Vijana wazuiwa kujiunga na Shirika la Serikali kwa kuwa na Tattoo

Vijana wazuiwa kujiunga na Shirika la Serikali kwa kuwa na Tattoo

Baadhi ya Vijana wamezuiliwa kushiriki katika zoezi la uajiri katika Shirika la Vijana la Serikali la National Youth Service (NYS) kwa sababu ya kuwa na michoro kwenye miili yao hata baada ya kuwa na Vigezo vya Kitaaluma na kufaulu mtihani wa Afya ya Mwili

Baadhi ya Vijana walioondolewa kwenye zoezi hilo walihoji uamuzi huo na kuwataka mamlaka kufikiria tena hatua hiyo, ambapo Shirika limeahidi kutoa taarifa mwishoni wa zoezi la Usajili

Kila Mwaka, Vijana takribani 30,000 wanasajiliwa na Shirika hilo na kufundishwa stadi mbalimbali zikiwemo za Kijeshi, Uhandisi, Mitindo na Ubunifu, Uongozi wa biashara, Uendeshaji wa Mitambo, Ujenzi na kujiandaa kwa masuala mengine ya kitaifa kama huduma katika vikosi vya Ulinzi, Ujenzi wa Taifa na kukabiliana na maafa.


...........


Some Kenyan youths have been locked out of the ongoing recruitment into the state youth agency for inscribing tattoos on their bodies.

Even though they met academic qualifications and also passed the physical fitness test to join the National Youth Service (NYS), they were found ineligible because of the body art.

Some of the disqualified youths questioned the decision to lock them out of the exercise simply because of their art and urged the authorities to reconsider the move.

Authorities did not immediately give reasons for the move but they promised to issue a statement at the end of the exercise, local media reported.

The NYS recruitment, which is taking place countrywide, began on Monday, and is seeking to net at least 15,000 recruits

Source: BBC
ULitaka mtumishi wa umma mhuni? Alilazimishwa kujichorea hiyo tatoo? Avune alichopanda
 
Mbona unarudia kile nilichokisema, hao wenye tattoo wana sekta zao, we mwenyewe umehusisha tattoo na creativity na ndiko waliko huko, wasanii, wachoraji, wahunzi wengi ndo huchora tattoo.

Halafu unaitolea mfano US wakati kule mwanzo pia uliandika nayo ina hilo tatizo.

Tungeona viongozi wa huko ulaya wana tattoo mwili mzima, wananyoa kama wasanii wa nchi hizo, ni marasta man, wanavaa t-shirt na jeans halafu wanatinga kwenye vikao vya umoja wa mataifa hapo ningeamini usemalo kua muonekano wa mtu huko ulaya hutizamwa tofauti kabisa na huku Africa.

Bado nakusisitizia kua hao wenye tattoo na wenye mionekano ifafanayo na hiyo hata iwe wapi wana sekta zao wanazofit, hata kama una ushawishi mzuri lakini unavaa kihuni watu hawatakuelewa.

Mfano waziri mkuu wa ujerumani ni shoga, rapper Lil Nas X nae ni shoga, vipi mionekano yao inafanana??
Mmoja msanii mwingine ni waziri mkuu. Kazi tofauti, mionekano tofauti lakini wapo jamii moja. Unadhani ni kwanini waziri mkuu huyo havai kama Nas??

Mfano mwingine, BBC, DW, Aljazeera ni vyombo vikubwa vya habari duniani vipi muonekano wa wanahabari wa ukoje?? Wanavaa kama wanahabari za udaku?? Kuna miiko ya muonekano kwa kila sekta.

kila sekta ina miiko yake kaka jeshini pia ni hivyo, halafu sio tattoo pekee hata makovu hayatakiwi.
Hiyo kusema wenye tatto wana sectir yao ni mwanzo wa kutambua neurodivergent talent katika jamii inayoona kuwa mwenye tattoo hafai kwa chochote ni muhuni mvuta madawa ya kulevya tu.

Eventually ukifuatia falsafa ya inclusivity, falsafa ya kuwa result oriented, utakubali mwenye tattoo anaweza kuwa hata rais.

Mkuu,

Ushaona ma tattoo ya Mfalme wa Tahiland?

 
Mtu akimbie nchi yake kisa tattoo 😂😂.
Kwani waliotoboa wakiwa hii nchi wametoboaje, sasa ukimbie nchi yako halafu umuachie nani.?

Anza wewe kubadilika, badilisha mindset za watoto wako na jamii inayokuzunguka. Ulaya hawakuamka tu wakajikuta wako mbali kimaendeleo, ni vizazi na vizazi, kuna watu walijitoa kwa ajili ya nchi zao.

Yaani unakimbia matatizo halafu unawadisi wanaokabiliana nayo.
Mkuu,

Huelewi falsafa ya inclusivity ilivyofanya nchi ziendelee na exclusivity ikivyofanya nchi ziwe masikini.
 
Hiyo kusema wenye tatto wana sectir yao ni mwanzo wa kutambua neurodivergent talent katika jamii inayoona kuwa mwenye tattoo hafai kwa chochote ni muhuni mvuta madaya yavkulevya tu.

Eventually ukifuatia falsafa ya inclusivity, falsafa ya kuwa result oriebted, utakubali mwenye tattoo anaweza kuwa hata rais.

Mkuu,

Ushaona ma tattoo ya Mfalme wa Tahiland?

Hayo ya uhuni umeyasema wewe ila mi sijamaanisha ni wahuni. Kwani usanii ni uhuni? Uhunzi ni uhuni? Uchoraji ni uhuni? Usuo ni uhuni?

Ujue hiyo pia ni njia ya wao kujitambulisha wanafanya nini pindi umuonapo kwa mara ya kwanza.

Kuna watu huwachukulia rasta men kama ni wahuni, wavuta bangi na tabia mbovu, lakini mimi nimeishi nao na wapo wasiofanya hivyo vyote.

Hakuna uhusiano wa tattoo na uhuni ila kila jamii ina tafsiri yake juu ya tattoo.
Ndio maana ya kua wana sekta yao.
Kule mwanzo nilikuambia muonekano wako ni moja ya nyanja ya mawasiliano kwa jamii yoyote ile.
 
Mkuu,

Huelewi falsafa ya inclusivity ilivyofanya nchi ziendelee na exclusivity ikivyofanya nchi ziwe masikini.
Sidhani kama tutafikia muafaka mkuu, ila binafsi siamini katika hilo.

Nchi zetu zina makandokando kibao yanayofanya tusipige hatua.

Kama Tz ina watu wangapi nje ya nchi?? Ni wangapi wanaondoka kwa sababu hii ??

Wewe uliondoka nchini kwa sababu gani??
 
Hayo ya uhuni umeyasema wewe ila mi sijamaanisha ni wahuni. Kwani usanii ni uhuni? Uhunzi ni uhuni? Uchoraji ni uhuni? Usuo ni uhuni?

Ujue hiyo pia ni njia ya wao kujitambulisha wanafanya nini pindi umuonapo kwa mara ya kwanza.

Kuna watu huwachukulia rasta men kama ni wahuni, wavuta bangi na tabia mbovu, lakini mimi nimeishi nao na wapo wasiofanya hivyo vyote.

Hakuna uhusiano wa tattoo na uhuni ila kila jamii ina tafsiri yake juu ya tattoo.
Ndio maana ya kua wana sekta yao.
Kule mwanzo nilikuambia muonekano wako ni moja ya nyanja ya mawasiliano kwa jamii yoyote ile.
Mkuu,

Kwani tafsiri ya jamii haitakiwi kubadilika na muda?

Yani kama jamii ikianza kwa kuona wanawake wanaovaa suruali wanakosea sana, iendelee kufikiri hivyo tu hata ikionekana mwanamke kuvaa suruali si jambo la ajabu?

Huoni kwamba hili suala la tattoo ni sawa na mwanamke kuvaa suruali tu, with time litakuwa la kawaida tu?
 
Sidhani kama tutafikia muafaka mkuu, ila binafsi siamini katika hilo.

Nchi zetu zina makandokando kibao yanayofanya tusipige hatua.

Kama Tz ina watu wangapi nje ya nchi?? Ni wangapi wanaondoka kwa sababu hii ??

Wewe uliondoka nchini kwa sababu gani??
Hatuwezi kufikia muafaka kwa sababu tuna tofauti za kifalsafa.

Mimi nipo result oriented. Sijali mtu anaonekanaje as long as anafanya kazi vizuri na ana maadili ya kazi.

Ukiogopa mfanyakazi muadilifu ambaye ana overperform kwa sababu ana tattoo, hilo ni tatizo lako.

Mimi niko very inclusive.

Wewe unaona tattoo ni kikwazo. Bila hata kujali utendaji wa mtu.

Uko radhi umuajiri mtu asiyejua kazi ambaye hana tattoo na kumuacha mtu anayejua kazi mwenye tatto.

You are superficial and exclusive.
 
Mkuu,

Kwani tafsiri ya jamii haitakiwi kubadilika na muda?

Yani kama jamii ikianza kwa kuona wanawake wanaovaa suruali wanakosea sana, iendelee kufikiri hivyo tu hata ikionekana mwanamke kuvaa suruali si jambo la ajabu?

Huoni kwamba hili suala la tattoo ni sawa na mwanamke kuvaa suruali tu, with time litakuwa la kawaida tu?
Yaah jamii inabadilika kila uchwao.

Labda niwe muwazi kidogo, binafsi sioni ubaya wa kua na tattoo.
Ila sasa kwa wakati huu tattoo inatafsiriwa tofauti na jamii nyingi.
Ndio maana baadhi ya sekta hawataki uwe nazo kabisa.

Kila siku mambo mapya yanaibuka, kuna uwezekano zisikubalike kabisa au zikakubalika, yote yanawezekana.
 
Hatuwezi kufikia muafaka kwa sababu tuna tofauti za kifalsafa.

Mimi nipo result oriented. Sijali mtu anaonekanaje as long as anafanya kazi vizuri na ana maadili ya kazi.

Ukiogopa mfanyakazi muadilifu ambaye ana overperform kwa sababu ana tattoo, hilo ni tatizo lako.

Mimi niko very inclusive.

Wewe unaona tattoo ni kikwazo. Bila hata kujali utendaji wa mtu.

Uko radhi umuajiri mtu asiyejua kazi ambaye hana tattoo na kumuacha mtu anayejua kazi mwenye tatto.

You are superficial and exclusive.
Aisee sasa mbona unanisemea??

Na ni kazi zipi hizo??

Nimekupa mifano kibao hapo, na wapi mimi nimeandika siwezi kumuajiri mtu kisa ana tattoo??
Wapi nimeandika niko radhi kumuajiri asiejua kazi kisa hana tattoo??

Halafu swali kuu ni hiyo kazi ni kazi gani?? Sio kila kazi zinamfaa aliechora tattoo.
 
Yani hujui watu wanavyoajiriwa kwa kuangaliwa uwezo, elimu, kufanyiwa interview oral na practical etc?

Mkuu,

Mtu anayevaa kata k anakaa backoffice hakutani na yeyote anafanya kazi yake ya web design ndiye top talent utamkataa halafu umuajiri mtu anavaa suti hajui hiyo kazi ya web design?
Mbona kama unafraid double Standard hapa kuwa mvaa kata-K anajua na asiyevaa hajui kazi....Pont na hoja ni wote wawili wanajua Designing alafu mmoja ana Tattoo na mmoja hana wepi anafaa huo ndio uwiano.
 
Yaah jamii inabadilika kila uchwao.

Labda niwe muwazi kidogo, binafsi sioni ubaya wa kua na tattoo.
Ila sasa kwa wakati huu tattoo inatafsiriwa tofauti na jamii nyingi.
Ndio maana baadhi ya sekta hawataki uwe nazo kabisa.

Kila siku mambo mapya yanaibuka, kuna uwezekano zisikubalike kabisa au zikakubalika, yote yanawezekana.
Kuchora Tattoo sio mbaya mwili ni wako ila mbaya pale ambapo unakataliwa sehwmu fulani kama ajira kisa una tattoo then unalalamika kwanini ukataliwe wewe tatizo lipo kwako.

Kichora matattoo, rasta na lifestyle zinazoendana na hizo hakikisha wewe umejipata kimaisha na utegemei kuajiriwa sehemu kama Diamond yule, MO nk ila Jobseeker then unajichora tattoo wewe huna akili
 
Hatuwezi kufikia muafaka kwa sababu tuna tofauti za kifalsafa.

Mimi nipo result oriented. Sijali mtu anaonekanaje as long as anafanya kazi vizuri na ana maadili ya kazi.

Ukiogopa mfanyakazi muadilifu ambaye ana overperform kwa sababu ana tattoo, hilo ni tatizo lako.

Mimi niko very inclusive.

Wewe unaona tattoo ni kikwazo. Bila hata kujali utendaji wa mtu.

Uko radhi umuajiri mtu asiyejua kazi ambaye hana tattoo na kumuacha mtu anayejua kazi mwenye tatto.

You are superficial and exclusive.
Unafosi DOUBLE STANDARD jamaa
 
Yaah jamii inabadilika kila uchwao.

Labda niwe muwazi kidogo, binafsi sioni ubaya wa kua na tattoo.
Ila sasa kwa wakati huu tattoo inatafsiriwa tofauti na jamii nyingi.
Ndio maana baadhi ya sekta hawataki uwe nazo kabisa.

Kila siku mambo mapya yanaibuka, kuna uwezekano zisikubalike kabisa au zikakubalika, yote yanawezekana.
Kuna mambo mawili ambayo kama hatutakuwa waangalifu, tunaweza tusielewane bila sababu. Yani tunaweza juwa tunasema kitu kimoja, halafu tunabishana kwa kukisa juelewa nuktadha wa mazungumzo yetu tu.

1. Kuna kuizungumzia jamii kama ilivyo. The Actual.

Kusema mambo yalivyo. Hapa ukisema kwamba jamii yetu haifagilii tattoo na mtu reasonable anatakiwa aelewe hilo, na kujipiga tattoo katika jamii hii halafu ukategemea jamii ikuelewe na kukukubali katika kazi za serikali na nyingine kama hizo, utakuwa unakosea na huwi reasonabke, hapo nakuelewa kabisa, sina tofauti na wewe.

2. Kuna kusema jamii inavyotakiwa kuwa. Hii ni abstract thinking.

Jamii ipo hivi, ina judge sana tattoo, lakini je, hilo ni sawa? Hatuwezi kujenga jamii inayojikita katika kuangalia vitu vya ndani, vya msingi, kuwa result oriented na kuacha superficials za kuangalia nje mtu yukoje?

Hii 2 ndipo mara nyimgi nafanyia argument mimi.

Na mara nyingi napata tatizo kueleweka kwa sababu watu wengi wako stuck kwenye 1, hawawezi mazungumzo yaliyopita 1 na kwenda 2.

Mimi nikiongelea 2 wao wanarudi kwenye 1.
 
Hiyo kusema wenye tatto wana sectir yao ni mwanzo wa kutambua neurodivergent talent katika jamii inayoona kuwa mwenye tattoo hafai kwa chochote ni muhuni mvuta madawa ya kulevya tu.

Eventually ukifuatia falsafa ya inclusivity, falsafa ya kuwa result oriented, utakubali mwenye tattoo anaweza kuwa hata rais.

Mkuu,

Ushaona ma tattoo ya Mfalme wa Tahiland?

Nimemfatilia kidogo huyo mfalme, ni wazi kua hukutakiwa kumuweka hapa kama refference yako coz anazidi kudhalilisha watu wenye tattoo.
 
Kuchora Tattoo sio mbaya mwili ni wako ila mbaya pale ambapo unakataliwa sehwmu fulani kama ajira kisa una tattoo then unalalamika kwanini ukataliwe wewe tatizo lipo kwako.

Kichora matattoo, rasta na lifestyle zinazoendana na hizo hakikisha wewe umejipata kimaisha na utegemei kuajiriwa sehemu kama Diamond yule, MO nk ila Jobseeker then unajichora tattoo wewe huna akili
Kama kuchora tattoo si kitu kibaya, sasa kwa nini unakataliwa ajira kwa juchora tattoo?

Huoni kwamba this is just an arbitrary cultural construct?
 
Nimemfatilia kidogo huyo mfalme, ni wazi kua hukutakiwa kumuweka hapa kama refference yako coz anazidi kudhalilisha watu wenye tattoo.
Sikumuweka yeye kama mtu binafsi, nimemuweka kama mfano kwamba mtu mwenye tattoo anaweza hata kuwa mfalme wa nchi.

Kukataa tattoo ni arbitrary cultural construct tu.

In fact kuna Wamakonde wanaweka tattoo kiutamaduni ukiwakatalia kazi kwa sababu ya tattoo zao unawavunjia haki zao za kibinadamu za kufuata utamaduni wao bila kubaguliwa sehemu za ajira.
 
Nafikiri Kiranga hana baya kwa alichokisema, lakini anasahau kitu kimoja crucial sana, We are Africans and they are Europeans, tattoo sio mambo yetu, yes tuna tamaduni za kujichora tunapokuwa kweny sherehe za kitamaduni/kijadi lakini those aren't permanent.

Natamani Europe ibaki kuwa Europe, India ibaki kuwa India na Africa ibaki kuwa Africa.
Halafu unakuta jitu jeusi kama mimi hapa nalo linachora tattoo! Pumbavu kabisa!
 
Kuna mambo mawili ambayo kama hatutakuwa waangalifu, tunaweza tusielewane bila sababu. Yani tunaweza juwa tunasema kitu kimoja, halafu tunabishana kwa kukisa juelewa nuktadha wa mazungumzo yetu tu.

1. Kuna kuizungumzia jamii kama ilivyo. The Actual.

Kusema mambo yalivyo. Hapa ukisema kwamba jamii yetu haifagilii tattoo na mtu reasonable anatakiwa aelewe hilo, na kujipiga tattoo katika jamii hii halafu ukategemea jamii ikuelewe na kukukubali katika kazi za serikali na nyingine kama hizo, utakuwa unakosea na huwi reasonabke, hapo nakuelewa kabisa, sina tofauti na wewe.

2. Kuna kusema jamii inavyotakiwa kuwa. Hii ni abstract thinking.

Jamii ipo hivi, ina judge sana tattoo, lakini je, hilo ni sawa? Hatuwezi kujenga jamii inayojikita katika kuangalia vitu vya ndani, vya msingi, kuwa result oriented na kuacha superficials za kuangalia nje mtu yukoje?

Hii 2 ndipo mara nyimgi nafanyia argument mimi.

Na mara nyingi napata tatizo kueleweka kwa sababu watu wengi wako stuck kwenye 1, hawawezi mazungumzo yaliyopita 1 na kwenda 2.

Mimi nikiongelea 2 wao wanarudi kwenye 1.
Namba moja tuko pamoja kabisa.

Namba mbili ni ngumu kuelewana na watu kwasababu ya mitazamo tofauti na ndio jamii hiyo ilivyo.

Hata mimi nlitamani sana watu wasiijudge vibaya bangi ili vijana wasiitumie vibaya, ila jamii ishaamini bangi ni mbaya, inaleta uchizi, ukiitumia unakua mwizi, kibaka, jambazi nk ila sio kweli.

Vivyo hivyo kwa tattoo jamii ya hapa kwetu inaamini tattoo ni uhuni, kuibadili hiyo ifanyike kazi.
 
Sikumuweka yeye kama mtu binafsi, nimemuweka kama mfano kwamba mtu mwenye tattoo anaweza hata kuwa mfalme wa nchi.

Kukataa tattoo ni arbitrary cultural construct tu.

In fact kuna Wamakonde wanaweka tattoo kiutamaduni ukiwakatalia kazi kwa sababu ya tattoo zao unawavunjia haki zao za kibinadamu za kufuata utamaduni wao bila kubaguliwa sehemu za ajira.
Kwenye hilo tuko pamoja, sasa tumeelewana.

Hata mimi najua tattoo sio mtu.
 
Ni ujinga tu, hz sheria zingine hazina maana Sana, Wana jeshi wa USA, wengi wana tattoos, yapo majeshi wanafuga hata ndevu
 
Back
Top Bottom