Vijana wavuta bangi wanaongezeka, nini kifanyike kukomesha tabia hii?

Tusubiri chawa warudi kutoka kwenye miaka 48 ya ccm
 
Kwanza bangi Haina shida.
Mbona Niliwahi kukabwa na Ayubu usiku natoka kumkula Dem wangu Aliponijua akacheka halafu akasema jamaa yangu Hali mbaya una dasi hapo nikamwambia twende tukapige vyombe angalau Hadi saa7

Mbona hujasemea dini mkuu?
Bila shaka wewe ni mmoja wa watumiaji mashuhuri na wa muda wote
 
Smoker of all time
 
Bangi haina tatizo lolote, wengi mna dhana potofu kuhusu bangi hamjawahi kuangalia mambo kwa mapana zaidi ya kile mlichokaririshwa kuhusu bangi...bangi sio dawa ya kulevya kuvuta bangi sio uhuni wala chanzo cha uhuni....Emancipate yourselves from mental slavery. None but ourselves can free our minds
 
thibitisha kitabibu kuwa bangi sio mbaya.
 

Swali zuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…