Vijana Watafuta Kadi za Uanachama wa CCM Kama Dhahabu

Vijana Watafuta Kadi za Uanachama wa CCM Kama Dhahabu

We kijana nikushauri, mada zako jaribu kukosoa pamoja na kushauri pale inapostahili, na si kupongeza tu! Mbaya zaidi unaweka hadi namba ya simu kwaajili ya nini? Watu ni lazima wahoji lengo lako la kuweka namba ya simu ninini?? Vijana tujitahidi kufanya kazi ili tupate kipato chetu halali. Mfano mimi ndo ningekuwa mteuaji wewe unayenisifia na kuniwekea namba ya simu baada ya kumaliza kunisifia nisinge kuteua kwani tayari nakuwa nimesha fahamu lengo lako
Kwani Nani kakuzuia wewe kufanya kazi ya kukosoa unayoitaka niifanye Mimi kwa niaba yako, Mimi naziona juhudi za serikali ya Rais Samia katika kuwatumikia watanzania kwa uzalendo na uchapa kazi ,Naona serikali inavyowahudumia na kuwapa huduma Bora watanzania,Naona inavyopambana kishupavu kwa kila changamoto ijitokezayo mbele yetu Kama Taifa,Ndio sababu ya kuipongeza muda wote kwani dhamira ya serikali na Rais wetu Ni njema
 
Moja ya vitu namshukuru Mungu daima, kwanza ni kuniumba mwanaume, pili ni kunipa akili ya kutokuwa mwana CCM.
20220725_203357.jpg
 
Ndugu zangu watanzania,

Vijana Mitaani wanazitafuta kadi za CCM Kama madini ya Dhahabu,wanapita na kuwatafuta makatibu Tawi wa CCM kwa bidii kubwa Sana ili waweze kupewa kadi na kujiunga na CCM na kuweza kushirikiana na Wana CCM wenzao katika ujenzi wa Taifa letu.

Hii Ni baada ya serikali ya CCM kuleta matumaini kwa vijana,kuleta Tabasamu Katika maisha ya vijana,kuwasaidia vijana kutimiza ndoto zao za kielimu na kimaisha,Hii Ni Baada ya serikali ya CCM kuwekeza mabillioni ya Fedha katika miradi mbalimbali ya kimkakati ambayo imetoa fursa za ajira kwa vijana,hii Ni baada ya kuona juhudi za serikali katika kuwatatulia kero zao ambazo zilikuwa kizingiti katika ukuaji wao wa kiuchumi na kujitegemea na kuondokana na Hali ya utegemezi.

Hii Ni Baada ya kuona Sera na ajenda za ilani ya CCM na mikakati ya serikali ya CCM ikitoa kipaombele kwa vijana ambao ndio kundi kubwa hapa nchini,Hii Ni baada ya kuona serikali ya CCM ikiwatengenezea njia za kiuchumi kusonga mbele,Hii Ni Baada ya kuona serikali ya CCM ikiwa karibu yao ,kuwajibu maswali Yao, kuwatumikia,kuwasikiliza na kuwapa nafasi ya kueleza changamoto zao na kuwapa matumaini,Hii Ni Baada ya kuona kesho yao ni njema, Hii Ni Baada ya kuwa na uhakika wa kutimiza malengo Yao,Hii ni baada ya kuona jicho la serikali ya CCM lipo juu Yao,Hii Ni Baada ya serikali ya CCM kupitia halmashauri kuwapatia mikopo ili kuwawezesha kupata mikopo kwa ajili ya kuendeleza shughuli zao na kukuza mitaji yao.

sasa wameamua kujiunga CCM kuunga juhudi za serikali ya CCM chini ya Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kipenzi Cha watanzania,wameamua wawe ndani ya CCM ili kutoa mawazo yao chanya ,wameamua wawe CCM kwa kuwa ndio chama pekee kilichoonyesha kwa vitendo kuwa na uchungu na maisha yao na kuumia pale kinaapoona vijana wakihangaika au kuhangaishwa na mtu yeyote yule,

wameamua kufanya hivyo ili washirikiane na Rais Samia aliyeonyesha ushupavu na umadhubuti mkubwa wa kiuongozi,wanataka wawe sehemu ya wazalendo wa Taifa letu,Sasa vijana wanaonaa fahari kuwa sehemu ya CCM na wanajitambulisha bila hofu Wala wasiwasi wawapo katiKati ya watu kuwa Ni wanaccm,Sasa vijana wanaitetea CCM na serikali Yake kwa hoja kutokana na kazi kubwa za kimaendeleo zilizofanyika na kutekelezwa kwa umakini.

kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Kama Walishindwa kuzitafuta wakati wa MTETEZI wao MAGUFULI hawawezi kuzitafuta leo KARIAKOO WAMEFUKUZWA MITAANI kila MKOA VIBANDA VYAO VIMEVUNJWA wamekuwa WAZURURAJI ACHA KUDANGANYA WATU WADANGANYE WAJINGA WENZIO
 
La maana ulilofanya ni kuweka namba yako ya simu ili ukibahatika uingizwe kwenye jumuia ya chawa ila umeandika upupu.
Hao vijana unaowaelezea ni wa mtaani kwenu?
Kila kijana aliyechukua kadi alikuwa anakuja kwako kukuelezea sababu zilizomfanya kuchukua kadi?
Hayo niliyoyaandika hapo juu ndio imekuwa sababu iliyowapa hamasa vijana wengi Sana kujiunga CCM
 
Kama Walishindwa kuzitafuta wakati wa MTETEZI wao MAGUFULI hawawezi kuzitafuta leo KARIAKOO WAMEFUKUZWA MITAANI kila MKOA VIBANDA VYAO VIMEVUNJWA wamekuwa WAZURURAJI ACHA KUDANGANYA WATU WADANGANYE WAJINGA WENZIO
Hakuna walikofukuzwa vijana Bali serikali yao imeendelea kuwa karibu nao na kuwasaidia,imewawekea mazingira mazuri ya kibiashara kwa kuwatengea maeneo makubwa,yanayofikika na wateja na yenye usalama mzuri tofauti na awali ambapo ilikuwa hatari kwa usalama Wao hasa kwa ajali za magari ,kwa kuwa walikuwa wanapanga bidhàa zao Hadi Barabarani.

Pili serikali imewawezesha vijana mitaji kupitia halmashauri zao na kuwapatia Elimu ya ujasiriamali na kuwasaidia katika kutimiza vigezo vya kupata mikopo
 
Ndugu zangu watanzania,

Vijana Mitaani wanazitafuta kadi za CCM Kama madini ya Dhahabu,wanapita na kuwatafuta makatibu Tawi wa CCM kwa bidii kubwa Sana ili waweze kupewa kadi na kujiunga na CCM na kuweza kushirikiana na Wana CCM wenzao katika ujenzi wa Taifa letu.

Hii Ni baada ya serikali ya CCM kuleta matumaini kwa vijana,kuleta Tabasamu Katika maisha ya vijana,kuwasaidia vijana kutimiza ndoto zao za kielimu na kimaisha,Hii Ni Baada ya serikali ya CCM kuwekeza mabillioni ya Fedha katika miradi mbalimbali ya kimkakati ambayo imetoa fursa za ajira kwa vijana,hii Ni baada ya kuona juhudi za serikali katika kuwatatulia kero zao ambazo zilikuwa kizingiti katika ukuaji wao wa kiuchumi na kujitegemea na kuondokana na Hali ya utegemezi.

Hii Ni Baada ya kuona Sera na ajenda za ilani ya CCM na mikakati ya serikali ya CCM ikitoa kipaombele kwa vijana ambao ndio kundi kubwa hapa nchini,Hii Ni baada ya kuona serikali ya CCM ikiwatengenezea njia za kiuchumi kusonga mbele,Hii Ni Baada ya kuona serikali ya CCM ikiwa karibu yao ,kuwajibu maswali Yao, kuwatumikia,kuwasikiliza na kuwapa nafasi ya kueleza changamoto zao na kuwapa matumaini,Hii Ni Baada ya kuona kesho yao ni njema, Hii Ni Baada ya kuwa na uhakika wa kutimiza malengo Yao,Hii ni baada ya kuona jicho la serikali ya CCM lipo juu Yao,Hii Ni Baada ya serikali ya CCM kupitia halmashauri kuwapatia mikopo ili kuwawezesha kupata mikopo kwa ajili ya kuendeleza shughuli zao na kukuza mitaji yao.

sasa wameamua kujiunga CCM kuunga juhudi za serikali ya CCM chini ya Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kipenzi Cha watanzania,wameamua wawe ndani ya CCM ili kutoa mawazo yao chanya ,wameamua wawe CCM kwa kuwa ndio chama pekee kilichoonyesha kwa vitendo kuwa na uchungu na maisha yao na kuumia pale kinaapoona vijana wakihangaika au kuhangaishwa na mtu yeyote yule,

wameamua kufanya hivyo ili washirikiane na Rais Samia aliyeonyesha ushupavu na umadhubuti mkubwa wa kiuongozi,wanataka wawe sehemu ya wazalendo wa Taifa letu,Sasa vijana wanaonaa fahari kuwa sehemu ya CCM na wanajitambulisha bila hofu Wala wasiwasi wawapo katiKati ya watu kuwa Ni wanaccm,Sasa vijana wanaitetea CCM na serikali Yake kwa hoja kutokana na kazi kubwa za kimaendeleo zilizofanyika na kutekelezwa kwa umakini.

kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627

FpEP-ZhWIAAnDNw.jpeg
 
Serikali ya CCM chini ya uongozi shupavu wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia imeweka mazingira mazuri kwa vijana kuweza kujiajiri kwa kutoa na kuwapa mitaji kupitia halmashauri zao Inayowasaidia kuinuka kiuchumi na kuondokana na utegemezi.

Pia serikali ya CCM imeboresha secta binafsi na kuifanya kutengeneza fursa nyingi Sana za ajira kwa vijana,lakini pia serikali imetoa ajira nyingi Sana za ajira kupitia miradi mbalimbali inayojengwa kila Kona ya nchi yetu pamoja na kutoa ajira za moja kwa moja serikalini
Mpaka mmefikia kukarabati kivuko kwa hera inayolingana na kununua mpya,hamna tofauti na machizi
 
Mpaka mmefikia kukarabati kivuko kwa hera inayolingana na kununua mpya,hamna tofauti na machizi
Serikali ya Rais Samia Ina macho yaonayo kila eneo na kufika kila sehemu,hivyo popote palipo na ufisadi na dalili za Rushwa itafika na kuchukua hatua, watanzania tuna imani na Rais wetu mpendwa mama Samia na Tunaamini nchi IPO katika mikono salama
 
Acha kudanganya watu. Kwa Sasa vijana wengi wamechoka, hivyo Kama Kuna fursa CCM wanaenda.
 
Serikali ya Rais Samia Ina macho yaonayo kila eneo na kufika kila sehemu,hivyo popote palipo na ufisadi na dalili za Rushwa itafika na kuchukua hatua, watanzania tuna imani na Rais wetu mpendwa mama Samia na Tunaamini nchi IPO katika mikono salama

Wewe ulistahili kuwa kwenye kundi la chawa wa mama na akina suphian.
 
Acha kudanganya watu. Kwa Sasa vijana wengi wamechoka, hivyo Kama Kuna fursa CCM wanaenda.
Vijana wametambua kuwa CCM ndio chama chenye Sera na ajenda zinazoendana na mahitaji Yao na ni mahali wanapoweza kutimiza Ndoto zao kutokana na CCM kutoa kipaombele na kuwapa nafasi vijana ya kukuza na kufikia ndoto zao ,mfano CCM inawasaidia vijana kujiajiri kwa kuwapatia Elimu ya ujasiriamali na kuwapa njia ya kupata mikopo Kama vile kupitia halmashauri zao na hatua za kufuata kupata mikopo
 
Ndugu zangu watanzania,

Vijana Mitaani wanazitafuta kadi za CCM Kama madini ya Dhahabu,wanapita na kuwatafuta makatibu Tawi wa CCM kwa bidii kubwa Sana ili waweze kupewa kadi na kujiunga na CCM na kuweza kushirikiana na Wana CCM wenzao katika ujenzi wa Taifa letu.

Hii Ni baada ya serikali ya CCM kuleta matumaini kwa vijana,kuleta Tabasamu Katika maisha ya vijana,kuwasaidia vijana kutimiza ndoto zao za kielimu na kimaisha,Hii Ni Baada ya serikali ya CCM kuwekeza mabillioni ya Fedha katika miradi mbalimbali ya kimkakati ambayo imetoa fursa za ajira kwa vijana,hii Ni baada ya kuona juhudi za serikali katika kuwatatulia kero zao ambazo zilikuwa kizingiti katika ukuaji wao wa kiuchumi na kujitegemea na kuondokana na Hali ya utegemezi.

Hii Ni Baada ya kuona Sera na ajenda za ilani ya CCM na mikakati ya serikali ya CCM ikitoa kipaombele kwa vijana ambao ndio kundi kubwa hapa nchini,Hii Ni baada ya kuona serikali ya CCM ikiwatengenezea njia za kiuchumi kusonga mbele,Hii Ni Baada ya kuona serikali ya CCM ikiwa karibu yao ,kuwajibu maswali Yao, kuwatumikia,kuwasikiliza na kuwapa nafasi ya kueleza changamoto zao na kuwapa matumaini,Hii Ni Baada ya kuona kesho yao ni njema, Hii Ni Baada ya kuwa na uhakika wa kutimiza malengo Yao,Hii ni baada ya kuona jicho la serikali ya CCM lipo juu Yao,Hii Ni Baada ya serikali ya CCM kupitia halmashauri kuwapatia mikopo ili kuwawezesha kupata mikopo kwa ajili ya kuendeleza shughuli zao na kukuza mitaji yao.

sasa wameamua kujiunga CCM kuunga juhudi za serikali ya CCM chini ya Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kipenzi Cha watanzania,wameamua wawe ndani ya CCM ili kutoa mawazo yao chanya ,wameamua wawe CCM kwa kuwa ndio chama pekee kilichoonyesha kwa vitendo kuwa na uchungu na maisha yao na kuumia pale kinaapoona vijana wakihangaika au kuhangaishwa na mtu yeyote yule,

wameamua kufanya hivyo ili washirikiane na Rais Samia aliyeonyesha ushupavu na umadhubuti mkubwa wa kiuongozi,wanataka wawe sehemu ya wazalendo wa Taifa letu,Sasa vijana wanaonaa fahari kuwa sehemu ya CCM na wanajitambulisha bila hofu Wala wasiwasi wawapo katiKati ya watu kuwa Ni wanaccm,Sasa vijana wanaitetea CCM na serikali Yake kwa hoja kutokana na kazi kubwa za kimaendeleo zilizofanyika na kutekelezwa kwa umakini.

kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Shida humfanya mtu amtumikie mwingine yeyote yule hata asiye mtaka. Ukweli ni kuwa vijana wengi kwa sasa wanapitia changamoto nyingi sana za kiuchumi na kijamii ikiwemo suala la ajira.

Kwa hiyo kimbilio lililo karibu yao la kimwili ni kumfuata Ibilisi, ingawaje wanatambua kuwa mbingu ndiyo chaguo lao sahihi na la kudumu la kimwili na kiroho pia. Kumiliki kwao kadi za CCM na kutaka kujionyesha katika wasifu wao binafsi wa uanachama wa hiari katika vyama vya kijamii, ni namna nyingine tu ya kusaka fursa, ingawaje hii haithibitishi mapenzi yao ya dhati kwa chama hiki kikongwe na chakavu.

Wewe subiri tu matokeo ya chaguzi za 2023 na 2025, endapo Mola atatujalia pumzi ya kuishi na pia kuwa mashuhuda, hapo ndipo utatambua lile lililopo mioyoni mwao na kwa namna gani vijana wanakiunga chama hiki mkono. Endapo tutakuwa na "uchaguzi" huru badala ya "uchafuzi" wa kihuni wa watala, basi ukweli wote utajulikana.
 
Shida humfanya mtu amtumikie hata yule asiye mtaka. Ukweli ni kuwa vijana wengi kwa sasa wanapitia changamoto nyingi sana ikiwemo na ajira.

Kwa hiyo kimbilio lao lililo karibu la kimwili ni kumfuata Ibilisi, ingawaje wanatambua kuwa mbingu ndiyo chaguo lao la kiroho. Kumiliki kadi ya CCM na kuionyesha kama sehemu ndani ya wasifu wao binafsi wa uanachama wa hiari katika vyama vya jamii, ni namna nyingine tu ya kusaka fursa, ingawaje haithibitishi mapenzi yao ya dhati kwa chama hiki kikongwe na chakavu.

Wewe subiri matokeo ya chaguzi za 2023 na 2025, endapo Mola atatujalia pumzi ya kuishi na pia kuwa mashuhuda, hapo ndipo utatambua lile lililopo mioyoni mwao na kwa namna gani vijana wanakiunga chama hiki mkono. Endapo tutakuwa na "uchaguzi" huru badala ya "uchafuzi" wa kihuni wa watala, basi ukweli wote utajulikana.
Vijana kwa wingi wao wanajiunga na wanaendelea kujiunga CCM kwa hiyari Yao kutokana na kuvutiwa na Sera na ajenda za CCM zinazogusa maisha Yao, ilani Bora ya CCM inayoandaliwa na manguli kutoka sect la zote na kufanyiwa utafiti wa kina unaokuja na majibu ya Mahitaji ya makundi yote imepelekea vijana wengi Sana Kuendelea kumiminika ndani ya CCM kila uchwao ,
 
Sio wote wanachukua kadi kwa hiari, ukiachilia mbali suala la kuchukua kadi kwa fursa na maslahi binafsi.
Kwa sasa kupata kadi kuna namna tatu au zaidi, nitaelezea mbili zisizo za hiari au kizalendo.
1.Kuchukua kadi ili upate nafasi, cheo, au wadhfa fulani, hili linaangukia kwenye kundi kubwa la vijana ili kupata maslahi yao binafsi kutokana na hali ngumu ya kiuchumi inayoikumba nchi yetu.
2.Kupewa kadi kwa shinikizo au kulazimishwa, mmefika mahali mna force kuwapa watu kadi bila idhini wala uhitaji wao.
Najua utakataa tu na hili, maana nimesoma maoni mengi uliyoandikiwa hapa umeshupaza shingo hautaki kusikia ( nawajua sana ).
Sasa nakuuliza swali na ujijibu mwenyewe, kwenye jamii zetu kuna watu ni wanufaika wa mpango wa kuwainua kiuchumi ( tunaujua sote ), kuna shughuli wanapewa za kufanya ili kusaidia kama kulima na kukwetua nyasi kwenye barabara za vumbi mitaani ( sijui kama huu mpango upo mikoa yote ), sasa watu tunashangaa kuona uandikishaji wa kadi kwa hao watu bila uhitaji wao. Kuna wanafaika ni wazee, wasiojiweza, au wagonjwa, hivyo wanawaagiza watoto au ndugu zao wanaoweza kufanya kazi kwenye shughuli hizo wanashangaa kukutana na mambo hayo ya lazima, sasa kijana wa miaka 18+ ukamlazimishe kadi anapeleka wapi?, huo ndio uzalendo wa vijana kuzitafuta kadi kama dhahabu?,
Mpenda Haki na Uzalendo wa kweli.
 
Kuna Taasisi fulani nilikuwaga nipo nipo kipindi cha jiwe nikashuhudia kitu kama fomu inapita kwa wanafisiemu tuu wanaweka details zao.
Baada ya muda walipanda vyeo wote...na aliekua anapitisha alikua anatamba kabisa...kama wewe sio fisiemu hii haikuhusu!;
 
Sera Bora ,ajenda zenye kugusa maisha ya vijana,ilani nzuri ya CCM na safu Bora na yenye kuleta matumaini kwa vijana imekuwa Chachi ya vijana wengi kutafuta kadi za CCM Kama Dhahabu ili kuunga juhudi za serikali ya CCM, vijana wameridhishwa na kuvutiwa na utendaji kazi wa serikali ya CCM chini ya uongozi shupavu na madhubuti wa Rais Samia.

Tofauti na vyama Kama chadema walikojaa wababaishaji na watu waliokosa muelekeo ,wasioweza hata kujiongoza na waliokosa matumaini
CCM ipi Sasa ya magufuri au hii ya Sasa?
 
Back
Top Bottom