Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetegeshea 40. So nna kama 10 leftOnyesha demo chief
Hapo nimekukubali mkuu,hayo Ndio maisha yasiyo na stress!Aiseee umenikumbusha mbali sana kuna tajiri mmoja kariakoo anaitwa Mushi, aiseee jamaa ana maeneo Dar kama alijua. Yaani kuanzia Mbezi beach, Masaki , Upanga na pale Kariakoo. Halafu huyu mzee yupo simple tu na landcruiser yake ya zamani. Na kuna yule alikuwa mmiliki wa Tommy milk. Jamaa ana ranch Iringa na maeneo ya kutosha hapa mjini. Ana Mijengo kariakoo,Mbagala na kwingineko aisee acha tu. Hawa wazee wamenifundisha mengi sana. Yaani wanakopesheka any time wakitaka. Wana real estate profile ya kutisha. Halafu nae huyu wa Tommy milk yupo simple tu. Kwa kumalizia hawa jamaa hawajawahi kufanya kazi serikalini. Mzee Lymo wa Tommy milk amenifundiaha mengi sana. Ishu ya ardhi ni muhimu sana pale ambapo unahitaji kukopa hela bank. Kuna matajiri ambao bank zinawabembeleza kuchukua mkopo.
Vijana asilimia kubwa hamjitambui. Unapambana unapata ka elfu 15,000 kako kwa shida then unaenda bar kumfurahisha mrembo aliyekaa hajachomeka jua Wala nn kazi yake kaiweka mbususu safi tu alafu unataka utoboe life. Wakati huo huo kamari Yako, pombe Yako.Asante kwa ukumbusho ila mtaan nako kugumu vijana tuna hustle hatuoni raman kqbsa
Fanya kwa vitendo si Ndio kusimamia mwenyewe!Hata ukisimami mwenyew biashara ni rahisi kwenye karatasi
Hatari kwelikweli!Vijana asilimia kubwa hamjitambui. Unapambana unapata ka elfu 15,000 kako kwa shida then unaenda bar kumfurahisha mrembo aliyekaa hajachomeka jua Wala nn kazi yake kaiweka mbususu safi tu alafu unataka utoboe life. Wakati huo huo kamari Yako, pombe Yako.
😄 🤣 Hata Somaliland wanawashinda mkataba wao na DP ni miaka 33 tuNasikai dp world wanakuja kuongeza life expentancy.
Kiukweli hilo ndo tatzo letu kubwa ss vijana lkn kuna muda hv vtu havikwepeki shida n kuviendekeza sanaVijana asilimia kubwa hamjitambui. Unapambana unapata ka elfu 15,000 kako kwa shida then unaenda bar kumfurahisha mrembo aliyekaa hajachomeka jua Wala nn kazi yake kaiweka mbususu safi tu alafu unataka utoboe life. Wakati huo huo kamari Yako, pombe Yako.
Kuna wazee wameishi kilokole na wana maradhiSasa hivi mnaweka heshima hospitalini? Figo limefeli kisukari pressure tezi dume stroke ya kongosho
Pia kuna NYumba za wazee..wanatibiwa...msosi mzuri....bia,nyama nini.....mpaka hospice.....Ila tofauti ya life expectancy ya waafrika ni ndogo sana ukilinganisha na wenzetu kufika 90 ni kawaida sana na wao hawadhulumiwi pensions zao na wana raha mpaka wanazeeka kuliko waafrika
Mzee unajua hadi mamanziUko sahihi anataka aonekane anapesa,anataka alipe bill zote!Hasa akiona mamanzi.
Kweli kabisa lakini pia ni hela walizofanya kazi miaka yote na serikali kuwajaliPia kuna NYumba za wazee..wanatibiwa...msosi mzuri....bia,nyama nini.....mpaka hospice.....
Hapana wanasubiri muwape na mbuga zote ili wanyama waishi zaidi ya watuNasikai dp world wanakuja kuongeza life expentancy.
Tusipotoshwe, kula bata kufa kwaja.
N kweli havikwepeki lakini kuwa na kiasiKiukweli hilo ndo tatzo letu kubwa ss vijana lkn kuna muda hv vtu havikwepeki shida n kuviendekeza sana
Zama sio zile tena..ushauri haupaswi kuwa ule tena..Sema ninyi vijana wa zamani ndo mmeweka misingi mibovu sana kwa nchi hii. Halafu elewa kwamba ninyi wa zamani mlikuwa mkimaliza shule direct kazini sio longolongo. Hadi enzi za Kikwete ajira za ualimu ilikuwa tu ni wewe usitake. Jinsi ya kuwashauri vijana waliohitimu baada ya Kikwete regime lazima iwe tofauti kidogo. Nina wadogo zangu wawili, mmoja ana degree ya ualimu mwingine Petroleum engineering na wote hawana ajira. Nikisema nikurupuke na kuwaona wazembe nitaharibu zaidi.
Wewe endelea kula bata Mzee kila mtu na fungu lake hakuna mafungu 7 lipo fungu 1 tu sasa lichezee puu yakukute ulie peke yako