Vijana wavuta bangi wanaongezeka, nini kifanyike kukomesha tabia hii?

Vijana wavuta bangi wanaongezeka, nini kifanyike kukomesha tabia hii?

Bangi haina shida, mi mabraza ambao nilianza kuvuta kwa kuwaona wao wanavuta walikua ni watu smart sana. Wana kazi za kueleweka, kipato cha uhakika gingi anavuta kwa starehe, ila machalii siku hizi wanavuta kwa hasira mana wanaipelekea stress zao za mapenzi, kukosa kazi n.k lazima wachanganyikiwe. Mi hata nikitaka mzigo namcheki tu sadali aniwekee stock ya kutosha hata ya 20k nikifika ni kuchukua na kupita hv hapo tuonane tena mpaka iishe, mazoea nao sitaki.
Sasa kwa nini hutaki mazoea nao?
 
Yote hayo yanesababishwa na kikundi cha watu wachache wanaotumia rasilimali za nchi kama mali zao na kuwanyima kundi la walio wengi kufaidika na keki ya taifa.

Zunguka kote kwenye machimbo yanayouza vilevi, madawa ya kulevya na wale madada poa uwaulize kwanini unajiuza au unabwia unga na majibu utakayopata rudi hapa tena.
Sio hoja! Uvute bangi halafu usumbue wengine? Huo ni upumbavu, vijana wengi wavuta bangi ni kero kwa wengine. Smoke at your own luxury
 
Sina hiyo twakwimu
pombe ni burudani mkuu,ila bangi always huathiri mfumo mzima wa ubongo hivyo kupelekea mtu kuwa mraibu wa matumizi haya,mtu akiwa mraibu wa bangi, kwanza atatumia muda mwing kutafta hela kwa ajir ya bangi,akikosa anakuibia,vijana wakiwa hvyo nguv kaz ya taifa inapungua na vifo vingi vinatokea kutokana na matumiz haya ya bang
 
Bangi haina tatizo lolote, wengi mna dhana potofu kuhusu bangi hamjawahi kuangalia mambo kwa mapana zaidi ya kile mlichokaririshwa kuhusu bangi...bangi sio dawa ya kulevya kuvuta bangi sio uhuni wala chanzo cha uhuni....Emancipate yourselves from mental slavery. None but ourselves can free our minds

Tell dem man.
 
Wakuu,
Mwanzo wakati mimi ninakua,kuvuta bangi ilikuwa inafanyika kwa siri mno, mpaka uje uambiwe kuwa huyu ni mvuta bangi ni ngumu mno,na ilikuwa inatumiwa na watu wazima wenye nguvu na ukiambiwa huyu ni mvuta bangi utaamini,kutokana na shughuli ngumu na za nguvu anazozifanya.

Wakuu, uvutaji wa bangi kwa sasa imekuwa si siri tena,na vijana wadogo chini ya miaka 20 ni watumiaji wa madawa haya mabaya zaidi nchini

Wakuu,tofauti na zamani,mvuta bangi alikuwa akivuta bangi anakuwa na nguvu na aliweza kufanya kazi ngumu za kumwingizia kipato.. sasa ni tofauti vijana hawa wakivuta wanakosa nguvu,wanawaza uzinzi na wengine kupigana.

Madhara ya bangi yameanza kuonekana wazi,kama wizi(panya road),ubakaji,nguvu kazi ya taifa kupungua,nk

Je nini kifanyike kuzuia matumizi,biashara na usafirishaji wa bangi?

Karibuni
Wizi wa panya road hauna mauhusiano na Bangi sera mbovu za serikali ndo janga kuliko bangi
 
insikitisha zaidi siku hizi hata watoto wa kike imekuwa ndio ishu zao
 
Jana jioni nimepita sehemu nikakuta vijana wadogo kama watano hivi wanavuta bangi bila hofu. Sikuwasemesha kitu, nikawapita kimyakimya kujiepusha na shari endapo ningewasemesha wangeanza kuniletea kasheshe kwa ulevi wao wa bangi
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Kuna vijana pale mwenge wanakijiwe chao ukipita jioni asee imekuwa adi kero kwa kweli alafu ni huu upande wa lugalo kabisa kuna siku kilinuka pale ata watembea kwa miguu ikatubidi tukimbie maana ukikaa vbaya unajikuta kwa wajomba ila ile sio sawa kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Ulimsikia rais wa Colombia anasema wa legalise tu cocain
Maana whisky pombe ni mbaya kuliko cocain

Ova
 
Wakuu,

Mwanzo wakati mimi ninakua,kuvuta bangi ilikuwa inafanyika kwa siri mno, mpaka uje uambiwe kuwa huyu ni mvuta bangi ni ngumu mno,na ilikuwa inatumiwa na watu wazima wenye nguvu na ukiambiwa huyu ni mvuta bangi utaamini,kutokana na shughuli ngumu na za nguvu anazozifanya.

Wakuu, uvutaji wa bangi kwa sasa imekuwa si siri tena,na vijana wadogo chini ya miaka 20 ni watumiaji wa madawa haya mabaya zaidi nchini

Wakuu,tofauti na zamani,mvuta bangi alikuwa akivuta bangi anakuwa na nguvu na aliweza kufanya kazi ngumu za kumwingizia kipato.. sasa ni tofauti vijana hawa wakivuta wanakosa nguvu,wanawaza uzinzi na wengine kupigana.

Madhara ya bangi yameanza kuonekana wazi,kama wizi(panya road),ubakaji,nguvu kazi ya taifa kupungua,nk

Je nini kifanyike kuzuia matumizi,biashara na usafirishaji wa bangi?

Karibuni
Bangi sio mbaya Bangi ni tiba.. Bangi ndio kitu pekee kinacho weza kumuamsha yule mtu wako wa ndani....

Wasanii, wanasiasa,wachezaji, wafanyabiashara, wavuvi,wakulima, innovator wengi wanatumia Bangi (kaya) kufanya ubongo wao kua fasta fasta kwenye kutenda kuchakata taarifa.

Bangi huifanya akili ya mwanadamu ipate utulivu wa kutosha hata hao kina Mukwala,dube, mutale wakipiga pafu watatuliza kichwa wakiwa uwanjani..Bangi huleta kujiamini (confidence) ndio maana SERIKALI hairuhusu Bangi ikitumika vyema Ina tabia ya kumfanya mtu ajitambue humwamsha mtu na kufungua JICHO LA TATU (consciousness, awareness)
 
pombe ni burudani mkuu,ila bangi always huathiri mfumo mzima wa ubongo hivyo kupelekea mtu kuwa mraibu wa matumizi haya,mtu akiwa mraibu wa bangi, kwanza atatumia muda mwing kutafta hela kwa ajir ya bangi,akikosa anakuibia,vijana wakiwa hvyo nguv kaz ya taifa inapungua na vifo vingi vinatokea kutokana na matumiz haya ya bang
We unakuweje mraibu wa bang?
Bangi Haina addiction shida ni pale wanapochanganya na mavitu mengine.

Bangi ni booster ya kimwili na kiroho ukiona unavuta bang unafanya ujinga jua huo ndio uwalisia wako ama ndio unachokiwaza
 
Back
Top Bottom