Vijana wekezeni, fainali umri mkubwa!

Vijana wekezeni, fainali umri mkubwa!

Aiseee umenikumbusha mbali sana kuna tajiri mmoja kariakoo anaitwa Mushi, aiseee jamaa ana maeneo Dar kama alijua. Yaani kuanzia Mbezi beach, Masaki , Upanga na pale Kariakoo. Halafu huyu mzee yupo simple tu na landcruiser yake ya zamani. Na kuna yule alikuwa mmiliki wa Tommy milk. Jamaa ana ranch Iringa na maeneo ya kutosha hapa mjini. Ana Mijengo kariakoo,Mbagala na kwingineko aisee acha tu. Hawa wazee wamenifundisha mengi sana. Yaani wanakopesheka any time wakitaka. Wana real estate profile ya kutisha. Halafu nae huyu wa Tommy milk yupo simple tu. Kwa kumalizia hawa jamaa hawajawahi kufanya kazi serikalini. Mzee Lymo wa Tommy milk amenifundiaha mengi sana. Ishu ya ardhi ni muhimu sana pale ambapo unahitaji kukopa hela bank. Kuna matajiri ambao bank zinawabembeleza kuchukua mkopo.
Hapo nimekukubali mkuu,hayo Ndio maisha yasiyo na stress!
 
Asante kwa ukumbusho ila mtaan nako kugumu vijana tuna hustle hatuoni raman kqbsa
Vijana asilimia kubwa hamjitambui. Unapambana unapata ka elfu 15,000 kako kwa shida then unaenda bar kumfurahisha mrembo aliyekaa hajachomeka jua Wala nn kazi yake kaiweka mbususu safi tu alafu unataka utoboe life. Wakati huo huo kamari Yako, pombe Yako.
 
Vijana asilimia kubwa hamjitambui. Unapambana unapata ka elfu 15,000 kako kwa shida then unaenda bar kumfurahisha mrembo aliyekaa hajachomeka jua Wala nn kazi yake kaiweka mbususu safi tu alafu unataka utoboe life. Wakati huo huo kamari Yako, pombe Yako.
Hatari kwelikweli!
 
Tuache tule bata, hakujenga baba wakati mfuko wa cement sent 20 nihangaike mie sasa hivi mfuko unakaribia 20 elfu.
Nijenge nyumba ya nini, mimi niwe na nyumba na kobe awe na nini.
Pondamali kufa kwaja, nani alizikwa na mali zake🤣

Komenti hii ni kwa hisani ya BALIMI
 
Vijana asilimia kubwa hamjitambui. Unapambana unapata ka elfu 15,000 kako kwa shida then unaenda bar kumfurahisha mrembo aliyekaa hajachomeka jua Wala nn kazi yake kaiweka mbususu safi tu alafu unataka utoboe life. Wakati huo huo kamari Yako, pombe Yako.
Kiukweli hilo ndo tatzo letu kubwa ss vijana lkn kuna muda hv vtu havikwepeki shida n kuviendekeza sana
 
Ila tofauti ya life expectancy ya waafrika ni ndogo sana ukilinganisha na wenzetu kufika 90 ni kawaida sana na wao hawadhulumiwi pensions zao na wana raha mpaka wanazeeka kuliko waafrika
Pia kuna NYumba za wazee..wanatibiwa...msosi mzuri....bia,nyama nini.....mpaka hospice.....
 
Pia kuna NYumba za wazee..wanatibiwa...msosi mzuri....bia,nyama nini.....mpaka hospice.....
Kweli kabisa lakini pia ni hela walizofanya kazi miaka yote na serikali kuwajali
Sisi wazee wanafanya kazi hata kama ni kuuza ugoro ila akizeeka hapati msaada wowote

Hili ni tatizo la serikali na serikali ni sisi pamoja na Bunge linalotunga sheria

Hatuwezi kusema wao hivi na vile kwani sisi tunashindwa nini kuwa na maisha bora?

Kila leo tunasikia mambo mawili tu Wizi wa mali za Umma na ajali zisizoisha Sasa kila mwezi ajali mpaka nne na watu wanakufa tu
Hata hilo hatuwezi kudhibiti
Huku nilipo ajali kusikia ni madra yaani mpaka wafe watu ni chache sana
Hela za umma kuibiwa au wazee kukosa pensions zao ni aibu na haowezekani

Mimi mshahara wangu serikali inakata pension na muajiri wangu lazima aniwekee kiasi cha hela kila mwezi kwenye akiba yangu

Lazima tubadilike kwa kweli hakuna mchawi bali ni sisi wenyewe Mkuu
 
Sema ninyi vijana wa zamani ndo mmeweka misingi mibovu sana kwa nchi hii. Halafu elewa kwamba ninyi wa zamani mlikuwa mkimaliza shule direct kazini sio longolongo. Hadi enzi za Kikwete ajira za ualimu ilikuwa tu ni wewe usitake. Jinsi ya kuwashauri vijana waliohitimu baada ya Kikwete regime lazima iwe tofauti kidogo. Nina wadogo zangu wawili, mmoja ana degree ya ualimu mwingine Petroleum engineering na wote hawana ajira. Nikisema nikurupuke na kuwaona wazembe nitaharibu zaidi.
Zama sio zile tena..ushauri haupaswi kuwa ule tena..

Ila wachache wanaelewa.
 
Back
Top Bottom