Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Mimi tayari nna mke ingawa bado hajarasimishwaukizeeka mke atakua anakusaidia kwenda chooni
ukiumwa mke atakua na wewe bega kwa bega kukufariji mpaka kupona
kijana oa, fainali uzeeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi tayari nna mke ingawa bado hajarasimishwaukizeeka mke atakua anakusaidia kwenda chooni
ukiumwa mke atakua na wewe bega kwa bega kukufariji mpaka kupona
kijana oa, fainali uzeeni
Safi sanaMimi tayari nna mke ingawa bado hajarasimishwa
Unapelekwa hizo hospital za CCM utaelewa huelewiAtataja majina yote!Mungu wangu,mama yangu,tata,baba,mama,jamani eeh,ahaa,ngulubhi,mulungu,kyala nk.
Anapigia simu kila akidhani kwakuw alimpa ofa ya pombe atamsaidia.Atataja majina yote!Mungu wangu,mama yangu,tata,baba,mama,jamani eeh,ahaa,ngulubhi,mulungu,kyala nk.
Kaulize waliofilisika wote watakwambia then ukaulize waliofanikiwa piaStarehe hazimzuii mtu kuwa na maendeleo
😆😆😆Bora upoteze pesa kwenye starehe kuliko kwenye uwekezaji na usipate faida utaumia Sana.
Fanya vyote kwa pamoja
Inategemea Pana watu walinyima sana ili watoboe na still Wana sota tu.Kaulize waliofiliska wote watakwambia then ukaulize waliofanikiwa pia
Na vijana wanaoendekeza uchawa kwa kuweka avatar ya mama Samia wajue fainali ni uzeeniSema ninyi vijana wa zamani ndo mmeweka misingi mibovu sana kwa nchi hii. Halafu elewa kwamba ninyi wa zamani mlikuwa mkimaliza shule direct kazini sio longolongo. Hadi enzi za Kikwete ajira za ualimu ilikuwa tu ni wewe usitake. Jinsi ya kuwashauri vijana waliohitimu baada ya Kikwete regime lazima iwe tofauti kidogo. Nina wadogo zangu wawili, mmoja ana degree ya ualimu mwingine Petroleum engineering na wote hawana ajira. Nikisema nikurupuke na kuwaona wazembe nitaharibu zaidi.
Wewe bwege mimi nina biashara zangu zinazonipatia kipato cha kutosha. Nina assets kadhaa ambazo zimeniondoa kwenye kundi la maskini. Sina uchawa wowote ndo maana hata PM nimefunga na kwenye nyuzi zangu siweki namba ya simu. Ninamsapoti Mama Samia kwa kupenda mwenyewe. Sihitaji chochote. Nahitaji tu uongozi mzuri na amani nchini.Na vijana wanaoendekeza uchawa kwa kuweka avatar ya mama Samia wajue fainali ni uzeeni
Rasimisha, unakwama wapi?Mimi tayari nna mke ingawa bado hajarasimishwa
Sawa mkuu, uko vizuriWewe bwege mimi nina biashara zangu zinazonipatia kipato cha kutosha. Nina assets kadhaa ambazo zimeniondoa kwenye kundi la maskini. Sina uchawa wowote ndo maana hata PM nimefunga na kwenye nyuzi zangu siweki namba ya simu. Ninamsapoti Mama Samia kwa kupenda mwenyewe. Sihitaji chochote. Nahitaji tu uongozi mzuri na amani nchini.
Uwasomeshe Sasa, sio wawe machikoraa!Ukishindwa kuwekeza kwenye mali basi wekeza kwa watoto. Yaani zalisha sanaa utakuja shukuru uzeeni.
Kweli,mupe muruke!Starehe hazimzuii mtu kuwa na maendeleo
Asante. Sio kila mtu anayesapoti Mama Samia ni chawa. Mkuu hata hawa vijana waliomaliza chuo miaka ya karibuni kuna baadhi wako vizuri hawajakaa na kujililia kwamba hakuna ajira. Mdogo wangu aliyemaliza ualimu alishtuka kabla hata ya kuhitimu na kuanza kilimo cha vitunguu. Alianzia chini sana kwa shamba dogo kama robo eka mwaka 2018. Sasa hivi katika umri wa miaka 23 anamalizia kujenga nyumba yake wakati kuna kaka zake wakubwa wengi tu hawana lolote ingawa wako kwenye ajira nzuri.Sawa mkuu,uko vizuri