Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
Ndio sijakataa, jambo la kuajiri mtu tunaangalia uwezo na sio muonekano, ila hapa nazungumzia suala la first impression kwa kuangalia muonekano ambao wengi wetu tunafanya.Yani hujui watu wanavyoajiriwa kwa kuangaliwa uwezo, elimu, kufanyiwa interview oral na practical etc?
Mkuu,
Mtu anayevaa kata k anakaa backoffice hakutani na yeyote anafanya kazi yake ya web design ndiye top talent utamkataa halafu umuajiri mtu anavaa suti hajui hiyo kazi ya web design?
Huwezi kujichora tattoo ukawa na akili, lazima kuna mapungufu fulani unayoSawa.
Wakatae hao watu nane kwa sababu si watu poa, sio kwa sababu wamechora tattoo.
Kwa sababu ukiwakataa waliochora tattoo, kuna watu poa wawili hapo wamechora tattoo na inawezekana wana vipaji vizuri tu utavikosa na uchumi utapwaya.
Hapo ndipo wenzetu wanapotuzidi.
Wanajua kuitumia human capital vizuri.
Tuache hivi hivi endelea na Uraia pacha pacha wako. Yaani kwa Afrika hayo mambo hatutaki.Kwa mtaji huu mtaendelea kuwa masikini kwa kutothamini vipaji vya watu na kuangalia muonekano wa nje wa watu.
Mtaibiwa sana na wezi wanaovaa suti nzuri wasio na tattoo, huku mkiwapigia makofi.
Uraia pacha wakatalieni hao wanaoulilia mimi natafuta uraia wa dunia nzima si uraia pacha. Usinidogoshe.
Hata hiyo first impression ni concept shallow, hutakiwi kum judge mtu kwa first impression.Ndio sijakataa, jambo la kuajiri mtu tunaangalia uwezo na sio muonekano, ila hapa nazungumzia suala la first impression kwa kuangalia muonekano ambao wengi wetu tunafanya.
Hii ni moja ya sababu Afrika inabaki kuwa masikini.Huwezi kujichora tattoo ukawa na akili, lazima kuna mapungufu fulani unayo
Mkuu,Tuache hivi hivi endelea na Uraia pacha pacha wako. Yaani kwa Afrika hayo mambo hatutaki.
Angalia kwa mfano huyu Tim Cooks, CEO wa Apple/ iPhone. Ni shoga halafu worse enough amejitangaza kuwa anapandwa na midume mingine.
Haijalishi ana akili kiasi gani cha kubuni mifumo lakini kitendo cha kuwa BWABWA hakikubaliki kwenye mzingirq ya Afrika
Mkuu Stuxnet.Huwezi kujichora tattoo ukawa na akili, lazima kuna mapungufu fulani unayo
Aliyeanzisha Internet hakuwa shoga kama Tim Cook. Situmii iPhone kamweMkuu,
Acha kutumia Apple, acha kutumia hata internet, ineanzishwa na Wamarekani.
Toka kwenye internet ya Wamarekani anzisha yako ya mabua na vifuu, nitakuona wa maana sana.
Hapa unachofanya ni habari ya "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".
Kama umejichora tattoo hauna akili, periodMkuu Stuxnet.
Unatafsiri vipi neno āakiliā
Ili tujue kama kuna watu ambao wana tattoo na kweli hawana akili?
Si umejinadi wewe Muafrika hutaki mambo ya kigeni?Aliyeanzisha Internet hakuwa shoga kama Tim Cook. Situmii iPhone kamwe
Nchi nyingi za kiafrica na nizungumzie hasa hapa kwetu Tanzania tuliathiriwa sana na usoshalisti. Baada ya uhuru tulipo adopt sera za kikomunisti ndio kila kitu kiliharibika.Kuna siku nilikuwa naanza kazi sehemu US, nikamkuta jamaa ana tattoo kama mwili mzima, tena zile za marangirangi.
Halafu jamaa mtu poa tu.
Alikuwa anafanya kazi za web design.
Nikasema huyu mtu atakuwa na kipaji sana cha mambo ya design, halafu anayapenda sana mpaka kaamua kuufanyia mwili wake wote design za tatoo.
Na waajiri wake wamemuelewa na kumuajiri kwa kipaji chake, bila kujali anavyoonekana.
Hili ni moja kati ya mambo yanayotuangusha Africa. Tunaangalia nje mtu anaonekanaje kuliko uwezo wa mtu.
Matokeo yake, tunaacha kuchukua watu wazuri wenye vipaji ambao wana tattoo, tunakuja kuchukua wezi wasiojua kazi wanaojua kuvaa suti nzuri.
Halafu, tukishindwa kuendelea, tunashangaa kwa nini hatuendelei
kwa tulipo fikia sasa mkuu cultural interaction haizuiliki tena, kilichobaki sasa ni kuwa timamu wewe na watoto wako nyumbani, maana hata wao wakikua hawakusikilizi tena..,, nimewahi kuachwa hoi na MWANAMKE akiniuliza mboa simuoi na siku zinaenda? ...huku mwili wake una matatoo kiasi, nikaishia kucheka tu kama kichaa....Nafikiri Kiranga hana baya kwa alichokisema, lakini anasahau kitu kimoja crucial sana, We are Africans and they are Europeans, tattoo sio mambo yetu, yes tuna tamaduni za kujichora tunapokuwa kweny sherehe za kitamaduni/kijadi lakini those aren't permanent.
Natamani Europe ibaki kuwa Europe, India ibaki kuwa India na Africa ibaki kuwa Africa.
Na nidhamu ya kinafiki. Ndiyo hii ya kuangalia mtu kwa nje na kuacha kumpima mtu kwa kina.Nchi nyingi za kiafrica na nizungumzie hasa hapa kwetu Tanzania tuliathiriwa sana na usoshalisti. Baada ya uhuru tulipo adopt sera za kikomunisti ndio kila kitu kiliharibika.
Yani watu wana akili zile za tufanane wote.
Huyo mwanamke umemfanyia vibaya.kwa tulipo fikia sasa mkuu cultural interaction haizuiliki tena, kilichobaki sasa ni kuwa timamu wewe na watoto wako nyumbani, maana hata wao wakikua hawakusikilizi tena..,, nimewahi kuachwa hoi na MWANAMKE akiniuliza mboa simuoi na siku zinaenda? ...huku mwili wake una matatoo kiasi, nikaishia kucheka tu kama kichaa....
kwenye matatoo, milegezo, minywele ya hovyo, manguo ya ajabu ajabu, acha tu nirudi kule kule kwenye kum-judge mtu kwa muonekano wake....kwanza kama MWANAMKE akiwa hivyo , kichwani najua kabisa nipo na KAHABA....Huyo mwanamke umemfanyia vibaya.
Kwa sababu yeye anategemea ndoa, wewe unamcheka tu.
Ungemwambia tu wewe huwezi kuoa mwanamke mwenye tattoo.
Yani wewe muongomuongo halafu unaona huo uongouongo wako ni bora kuliko hizo tattoo?
Si ndiyo tunarudi kulekule ku judge muonekano badala ya tabia ya mtu?
Sawa, unaruhusiwa kum judge unavyotaka, hiyo ni haki yako.kwenye matatoo, milegezo, minywele ya hovyo, manguo ya ajabu ajabu, acha tu nirudi kule kule kwenye kum-judge mtu kwa muonekano wake....kwanza kama MWANAMKE akiwa hivyo , kichwani najua kabisa nipo na KAHABA....
Kuna namna ulivyo inatakiwa ujitambue ulivyo juu ya muonekano wako na watu watakakuchukulia,...huwezi kuwa na muonekano wa kikahaba alafu utegemee watu wakuone wife material.... huwezi kuwa na muonekano kama kibaka,panya road alafu utegemee kuwa watu watakuchukulia kama uko timamu.....kwanza aliponiuliza kuhusu NDOA niliona amenidharau sanaš„±Sawa, unaruhusiwa kum judge unavyotaka, hiyo ni haki yako.
Lakini kuwa muwazi, mwambie kuwa wewe hutaki kuwa na mwanamke mwenye tattoo.
Usimpotezee muda na lengo lake la ndoa akifikiri unaweza kumuoa wakati wewe unamuona kinyago tu.
Hiyo nayo ni tabia mbaya.
Sawa. Nimekwambia hivii.Kuna namna ulivyo inatakiwa ujitambue ulivyo juu ya muonekano wako na watu watakakuchukulia,...huwezi kuwa na muonekano wa kikahaba alafu utegemee watu wakuone wife material.... huwezi kuwa na muonekano kama kibaka,panya road alafu utegemee kuwa watu watakuchukulia kama uko timamu.....kwanza aliponiuliza kuhusu NDOA niliona amenidharau sanaš„±