraajira.
 
Serikali ya CCM chini ya uongozi shupavu wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia imeweka mazingira mazuri kwa vijana kuweza kujiajiri kwa kutoa na kuwapa mitaji kupitia halmashauri zao Inayowasaidia kuinuka kiuchumi na kuondokana na utegemezi.

Pia serikali ya CCM imeboresha secta binafsi na kuifanya kutengeneza fursa nyingi Sana za ajira kwa vijana,lakini pia serikali imetoa ajira nyingi Sana za ajira kupitia miradi mbalimbali inayojengwa kila Kona ya nchi yetu pamoja na kutoa ajira za moja kwa moja serikalini
Kuna mtu anamsomesha mtoto wake ualimu au kada yoyote ili aje aingie kwenye vijibarua vya kwenye miradi,eti ajiraajira.
 
Ndugu zangu watanzania,

Vijana Mitaani wanazitafuta kadi za CCM Kama madini ya Dhahabu,wanapita na kuwatafuta makatibu Tawi wa CCM kwa bidii kubwa Sana ili waweze kupewa kadi na kujiunga na CCM na kuweza kushirikiana na Wana CCM wenzao katika ujenzi wa Taifa letu.

Hii Ni baada ya serikali ya CCM kuleta matumaini kwa vijana,kuleta Tabasamu Katika maisha ya vijana,kuwasaidia vijana kutimiza ndoto zao za kielimu na kimaisha,Hii Ni Baada ya serikali ya CCM kuwekeza mabillioni ya Fedha katika miradi mbalimbali ya kimkakati ambayo imetoa fursa za ajira kwa vijana,hii Ni baada ya kuona juhudi za serikali katika kuwatatulia kero zao ambazo zilikuwa kizingiti katika ukuaji wao wa kiuchumi na kujitegemea na kuondokana na Hali ya utegemezi.

Hii Ni Baada ya kuona Sera na ajenda za ilani ya CCM na mikakati ya serikali ya CCM ikitoa kipaombele kwa vijana ambao ndio kundi kubwa hapa nchini,Hii Ni baada ya kuona serikali ya CCM ikiwatengenezea njia za kiuchumi kusonga mbele,Hii Ni Baada ya kuona serikali ya CCM ikiwa karibu yao ,kuwajibu maswali Yao, kuwatumikia,kuwasikiliza na kuwapa nafasi ya kueleza changamoto zao na kuwapa matumaini,Hii Ni Baada ya kuona kesho yao ni njema, Hii Ni Baada ya kuwa na uhakika wa kutimiza malengo Yao,Hii ni baada ya kuona jicho la serikali ya CCM lipo juu Yao,Hii Ni Baada ya serikali ya CCM kupitia halmashauri kuwapatia mikopo ili kuwawezesha kupata mikopo kwa ajili ya kuendeleza shughuli zao na kukuza mitaji yao.

sasa wameamua kujiunga CCM kuunga juhudi za serikali ya CCM chini ya Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kipenzi Cha watanzania,wameamua wawe ndani ya CCM ili kutoa mawazo yao chanya ,wameamua wawe CCM kwa kuwa ndio chama pekee kilichoonyesha kwa vitendo kuwa na uchungu na maisha yao na kuumia pale kinaapoona vijana wakihangaika au kuhangaishwa na mtu yeyote yule,

wameamua kufanya hivyo ili washirikiane na Rais Samia aliyeonyesha ushupavu na umadhubuti mkubwa wa kiuongozi,wanataka wawe sehemu ya wazalendo wa Taifa letu,Sasa vijana wanaonaa fahari kuwa sehemu ya CCM na wanajitambulisha bila hofu Wala wasiwasi wawapo katiKati ya watu kuwa Ni wanaccm,Sasa vijana wanaitetea CCM na serikali Yake kwa hoja kutokana na kazi kubwa za kimaendeleo zilizofanyika na kutekelezwa kwa umakini.

kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
La maana ulilofanya ni kuweka namba yako ya simu ili ukibahatika uingizwe kwenye jumuia ya chawa ila umeandika upupu.
Hao vijana unaowaelezea ni wa mtaani kwenu?
Kila kijana aliyechukua kadi alikuwa anakuja kwako kukuelezea sababu zilizomfanya kuchukua kadi?
 
Ndugu zangu watanzania,

Vijana Mitaani wanazitafuta kadi za CCM Kama madini ya Dhahabu,wanapita na kuwatafuta makatibu Tawi wa CCM kwa bidii kubwa Sana ili waweze kupewa kadi na kujiunga na CCM na kuweza kushirikiana na Wana CCM wenzao katika ujenzi wa Taifa letu.

Hii Ni baada ya serikali ya CCM kuleta matumaini kwa vijana,kuleta Tabasamu Katika maisha ya vijana,kuwasaidia vijana kutimiza ndoto zao za kielimu na kimaisha,Hii Ni Baada ya serikali ya CCM kuwekeza mabillioni ya Fedha katika miradi mbalimbali ya kimkakati ambayo imetoa fursa za ajira kwa vijana,hii Ni baada ya kuona juhudi za serikali katika kuwatatulia kero zao ambazo zilikuwa kizingiti katika ukuaji wao wa kiuchumi na kujitegemea na kuondokana na Hali ya utegemezi.

Hii Ni Baada ya kuona Sera na ajenda za ilani ya CCM na mikakati ya serikali ya CCM ikitoa kipaombele kwa vijana ambao ndio kundi kubwa hapa nchini,Hii Ni baada ya kuona serikali ya CCM ikiwatengenezea njia za kiuchumi kusonga mbele,Hii Ni Baada ya kuona serikali ya CCM ikiwa karibu yao ,kuwajibu maswali Yao, kuwatumikia,kuwasikiliza na kuwapa nafasi ya kueleza changamoto zao na kuwapa matumaini,Hii Ni Baada ya kuona kesho yao ni njema, Hii Ni Baada ya kuwa na uhakika wa kutimiza malengo Yao,Hii ni baada ya kuona jicho la serikali ya CCM lipo juu Yao,Hii Ni Baada ya serikali ya CCM kupitia halmashauri kuwapatia mikopo ili kuwawezesha kupata mikopo kwa ajili ya kuendeleza shughuli zao na kukuza mitaji yao.

sasa wameamua kujiunga CCM kuunga juhudi za serikali ya CCM chini ya Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kipenzi Cha watanzania,wameamua wawe ndani ya CCM ili kutoa mawazo yao chanya ,wameamua wawe CCM kwa kuwa ndio chama pekee kilichoonyesha kwa vitendo kuwa na uchungu na maisha yao na kuumia pale kinaapoona vijana wakihangaika au kuhangaishwa na mtu yeyote yule,

wameamua kufanya hivyo ili washirikiane na Rais Samia aliyeonyesha ushupavu na umadhubuti mkubwa wa kiuongozi,wanataka wawe sehemu ya wazalendo wa Taifa letu,Sasa vijana wanaonaa fahari kuwa sehemu ya CCM na wanajitambulisha bila hofu Wala wasiwasi wawapo katiKati ya watu kuwa Ni wanaccm,Sasa vijana wanaitetea CCM na serikali Yake kwa hoja kutokana na kazi kubwa za kimaendeleo zilizofanyika na kutekelezwa kwa umakini.

kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
We kijana nikushauri, mada zako jaribu kukosoa pamoja na kushauri pale inapostahili, na si kupongeza tu! Mbaya zaidi unaweka hadi namba ya simu kwaajili ya nini? Watu ni lazima wahoji lengo lako la kuweka namba ya simu ninini?? Vijana tujitahidi kufanya kazi ili tupate kipato chetu halali. Mfano mimi ndo ningekuwa mteuaji wewe unayenisifia na kuniwekea namba ya simu baada ya kumaliza kunisifia nisinge kuteua kwani tayari nakuwa nimesha fahamu lengo lako
 
Sasa namba ya simu ni ya nini kwenye andiko?
FB_IMG_1669431838959.jpg
 
Back
Top Bottom