Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
- Thread starter
-
- #21
Nashukuru kwa kunielewa.Sasa ni bora wazee wa enzi hiyo,bahati mbaya vijana wa leo ni bure kabisa,hata hiyo kukutana na kupeana mawazo ya maana ni shida ila kwa mwenye kuelewa ujumbe huu ni mijarabu kabisa🤔
Hio ni kwako na hatulingani maisha wala matumizi ya pesa hivyo ukikwama usione kila mtu atakwama hata hao wanaokukimbia wanajua huna kitu ukiwa nacho watu wanakukimbilia. Kuhusu wazazi kuwepo au kutokuwepo ni mipango ya Mungu wanaweza wakawepo na wasiwe na msaada kama mtoto wao hajiwezi wao watajiwezea wapiBata bukini au Bata mzinga,ukikua ndo utajua ndipo kama ni mme au ke,marafiki huwaoni Bata zipo hamu hamna ,nguvu hamna 🏃moja haikai,mbili haisomeki,Baba na mama walishakufa!Duuh omba Mungu sana yasikukute mkuu,hata humu jamiiforum utaona ni mzigo macho hayasomi.
Duuh hatari!Ila tofauti ya life expectancy ya waafrika ni ndogo sana ukilinganisha na wenzetu kufika 90 ni kawaida sana na wao hawadhulumiwi pensions zao na wana raha mpaka wanazeeka kuliko waafrika
Mawazo Yako ni HASI, Yote unayoongea nayajua na nayafamu!Soma kipengere hadi kipengere ujue naamanisha Nini!Usiwe na mtu wa kujihami na kujitetea sana na kulinganisha maishaHio ni kwako na hatulingani maisha wala matumizi ya pesa hivyo ukikwama usione kila mtu atakwama hata hao wanaokukimbia wanajua huna kitu ukiwa nacho watu wanakukimbilia. Kuhusu wazazi kuwepo au kutokuwepo ni mipango ya Mungu wanaweza wakawepo na wasiwe na msaada kama mtoto wao hajiwezi wao watajiwezea wapi
Nazungumzia wenye ajira na kujisahau! Tena huwaona wenzao waliokosa ajira hawana Akili.Sema ninyi vijana wa zamani ndo mmeweka misingi mibovu sana kwa nchi hii. Halafu elewa kwamba ninyi wa zamani mlikuwa mkimaliza shule direct kazini sio longolongo. Hadi enzi za Kikwete ajira za ualimu ilikuwa tu ni wewe usitake. Jinsi ya kuwashauri vijana waliohitimu baada ya Kikwete regime lazima iwe tofauti kidogo. Nina wadogo zangu wawili, mmoja ana degree ya ualimu mwingine Petroleum engineering na wote hawana ajira. Nikisema nikurupuke na kuwaona wazembe nitaharibu zaidi.
Yasome mazingira unayoishi kwanza, opportunity kila kona bossAsante kwa ukumbusho ila mtaan nako kugumu vijana tuna hustle hatuoni raman kqbsa
Kweli mkuu, kuna jamaa enzi hizo Niko kwetu Mbeya kaja kutoka Moshi sisi tunaona hela ngumu, yeye Akaja na mpango wa kuchoma nyama za mbuzi alikuwa anauza balaa! Sisi tukawa kama wafanyakazi wake, fursa hatuzioni kumbe zipo.Yasome mazingira unayoishi kwanza, opportunity kila kona boss
Asante sana father nimekuelewaYasome mazingira unayoishi kwanza, opportunity kila kona boss
Hahahaha dingi umenichekesha kinoma hapo kwenye "sisi tukawa wafanyakazi wake".... ndo maana inashauriwa watu wapate exposure. Ukitoka Mbeya ukaenda sehemu nyingine kutembea utajifunza mambo mengi.Kweli mkuu,kuna jamaa enzi hizo Niko kwetu Mbeya kaja kutoka Moshi sisi tunaona hela ngumu,yeye Akaja na mpango wa kuchoma nyama za mbuzi alikuwa anauza balaa!Sisi tukawa kama wafanyakazi wake,fursa hatuzioni kumbe zipo.
Hahaha, ila dunia lazima iwe na watu wa aina zote, watumiaji na watafutaji/watunzaji ili kuwe na ikwilibrium.Nimesoma ila acha vijana wale bata hakuna asiejua fainali uzeeni kila mtu ashinde zake
Ngoja na miye nichomekee hii, sijui kama itaeleweka:Kweli mkuu,kuna jamaa enzi hizo Niko kwetu Mbeya kaja kutoka Moshi sisi tunaona hela ngumu,yeye Akaja na mpango wa kuchoma nyama za mbuzi alikuwa anauza balaa!Sisi tukawa kama wafanyakazi wake,fursa hatuzioni kumbe zipo.
We acha mdogo wangu!Sasa hivi mnaweka heshima hospitalini? Figo limefeli kisukari pressure tezi dume stroke ya kongosho
MkuuNgoja na niye nichomekee hii, sijui kama itaeleweka:
DP World alikuja hapa, sisi tunajamba tu hewa chafu, sasa kavuna sisi tukikenua tu meno hapahapa. Tunaambiwa sisi ni wezi, wavivu, na mengine mengi ya namna hiyo.
😂😂😂 We jamaa na kuoa wapi na wapisolution pekee ni kuoa
fainali uzeeni
Msemo wa sasa ni Kula bia kula mbususu......Habari wanaJf,Niende moja kwa moja kwenye mada hapo juu.Mimi kwa Sasa Nina umri wa miaka Hamsini na tatu(53)Niliajiriwa kwenye kampuni moja wakati huo nikiwa na miaka Ishirini na sita(26).Tukiwa vijana na rafiki zangu tulifurahia sana Maisha na kampuni yenyewe ilikuwa inalipa vizuri sana .
Wenye ufahamu mzuri walijiwekeza kwenye ardhi, biashara,mifugo, nyumba,nk.Sasa umri umesonga nayo magonjwa nyemelezi yamekuwa tatizo!Ukimpigia simu mwenzako,utasikia Naumwa kisukari mara huyu,Kansa,mara,huyu viungo vimechemka,mara pressure nk.
Shida inakuja pale hukuwekeza gharama za matibabu ziko juu hata marafiki huwaoni na hata ukiwaona nao wanachangamoto zao Tulikuwa na msemo wa kijinga wa''Uza Nyumba Jenga Heshima Bar .Nisiwachoshe, Ahsanteni kwa kunisikiliza.
Ukizeeka mke atakuwa anakusaidia kwenda chooni, ukiumwa mke atakuwa na wewe bega kwa bega kukufariji mpaka kupona.😂😂😂 We jamaa na kuoa wapi na wapi
Kweli kabisa!Hahahaha dingi umenichekesha kinoma hapo kwenye "sisi tukawa wafanyakazi wake".... ndo maana inashauriwa watu wapate exposure. Ukitoka Mbeya ukaenda sehemu nyingine kutembea utajifunza mambo mengi.
Atataja majina yote! Mungu wangu, mama yangu, tata, baba, mama, jamani eeh, ahaa, ngulubhi, mulungu, kyala nk.Msemo wa sasa ni Kula bia kula mbususu......
Ngoja sasa aumwe apelekwe kwenye hospitali za serikali ya ccm uone jeuri yake