Vijana wazuiwa kujiunga na Shirika la Serikali kwa kuwa na Tattoo

Vijana wazuiwa kujiunga na Shirika la Serikali kwa kuwa na Tattoo

Sawa. Nimekwambia hivii.

Wewe unaruhusiwa ku judge vyovyote unavyotaka. Hiyo ni haki yako. Hakuna atakayekuingilia hapo.

Lakini pia unatakiwa uwe muwazi kwake. Mwambie hutaki kuwa na mtu mwenye tattoo.

Inaonekana hujawa muwazi kwake, unampa matumaini kwamba kuna uwezekano wa kuwapo ndoa, wakati kwenye kichwa chako unamcheka tu na kumuona kahaba mwenye tattoo asiyefaa kuolewa.

Mtendee haki, mwambie wewe hutaki kuwa na mtu mwenye tattoo.

Vinginevyo, wewe utakuwa unamcheka mtu kwa sababu ana tattoo, kitu cha muonekano wa nje tu, wakati wewe una tatizo la kimaadili, tatizo la ndani kabisa, la ulaghai wa kumpa matumaini mtu kwamba inawezekana ukamuoa wakati huna mpango huo.

Hii point umeielewa?

Naona kama unairuka na kusisitiza kuusema vibaya muonekano wa mtu mwenye tattoo tu.
kujua ndoa ipo au haipo hilo sio jukumu langu, hilo ni lake....mtu upo kikahaba alafu unategemea NDOA?...mbona haileti maana hii...au ndoa siku hizi zimekua rahisi rahisi kiasi hicho🧐🧐
 
kujua ndoa ipo au haipo hilo sio jukumu langu, hilo ni lake....mtu upo kikahaba alafu unategemea NDOA?...mbona haileti maana hii...au ndoa siku hizi zimekua rahisi rahisi kiasi hicho🧐🧐
Wewe ni mlaghai, ushaona huyu mtu sitaki kumuoa, lakini hutaki kumwambia hilo, wakati mwenzako anategemea umuoe.

Huo ni utapeli wa mapenzi.
 
Wewe ni mlaghai, ushaona huyu mtu sitaki kumuoa, lakini hutaki kumwambia hilo, wakati mwenzako anategemea umuoe.

Huo ni utapeli wa mapenzi.
Unapotaka ndoa, basi jiweke kama mke au mume mtarajiwa, na sio Kahaba, muhuni au malaya....
 
Unapotaka ndoa, basi jiweke kama mke au mume mtarajiwa, na sio Kahaba, muhuni au malaya....
Unazunguka pale pale kwenye kum judge mtu tu, ambako nishakwambia una uhuru wote.

Lakini, hujaji judge wewe mwenyewe wajibu wako wa kuwa muwazi.

Wewe ni mtu mbinafsi sana. Mlaghai na mbinafsi.

Possibly mjinga pia, huna uwezo wa self reflection na introspection.

Unaona makosa ya wenzako tu, yako huyaoni.
 
Si umejinadi wewe Muafrika hutaki mambo ya kigeni?

Anzisha internet yako ya mabua uiendeshe kwa nishati ya togwa tukujue wewe kweli Muafrika hutaki mambo ya kigeni.

Na walioanzisha internet wako mashoga kibao kina Alan Turing huko. Kila unapotumia encryption kwenye internet unatumia teknolojia akiyoianzisha Alan Turing. Acha kutumia internet basi tukujue kweli hupendi mashoga.
Kwani kabla ya Internet hatuku survive? Hata hivyo Internet haikuanzishwa na huyo shoga. Internet ilianzishwa nanJeshi la Marekani kwa ajili ya mawasiliano yao na vikosi vilivyo sehemu mbalimbali duniani miaka ya mwisho mwa 1960s.

Ila ilikuja kuwa introduced kwa public domain kwenye early 1990s
 
Kwani kabla ya Internet hatuku survive? Hata hivyo Internet haikuanzishwa na huyo shoga. Internet ilianzishwa nanJeshi la Marekani kwa ajili ya mawasiliano yao na vikosi vilivyo sehemu mbalimbali duniani miaka ya mwisho mwa 1960s.

Ila ilikuja kuwa introduced kwa public domain kwenye early 1990s
Sasa umekubali vitu vya Wamarekani vilivyo vigeni kwenu Waafrika?
 
Broo undani wa mtu unauonaje kwa mtu uliyekutana nae kwa muda mfupi, ujue una complicate mambo cause hata wewe, mimi na mtu mwingine yeyote huwaga tunaanza kum-define kwa external appearance kwanza.

Sasa Mfano, mtu aliyevaa "Kata-k" (kavaa suruali kwa kushusha matakoni) na mtu aliyevaa suruali yake safi kabisa kiunoni, hao watu utawa-define sawa??
Basi tu kaamua kibisha ila ukweli ndo huo, muonekano wa mtu ni muhimu sana.
 
Basi tu kaamua kibisha ila ukweli ndo huo, muonekano wa mtu ni muhimu sana.

Kila kitu kina muktadha, kina mizani.

Muonekano wa mtu unaweza kuwa muhimu. Lakini pia, tunaangalia sababu? Tunaangalia muktadha? Tunaangalia vitu vingine zaidi ya muonekano tu?

Au tunaishia kwenye muonekano?

Kwa mfano, ukiwa na mtu web designer ambaye ana tattoo mwili mzima, ukamuuliza kwa nini ana tattoo mwili mzima, akakueleza kuwa yeye anapenda sana design, na ka dedicate maisha yake yote kwenye design, na ile kazi ya web design kwake si kazi tu, ni maisha anayoishi, na huyo mtu ni mzuri kweli kwenye web design, anaijua kazi yake vizuri sana, ni muadilifu kichizi.

Wewe ndiye bosi muajiri. Anakuja huyo kwenye interview.

Halafu anakuja mtu mwingine kavaa suti nzuri, hana tattoo, hajui chochote kuhusu hiyo kazi ya web design, ukiongea naye anaonekana muongomuongo tu.

Kazi ya web design haihitaji mfanyakazi akutane sana na watu wala avae suti.

Wewe kama meneja muajiri unayeendesha interview utampa kazi nani hapo?
 
Unazunguka pale pale kwenye kum judge mtu tu, ambako nishakwambia una uhuru wote.

Lakini, hujaji judge wewe mwenyewe wajibu wako wa kuwa muwazi.

Wewe ni mtu mbinafsi sana. Mlaghai na mbinafsi.

Possibly mjinga pia, huna uwezo wa self reflection na introspection.

Unaona makosa ya wenzako tu, yako huyaoni.
Ni wewe Amina nini?..maana umekasirika sana🙄🙄..

wewe ni mpumbavu, upo kama kahaba na unataka utendewe kama wife material....pumbavu na nusu....
 
Ni wewe Amina nini?..maana umekasirika sana🙄🙄..

wewe ni mpumbavu, upo kama kahaba na unataka utendewe kama wife material....pumbavu na nusu....
Kama nilivyotabiri.

Wewe ni mjinga, ndiyo maana umeshindwa kufanya abstract conversation. Umeshindwa self reflection. Umeshindwa kuwa na introspection.

Umepoteza privileges za kuwasiliana nami moja kwa moja.

Nakupeleka ignore list, kuanzia hapa sitaona unachopost.
 
Vijana wengi wanachora tattoo kwa kufata mkumbo hasara sana
 
Kama nilivyotabiri.

Wewe ni mjinga, ndiyo maana umeshindwa kufanya abstract conversation. Umeshindwa self reflection. Umeshindwa kuwa na introspection.

Umepoteza privileges za kuwasiliana nami moja kwa moja.

Nakupeleka ignore list, kuanzia hapa sitaona unachopost.
kumbe na we ni papai...
 
Kila kitu kina muktadha, kina mizani.

Muonekano wa mtu unaweza kuwa muhimu. Lakini pia, tunaangalia sababu? Tunaangalia muktadha? Tunaangalia vitu vingine zaidi ya muonekano tu?

Au tunaishia kwenye muonekano?

Kwa mfano, ukiwa na mtu web designer ambaye ana tattoo mwili mzima, ukamuuliza kwa nini ana tattoo mwili mzima, akakueleza kuwa yeye anapenda sana design, na ka dedicate maisha yake yote kwenye design, na ile kazi ya web design kwake si kazi tu, ni maisha anayoishi, na huyo mtu ni mzuri kweli kwenye web design, anaijua kazi yake vizuri sana, ni muadilifu kichizi.

Wewe ndiye bosi muajiri. Anakuja huyo kwenye interview.

Halafu anakuja mtu mwingine kavaa suti nzuri, hana tattoo, hajui chochote kuhusu hiyo kazi ya web design, ukiongea naye anaonekana muongomuongo tu.

Kazi ya web design haihitaji mfanyakazi akutane sana na watu wala avae suti.

Wewe kama meneja muajiri unayeendesha interview utampa kazi nani hapo?
Mkuu umekomalia mfano wa web design kwasababu huyo jamaa haonekani mbele, sio nembo ya kampuni.

Kuna kazi hata kama una weredi namna gani bila muonekano mzuri hutoboi, uwe sales manager, au upo kitengo cha merketing na una matattoo mwili mzima sio rahisi mteja kukuelewa kirahisi labda uwe huko huko kwenye kampuni za tattoo.

Ni kweli usemayo lakini si kwa kila nafasi mkuu, muonekano una maana kubwa kwenye kuajiriwa.
 
Mkuu umekomalia mfano wa web design kwasababu huyo jamaa haonekani mbele, sio nembo ya kampuni.

Kuna kazi hata kama una weredi namna gani bila muonekano mzuri hutoboi, uwe sales manager, au upo kitengo cha merketing na una matattoo mwili mzima sio rahisi mteja kukuelewa kirahisi labda uwe huko huko kwenye kampuni za tattoo.

Ni kweli usemayo lakini si kwa kila nafasi mkuu, muonekano una maana kubwa kwenye kuajiriwa.
Hayo yanatokana na ujinga wa jamii tu.

Unaweza kumkataa salesman mjanja sana anayejua kukutafutia deals, ambaye yupo dedicated kwenye kazi yake, hana tatizo, anataka kukupa 20% discount, kwa sababu ana tattoo tu?

Utachagua asiye na tattoo atakayekugonga an extra 20% just because hana tattoo?

Ukichagua asiye na tattoo hapo utakuwa mjinga sana.

Hatupimi vitu vya msingi, tunaangalia tattoo. Halafu tukishindwa kuendelea, tunatafuta mchawi kwa nini hatuendelei.

Jamii ambazo hazijali tatoo, zinajali performance, zikitupita kiuchumi, tunashangaa na kujiuliza kwa nini hawa wanatushinda?

Hatuoni kabisa kuwa wenzetu wanaitumia vizuri zaidi labor force yao.

By the way, waajiri kuwa na vikwazo vingi visivyo na maana kwenye ajira ni ishara ya "an employer's market", ambayo ni ishara ya high unemployment, ambayo ni ishara ya uchumi mbovu.

Nchi ikiwa na uchumi mzuri, automatically ule uchumi utakuwa inclusive, kwa sababu kutakuwa na low unemployment na soko la ajira litakuwa "a jobseekers market".

Tanzania muajiri anaweza hata kukunusa mdomo kabla ya kukuajiri, au kulazimisha muajiriwa ajue ki Gujarati, kwa sababu watu wengi wanaombeleza kazi, uchumi mbovu, ndiyo maana unaona habari hizi.

Hii ni dalili ya uchumi mbovu.

Watu wengine wanaweka tattoo kwa sababu ya dini zao, hapo ukikataa wote wanaoweka tattoo ushaingilia uhuru wa kuabudu wa watu, umevunja katiba na haki za binadamu kama zilivyoandikwa katika Universal Declaration of Human Rights tangu December 10 1948.
 
Hayo yanatokana na ujinga wa jamii tu.

Unaweza kumkataa salesman mjanja sana anayejua kukutafutia deals, ambaye yupo dedicated kwenye kazi yake, hana tatizo, anataka kukupa 20% discount, kwa sababu ana tattoo tu?

Utachagua asiye na tattoo atakayekugonga an extra 20% just because hana tattoo?

Ukichagua asiye na tattoo hapo utakuwa mjinga sana.

Hatupimi vitu vya msingi, tunaangalia tattoo. Halafu tukishindwa kuendelea, tunatafuta mchawi kwa nini hatuendelei.

Jamii ambazo hazijali tatoo, zinajali performance, zikitupita kiuchumi, tunashangaa na kujiuliza kwa nini hawa wanatushinda?

Hatuoni kabisa kuwa wenzetu wanaitumia vizuri zaidi labor force yao.

By the way, waajiri kuwa na vikwazo vingi visivyo na maana kwenye ajira ni ishara ya "an employer's market", ambayo ni ishara ya high unemployment, ambayo ni ishara ya uchumi mbovu.

Nchi ikiwa na uchumi mzuri, automatically ule uchumi utakuwa inclusive, kwa sababu kutakuwa na low unemployment na soko la ajira litakuwa "a jobseekers market".

Tanzania muajiri anaweza hata kukunusa mdomo kabla ya kukuajiri, au kulazimisha muajiriwa ajue ki Gujarati, kwa sababu watu wengi wanaombeleza kazi, uchumi mbovu, ndiyo maana unaona habari hizi.

Hii ni dalili ya uchumi mbovu.

Watu wengine wanaweka tattoo kwa sababu ya dini zao, hapo ukikataa wote wanaoweka tattoo ushaingilia uhuru wa kuabudu wa watu, umevunja katiba na haki za binadamu kama zilivyoandikwa katika Universal Declaration of Human Rights tangu December 10 1948.
Bado sikubaliani na wewe mkuu, kwasababu kwa nchi zetu hizi tattoo huchora watu gani??

Hii sio America mkuu, kuna namna uchoraji wa tattoo hutafsiriwa hapa kwetu.
Ni kama tu watu kuvaa mlegezo, nguo fupi sana kwa ke, etc ni vitu personal lakini kwa nchi yetu bado vinatumika kumdefine mtu kwa mara ya kwanza.

Na hapa kwetu hivyo vitu huleta matokeo chanya, wenye tattoo wana falme zao huko kwenye usanii, urembo, michezo.

Hata huko America mbona hamna waliojichora tattoo kwenye nafasi zao za juu kiutawala(tunaowaona).
Hata marasta tu siwaonagi achilia mbali wavaa jeans na t shirt. Wote wamekula suti nyoofu kabisa.

Nakubaliana na wewe kutomjudge mtu kwa muonekano wake bali uwezo wake lakini sio kwenye kila sekta, kuna nyadhfa zina mavazi yake, muonekano wake, uongeaji wake, ukifeli kimojawapo unakua hufai.
 
Bado sikubaliani na wewe mkuu, kwasababu kwa nchi zetu hizi tattoo huchora watu gani??

Hii sio America mkuu, kuna namna uchoraji wa tattoo hutafsiriwa hapa kwetu.
Ni kama tu watu kuvaa mlegezo, nguo fupi sana kwa ke, etc ni vitu personal lakini kwa nchi yetu bado vinatumika kumdefine mtu kwa mara ya kwanza.

Na hapa kwetu hivyo vitu huleta matokeo chanya, wenye tattoo wana falme zao huko kwenye usanii, urembo, michezo.

Hata huko America mbona hamna waliojichora tattoo kwenye nafasi zao za juu kiutawala(tunaowaona).
Hata marasta tu siwaonagi achilia mbali wavaa jeans na t shirt. Wote wamekula suti nyoofu kabisa.

Nakubaliana na wewe kutomjudge mtu kwa muonekano wake bali uwezo wake lakini sio kwenye kila sekta, kuna nyadhfa zina mavazi yake, muonekano wake, uongeaji wake, ukifeli kimojawapo unakua hufai.
Huwezi kunielewa kwa sababu wewe ume ji limit katika mifumo iliyopo katika nchi zetu.

Mimi nakuonesha matatizo yaliyopo katika nchi zetu ambayo tukiyamaliza tunaweza kupiga hatua na kujinasua.

In the abstract. Ndiyo maana point yako ya "hata America...." inaweza kuwa si valid. America kwenyewe bado wana changamoto nyingi sana za ujinga wa puritanism. This is what the whole deal is about. The folly of puritanism.

Kama kuna vichaa wengi wanajichora tattoo Tanzania, halafu kuna Einstein mmoja tu anayeweza kutusaidia sana naye kajichora tatoo, tunatakiwa kuwa na mfumo ambao utapima kichaa, tuwachuje vichaa kwa sababu ni vichaa, si kwa sababu wana tattoo. Kwa sababu, tukisema tattoo inaonesha kichaa, tutamchuja mpaka huyu Einstein mmoja genius ambaye hana kichaa ila ana tattoo, na angeweza kutusaidia sana.

Tanzania na Africa tuna tatizo kubwa sana la kuangalia muonekano wa nje kuliko undani wa mtu.

Ndiyo maana tunawachagua majambazi wanaojua kuvaa suti, kuvaa ushungi, na kutoa hotuba nzuri watuongoze.

Kuna mzee mmoja, mshua old school, alikuwa anawaona vijana w amtaani wahuni, wavuta bangi tu.

Siku moja, alikuwa anatoka kwake, katika getini tu gari likamuharibikia. Wale vijana w amtaani aliokuwa anawaona wavuta bangi tu wakaja kumsaidia. Mzee hajui kitu kuhusu kutengeneza gari. Wale vijana kumne wengine ni mafundi magari, wakamsaidia, wakamtengenezea gari. Akataka kuwaliapa wakakataa, wakasema wewe mzee wetu wa mtaani tumekutengenezea bure tu.

Kuanzia siku ile, yule mzee aliacha dharau zake za kuona wale vijana wahuni wavuta bangi tu. Alikuja kugundua kuwa wake vijana wengine ni clean heart kichizi.

Kuna siku moja nilikwenda ofisini kwa mzazi wangu, nilimpitia turudi nyumbani.

Sasa, kufika ofisini, nikakuta kuna watu wengi wanasubiri kumuona. Anaongea nao ndani ofisininkwake, anawatoa, next, the same.

Basi, akaingia jamaa mmoja mzungu. Naye anataka kumuona mzee wangu. Ikawa secretary kamrusha mstari, kamuweka mwanzo kabisa ingawa yeye kaingia mwisho. Kwa sababu mzungu.

Basi, yule mzungu akaingia, hakukaa sana, akatoka.

Mwisho wa siku, nikamsikia baba yangu anamwambia yule secretary kwamba, nimeona umemrusha mstari wa kuja kuniona yule mzungu. Kwa taarifa yako, usibabaike kwa kuangalia muonekano wa mtu wa nje kwa sababu mzungu au kavaa suti tu. Yule mzungu ni tapeli hana deal lolote. Pale umewaacha wafanyabiashara wakubwa ukamuweka yule mzungu tapeli mwanzo.

Bado tunafanya kosa lile lile alilofanya secretary wa baba yangu.

Tunawaangalia sana watu wanaonekanaje nje, kuliko kuwapima undani wao.
 
Huwezi kunielewa kwa sababu wewe ume ji limit katika mifumo iliyopo katika nchi zetu.

Mimi nakuonesha matatizo yaliyopo katika nchi zetu ambayo tukiyamaliza tunaweza kupiga hatua na kujinasua.

In the abstract. Ndiyo maana point yako ya "hata America...." inaweza kuwa si valid. America kwenyewe bado wana changamoto nyingi sana za ujinga wa puritanism. This is what the whole deal is about. The folly of puritanism.

Kama kuna vichaa wengi wanajichora tattoo Tanzania, halafu kuna Einstein mmoja tu anayeweza kutusaidia sana naye kajichora tatoo, tunatakiwa kuwa na mfumo ambao utapima kichaa, tuwachuje vichaa kwa sababu ni vichaa, si kwa sababu wana tattoo. Kwa sababu, tukisema tattoo inaonesha kichaa, tutamchuja mpaka huyu Einstein mmoja genius ambaye hana kichaa ila ana tattoo, na angeweza kutusaidia sana.

Tanzania tuna tatizo kubwa sana la kuangalia muonekano wa nje kuliko undani wa mtu.

Kuna mzee mmoja, mshua old school, alikuwa anawaona vijana w amtaani wahuni, wavuta bangi tu.

Siku moja, alikuwa anatoka kwake, katika getini tu gari likamuharibikia. Wale vijana w amtaani aliokuwa anawaona wavuta bangi tu wakaja kumsaidia. Mzee hajui kitu kuhusu kutengeneza gari. Wale vijana kumne wengine ni mafundi magari, wakamsaidia, wakamtengenezea gari. Akataka kuwaliapa wakakataa, wakasema wewe mzee wetu wa mtaani tumekutengenezea bure tu.

Kuanzia siku ile, yule mzee aliacha dharau zake za kuona wale vijana wahuni wavuta bangi tu. Alikuja kugundua kuwa wake vijana wengine ni clean heart kichizi.

Kuna siku moja nilikwenda ofisini kwa mzazi wangu, nilimpitia turudi nyumbani.

Sasa, kufika ofisini, nikakuta kuna watu wengi wanasubiri kumuona. Anaongea nao ndani ofisininkwake, anawatoa, next, the same.

Basi, akaingia jamaa mmoja mzungu. Naye anataka kumuona mzee wangu. Ikawa secretary kamrusha mstari, kamuweka mwanzo kabisa ingawa yeye kaingia mwisho. Kwa sababu mzungu.

Basi, yule mzungu akaingia, hakukaa sana, akatoka.

Mwisho wa siku, nikamsikia baba yangu anamwambia yule secretary kwamba, nimeona umemrusha mstari wa kuja kuniona yule mzungu. Kwa taarifa yako, usibabaike kwa kuangalia muonekano wa mtu wa nje kwa sababu mzungu au kavaa suti tu. Yule mzungu ni tapeli hana deal lolote. Pale umewaacha wafanyabiashara wakubwa ukamuweka yule mzungu tapeli mwanzo.

Bado tunafanya kosa lile lile alilofanya secretary wa baba yangu.

Tunawaangalia sana watu wanaonekanaje nje, kuliko kuwapima undani wao.
Ndgu ulitakalo haliwezi kua.

Kama nilivyosema awali, kuna sekta za kufanya hayo sio sekta zote.

Wewe ulitolea mfano marekani na mimi nikafanya hivyo hivyo kua hata huko unalikosema huyo web designer aliajiliwa nako bado, ila sasa hivi tena nako unakupondea wakati kabla ulitunanga watz ukawajaza US hadi mfano ukatoa wa huko US.


Appearence ni mojawapo ya communication skills, kabla hatujaongea kwanza ni jins unavyoonekana ndio itadetermine upewe salamu ya namna gani, hapo pia ushamjudge mtu kwa muonekano wake.

Ingekua hivyo utakavyo wewe sijui kama dunia ingekalika, imagine unamkuta mtu kavaa kama Lil Wayn ndo meneja wa benki, wafanyakazi ni kama kina Ngoma nagwa na vipini vyao puani ndio wafanyakazi wa hapo, bila shala muonekano wao utaathiri mwenendo wa kampuni.
 
Ndgu ulitakalo haliwezi kua.

Kama nilivyosema awali, kuna sekta za kufanya hayo sio sekta zote.

Wewe ulitolea mfano marekani na mimi nikafanya hivyo hivyo kua hata huko unalikosema huyo web designer aliajiliwa nako bado, ila sasa hivi tena nako unakupondea wakati kabla ulitunanga watz ukawajaza US hadi mfano ukatoa wa huko US.


Appearence ni mojawapo ya communication skills, kabla hatujaongea kwanza ni jins unavyoonekana ndio itadetermine upewe salamu ya namna gani, hapo pia ushamjudge mtu kwa muonekano wake.

Ingekua hivyo utakavyo wewe sijui kama dunia ingekalika, imagine unamkuta mtu kavaa kama Lil Wayn ndo meneja wa benki, wafanyakazi ni kama kina Ngoma nagwa na vipini vyao puani ndio wafanyakazi wa hapo, bila shala muonekano wao utaathiri mwenendo wa kampuni.

Your objection is very arbitrary, shallow and limited to what is while ignoring what could be. Basically it is rich with the poverty of imagination.

Yani ungeishi kwenye Tanzania ambayo haina barabara za lami, ungesema Tanzania haiwezi kuwa na barabara za lami, kwa sababu hujazoea kuona barabara za lami.

It is said that a revolution may seem impossible before it happens, but inevitable after it happens.

Kwanza kabisa, hakuna ninalolitaka liwe.

Nafanya uchambuzi wa abstract tu kwamba ukifanya hivi, usitegemee matokeo haya.

Kama unalima kwa kutotumia shamba lako lote na hesabu za kuvuna optimum, usitegemee mavuno optimum.

Africa ina changamoto kubwa ya ku develop na kutumia human capital. Hatujui kuangalia potential ya mtu na kui cultivate. Tunapenda sana kuweka vikwazo vya kijinga kila sehemu. Tunapenda sana kuwindana na kubwengana.

Hata malezi yetu ya watoto ni hivyo hivyo tu. Mtoto anajikojolea, unampiga tu mpaka aache kujikojolea. Hujui psychological issues, hujui biology, unataka kumaliza matatizo kwa shortcuts tu. Piga tu.

Ndiyo muendelezo wake huu. Una tattoo? Utapigwa tu. Maana hamna jinsi.

Hatujui kuwa hapo tunatupa talent kwa judgement ya jumlajumla.

Tukiongelea maendeleo ni rahisi sana kuongelea miundombinu, barabara, madini, mazao.

Lakini hatuongelei human capital and development of potential. Kimsingi Africa maisha ya mtu hayana thamani. Very disposable.

Ndiyo maana unaweza kuona mtu mwenye tattoo atupwe tu, si ana tattoo?

Wenzako wanasema "this is a neurodivergent talent, a creative type maybe? Let's look to see where he will fit". Wanamtafutia sehemu ataenda kufit hata kama ana mtindio wa ubongo.

Mimi miaka ya mwanzo kabisa kufika Marekani nilishangaa, nilikutana na jamaa ana mtindio wa ubongo, hata kusema anasema kwa shida. Lakini anafanya kazi supermarket anapanga maboksi. Na jamii yake inampenda. Kwenye basi kila siku asubuhi watu walikuwa wanapenda stories zake.

Jamaa akawa kama star fulani kila siku asubuhi kwenye basi tukienda kazini.

Nikasema huyu angekuwa Bongo angefungiwa ndani na familia na kuitwa ndondocha.

Wenzetu wanajua kutumia mpaka watu wenye mtindio wa ubongo. Wanawapa kazi zinazowafaa, watu wanakuwa na dignity.

Sisi ukiwa na tattoo tu, unatupwa. Hufai.

Hakuna chochote ninachotaka zaidi ya kufanya uchambuzi, mnaweza kujiamulia vyovyote mnavyotaka kuishi mkaishi hivyo. Mna uhuru huo.

Na kadiri mambo yanavyokwenda kidunia, mtakubali tu kwenda na dunia ya ushindani wa mambo ya msingi.

Either that, au mtabaki kwenye umasikini wa kudumu.

Vijananwenu wenye vipaji wataona hii nchi inaendekeza ujinga, myawasomesha halafu watawakimbia waende kufanya kazi nje.

Ujinga wa exlusivity kama hizi ndio unafanya vizazi vya vijana wa Afrika wapande viboti na kukimbilia Ulaya kutafuta maisha. Wanajiona watengwa nyumbani kwao, bila sababu za msingi.

Halafu mtabaki mnajiuliza. Mbona Watanzania wanashindwa ku perform wakiwa Tanzania, lakini wakienda nje baadhi yao wana perform sana.

Kumbe sababu zinaanzia kwenye upuuzi huu wa kuwa na stupid exclusivity.

Mtu snataka kuingia jeshini ajitolee hata kuuawa ili alinde nchi yaje, halafu unamkatalia kwa sababu ana tattoo?

Ujinga mtupu.
 
Wenzako wanasema "this is a neurodivergent talent, a creative type maybe? Let's look to see where he will fit". Wanamtafutia sehemu ataenda kufit hata kama ana mtindio wa ubongo.
Mbona unarudia kile nilichokisema, hao wenye tattoo wana sekta zao, we mwenyewe umehusisha tattoo na creativity na ndiko waliko huko, wasanii, wachoraji, wahunzi wengi ndo huchora tattoo.

Halafu unaitolea mfano US wakati kule mwanzo pia uliandika nayo ina hilo tatizo.

Tungeona viongozi wa huko ulaya wana tattoo mwili mzima, wananyoa kama wasanii wa nchi hizo, ni marasta man, wanavaa t-shirt na jeans halafu wanatinga kwenye vikao vya umoja wa mataifa hapo ningeamini usemalo kua muonekano wa mtu huko ulaya hutizamwa tofauti kabisa na huku Africa.

Bado nakusisitizia kua hao wenye tattoo na wenye mionekano ifafanayo na hiyo hata iwe wapi wana sekta zao wanazofit, hata kama una ushawishi mzuri lakini unavaa kihuni watu hawatakuelewa.

Mfano waziri mkuu wa ujerumani ni shoga, rapper Lil Nas X nae ni shoga, vipi mionekano yao inafanana??
Mmoja msanii mwingine ni waziri mkuu. Kazi tofauti, mionekano tofauti lakini wapo jamii moja. Unadhani ni kwanini waziri mkuu huyo havai kama Nas??

Mfano mwingine, BBC, DW, Aljazeera ni vyombo vikubwa vya habari duniani vipi muonekano wa wanahabari wa ukoje?? Wanavaa kama wanahabari za udaku?? Kuna miiko ya muonekano kwa kila sekta.

kila sekta ina miiko yake kaka jeshini pia ni hivyo, halafu sio tattoo pekee hata makovu hayatakiwi.
 
Vijananwenu wenye vipaji wataona hii nchi inaendekeza ujinga, myawasomesha halafu watawakimbia waende kufanya kazi nje.
Mtu akimbie nchi yake kisa tattoo 😂😂.
Kwani waliotoboa wakiwa hii nchi wametoboaje, sasa ukimbie nchi yako halafu umuachie nani.?

Anza wewe kubadilika, badilisha mindset za watoto wako na jamii inayokuzunguka. Ulaya hawakuamka tu wakajikuta wako mbali kimaendeleo, ni vizazi na vizazi, kuna watu walijitoa kwa ajili ya nchi zao.

Yaani unakimbia matatizo halafu unawadisi wanaokabiliana nayo.
 
Back
Top Bottom