Vijana wazuiwa kujiunga na Shirika la Serikali kwa kuwa na Tattoo

Vijana wazuiwa kujiunga na Shirika la Serikali kwa kuwa na Tattoo

Yani hujui watu wanavyoajiriwa kwa kuangaliwa uwezo, elimu, kufanyiwa interview oral na practical etc?

Mkuu,

Mtu anayevaa kata k anakaa backoffice hakutani na yeyote anafanya kazi yake ya web design ndiye top talent utamkataa halafu umuajiri mtu anavaa suti hajui hiyo kazi ya web design?
Ndio sijakataa, jambo la kuajiri mtu tunaangalia uwezo na sio muonekano, ila hapa nazungumzia suala la first impression kwa kuangalia muonekano ambao wengi wetu tunafanya.
 
Sawa.

Wakatae hao watu nane kwa sababu si watu poa, sio kwa sababu wamechora tattoo.

Kwa sababu ukiwakataa waliochora tattoo, kuna watu poa wawili hapo wamechora tattoo na inawezekana wana vipaji vizuri tu utavikosa na uchumi utapwaya.

Hapo ndipo wenzetu wanapotuzidi.

Wanajua kuitumia human capital vizuri.
Huwezi kujichora tattoo ukawa na akili, lazima kuna mapungufu fulani unayo
 
Kwa mtaji huu mtaendelea kuwa masikini kwa kutothamini vipaji vya watu na kuangalia muonekano wa nje wa watu.

Mtaibiwa sana na wezi wanaovaa suti nzuri wasio na tattoo, huku mkiwapigia makofi.

Uraia pacha wakatalieni hao wanaoulilia mimi natafuta uraia wa dunia nzima si uraia pacha. Usinidogoshe.
Tuache hivi hivi endelea na Uraia pacha pacha wako. Yaani kwa Afrika hayo mambo hatutaki.

Angalia kwa mfano huyu Tim Cooks, CEO wa Apple/ iPhone. Ni shoga halafu worse enough amejitangaza kuwa anapandwa na midume mingine.

Haijalishi ana akili kiasi gani cha kubuni mifumo lakini kitendo cha kuwa BWABWA hakikubaliki kwenye mzingirq ya Afrika
 
Ndio sijakataa, jambo la kuajiri mtu tunaangalia uwezo na sio muonekano, ila hapa nazungumzia suala la first impression kwa kuangalia muonekano ambao wengi wetu tunafanya.
Hata hiyo first impression ni concept shallow, hutakiwi kum judge mtu kwa first impression.
 
Huwezi kujichora tattoo ukawa na akili, lazima kuna mapungufu fulani unayo
Hii ni moja ya sababu Afrika inabaki kuwa masikini.

Mnaangalia sana muonekano wa nje kuliko undani wa mtu.

Majambazi yakishawajulia hivyo, yanavaa suti nzuri yote na kuwaibia yanavyotaka huku mnayapigia makofi.
 
Tuache hivi hivi endelea na Uraia pacha pacha wako. Yaani kwa Afrika hayo mambo hatutaki.

Angalia kwa mfano huyu Tim Cooks, CEO wa Apple/ iPhone. Ni shoga halafu worse enough amejitangaza kuwa anapandwa na midume mingine.

Haijalishi ana akili kiasi gani cha kubuni mifumo lakini kitendo cha kuwa BWABWA hakikubaliki kwenye mzingirq ya Afrika
Mkuu,

Acha kutumia Apple, acha kutumia hata internet, ineanzishwa na Wamarekani.

Toka kwenye internet ya Wamarekani anzisha yako ya mabua na vifuu, nitakuona wa maana sana.

Hapa unachofanya ni habari ya "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".
 
Huwezi kujichora tattoo ukawa na akili, lazima kuna mapungufu fulani unayo
Mkuu Stuxnet.

Unatafsiri vipi neno “akili”

Ili tujue kama kuna watu ambao wana tattoo na kweli hawana akili?
 
Mkuu,

Acha kutumia Apple, acha kutumia hata internet, ineanzishwa na Wamarekani.

Toka kwenye internet ya Wamarekani anzisha yako ya mabua na vifuu, nitakuona wa maana sana.

Hapa unachofanya ni habari ya "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".
Aliyeanzisha Internet hakuwa shoga kama Tim Cook. Situmii iPhone kamwe
 
Aliyeanzisha Internet hakuwa shoga kama Tim Cook. Situmii iPhone kamwe
Si umejinadi wewe Muafrika hutaki mambo ya kigeni?

Anzisha internet yako ya mabua uiendeshe kwa nishati ya togwa tukujue wewe kweli Muafrika hutaki mambo ya kigeni.

Na walioanzisha internet wako mashoga kibao kina Alan Turing huko. Kila unapotumia encryption kwenye internet unatumia teknolojia akiyoianzisha Alan Turing. Acha kutumia internet basi tukujue kweli hupendi mashoga.
 
Kuna siku nilikuwa naanza kazi sehemu US, nikamkuta jamaa ana tattoo kama mwili mzima, tena zile za marangirangi.

Halafu jamaa mtu poa tu.

Alikuwa anafanya kazi za web design.

Nikasema huyu mtu atakuwa na kipaji sana cha mambo ya design, halafu anayapenda sana mpaka kaamua kuufanyia mwili wake wote design za tatoo.

Na waajiri wake wamemuelewa na kumuajiri kwa kipaji chake, bila kujali anavyoonekana.

Hili ni moja kati ya mambo yanayotuangusha Africa. Tunaangalia nje mtu anaonekanaje kuliko uwezo wa mtu.

Matokeo yake, tunaacha kuchukua watu wazuri wenye vipaji ambao wana tattoo, tunakuja kuchukua wezi wasiojua kazi wanaojua kuvaa suti nzuri.

Halafu, tukishindwa kuendelea, tunashangaa kwa nini hatuendelei
Nchi nyingi za kiafrica na nizungumzie hasa hapa kwetu Tanzania tuliathiriwa sana na usoshalisti. Baada ya uhuru tulipo adopt sera za kikomunisti ndio kila kitu kiliharibika.

Yani watu wana akili zile za tufanane wote.
 
Nafikiri Kiranga hana baya kwa alichokisema, lakini anasahau kitu kimoja crucial sana, We are Africans and they are Europeans, tattoo sio mambo yetu, yes tuna tamaduni za kujichora tunapokuwa kweny sherehe za kitamaduni/kijadi lakini those aren't permanent.

Natamani Europe ibaki kuwa Europe, India ibaki kuwa India na Africa ibaki kuwa Africa.
kwa tulipo fikia sasa mkuu cultural interaction haizuiliki tena, kilichobaki sasa ni kuwa timamu wewe na watoto wako nyumbani, maana hata wao wakikua hawakusikilizi tena..,, nimewahi kuachwa hoi na MWANAMKE akiniuliza mboa simuoi na siku zinaenda? ...huku mwili wake una matatoo kiasi, nikaishia kucheka tu kama kichaa....
 
Nchi nyingi za kiafrica na nizungumzie hasa hapa kwetu Tanzania tuliathiriwa sana na usoshalisti. Baada ya uhuru tulipo adopt sera za kikomunisti ndio kila kitu kiliharibika.

Yani watu wana akili zile za tufanane wote.
Na nidhamu ya kinafiki. Ndiyo hii ya kuangalia mtu kwa nje na kuacha kumpima mtu kwa kina.

Wanasiasa wetu waongo wanaijua jamii ilivyo, ndiyo maana wanajua kuichezea kwa maigizo mwanzo mwisho.
 
kwa tulipo fikia sasa mkuu cultural interaction haizuiliki tena, kilichobaki sasa ni kuwa timamu wewe na watoto wako nyumbani, maana hata wao wakikua hawakusikilizi tena..,, nimewahi kuachwa hoi na MWANAMKE akiniuliza mboa simuoi na siku zinaenda? ...huku mwili wake una matatoo kiasi, nikaishia kucheka tu kama kichaa....
Huyo mwanamke umemfanyia vibaya.

Kwa sababu yeye anategemea ndoa, wewe unamcheka tu.

Ungemwambia tu wewe huwezi kuoa mwanamke mwenye tattoo.

Yani wewe muongomuongo halafu unaona huo uongouongo wako ni bora kuliko hizo tattoo?

Si ndiyo tunarudi kulekule ku judge muonekano badala ya tabia ya mtu?
 
Huyo mwanamke umemfanyia vibaya.

Kwa sababu yeye anategemea ndoa, wewe unamcheka tu.

Ungemwambia tu wewe huwezi kuoa mwanamke mwenye tattoo.

Yani wewe muongomuongo halafu unaona huo uongouongo wako ni bora kuliko hizo tattoo?

Si ndiyo tunarudi kulekule ku judge muonekano badala ya tabia ya mtu?
kwenye matatoo, milegezo, minywele ya hovyo, manguo ya ajabu ajabu, acha tu nirudi kule kule kwenye kum-judge mtu kwa muonekano wake....kwanza kama MWANAMKE akiwa hivyo , kichwani najua kabisa nipo na KAHABA....
 
kwenye matatoo, milegezo, minywele ya hovyo, manguo ya ajabu ajabu, acha tu nirudi kule kule kwenye kum-judge mtu kwa muonekano wake....kwanza kama MWANAMKE akiwa hivyo , kichwani najua kabisa nipo na KAHABA....
Sawa, unaruhusiwa kum judge unavyotaka, hiyo ni haki yako.

Lakini kuwa muwazi, mwambie kuwa wewe hutaki kuwa na mwanamke mwenye tattoo.

Usimpotezee muda na lengo lake la ndoa akifikiri unaweza kumuoa wakati wewe unamuona kinyago tu.

Hiyo nayo ni tabia mbaya.
 
Sawa, unaruhusiwa kum judge unavyotaka, hiyo ni haki yako.

Lakini kuwa muwazi, mwambie kuwa wewe hutaki kuwa na mwanamke mwenye tattoo.

Usimpotezee muda na lengo lake la ndoa akifikiri unaweza kumuoa wakati wewe unamuona kinyago tu.

Hiyo nayo ni tabia mbaya.
Kuna namna ulivyo inatakiwa ujitambue ulivyo juu ya muonekano wako na watu watakakuchukulia,...huwezi kuwa na muonekano wa kikahaba alafu utegemee watu wakuone wife material.... huwezi kuwa na muonekano kama kibaka,panya road alafu utegemee kuwa watu watakuchukulia kama uko timamu.....kwanza aliponiuliza kuhusu NDOA niliona amenidharau sana🥱
 
Kuna namna ulivyo inatakiwa ujitambue ulivyo juu ya muonekano wako na watu watakakuchukulia,...huwezi kuwa na muonekano wa kikahaba alafu utegemee watu wakuone wife material.... huwezi kuwa na muonekano kama kibaka,panya road alafu utegemee kuwa watu watakuchukulia kama uko timamu.....kwanza aliponiuliza kuhusu NDOA niliona amenidharau sana🥱
Sawa. Nimekwambia hivii.

Wewe unaruhusiwa ku judge vyovyote unavyotaka. Hiyo ni haki yako. Hakuna atakayekuingilia hapo.

Post yako ya #39 ni pointless. Kwa sababu mimi nishakwambia una uhuru wa ku judge unavyotaka, hilo halina ubishi. Tatizo lipo kwenye uwazi wako. Weee huja address kabisa point ya uwazi wako, ya wewe kujisa uwazi, unaendelea ku judge tu, kitu ambacho sijakupinga kabisa kwamba una haki ya ku judge.

Judge unavyotaka.

Lakini pia unatakiwa uwe muwazi kwake. Mwambie hutaki kuwa na mtu mwenye tattoo.

Inaonekana hujawa muwazi kwake, unampa matumaini kwamba kuna uwezekano wa kuwapo ndoa, wakati kwenye kichwa chako unamcheka tu na kumuona kahaba mwenye tattoo asiyefaa kuolewa.

Mtendee haki, mwambie wewe hutaki kuwa na mtu mwenye tattoo.

Vinginevyo, wewe utakuwa unamcheka mtu kwa sababu ana tattoo, kitu cha muonekano wa nje tu, wakati wewe una tatizo la kimaadili, tatizo la ndani kabisa, la ulaghai wa kumpa matumaini mtu kwamba inawezekana ukamuoa wakati huna mpango huo.

Hii point umeielewa?

Naona kama unairuka na kusisitiza kuusema vibaya muonekano wa mtu mwenye tattoo tu.
 
Back
Top Bottom