Vijana Watafuta Kadi za Uanachama wa CCM Kama Dhahabu

Vijana wanachukua kadi kwa hiyari Yao kutokana na kuvutiwa na Sera na ajenda pamoja na itikadi ya CCM ambazo zinagusa maisha yao ya kila siku,wametambua kuwa Ni CCM pekee yenye uchungu na maisha yao na yenye majibu ya kero na changamoto zao,ndio maana ya kuamua kujiunga CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…