Vijana wekezeni, fainali umri mkubwa!

Vijana wekezeni, fainali umri mkubwa!

Kujibana ujanani ni jambo zuri ila vishawishi navyo ni vingi sana,hii imewagharimu watu wengi sana,vijana hili ni somo msilidharau...
Kweli mdogo wangu,Tukiwa vijana miaka ya 1999,Kuna Mzee alikuwa anatushauri,tukawa tunamkimbia asitupe story za Fainali uzeeni!Sasa tupo hai na yeye yupo Hai,hadi Aibu!Kuna jamaa mpka Sasa anaishi kwao na hela alipata sana.
 
Kama pesa ipo fanya vyote kwa pamoja.
Japo starehe Ina nguvu kuliko uwekezaji, huwezi ukawa na akili ya starehe ukawa na akili ya uwekezaji lazima kimoja kitaloose
 
Pana umri mengine ni kujidhalilisha tu,una miaka 50 unaingia club kucheza muziki watakushangaa watu ulichelewa wapi hadi ukaruka stage
Huo ni umri wa kuwa Ibadani
Ibadani ni umri wowote kama una Imani,Daudi alianza kumtumikia Mungu akiwa kijana,Samwel,Musa,Ibrahimu sio uwe Mzee Ndio umkumbuke Mungu,Mkumbuke Mungu wakati wa ujana wako,usije ukasema hili Sina furaha!Maandiko hayo.
 
Kama pesa ipo fanya vyote kwa pamoja.
Japo starehe Ina nguvu kuliko uwekezaji, huwezi ukawa na akili ya starehe ukawa na akili ya uwekezaji lazima kimoja kitaloose
Utawatumikiaje mabwana wawili,pesa na Mungu,lazima uchague moja pesa au Mungu.Hapo Sasa!
 
Na huwezi mtumikia Mungu bila pesa,masikini hawawezi urithi ufalme wa Mungu maandiko yanasema.
Mungu anasema vitu vyote ni vyangu,Ardhini,Baharini na Nchi kavu!Sasa kama vyote ni vyake ,hizo sababu unazitoa wapi?!!Pia anasema humpa amtakaye na humnyima amtakaye!Wote anawataka, Sasa!
 
Asante. Sio kila mtu anayesapoti Mama Samia ni chawa. Mkuu hata hawa vijana waliomaliza chuo miaka ya karibuni kuna baadhi wako vizuri hawajakaa na kujililia kwamba hakuna ajira. Mdogo wangu aliyemaliza ualimu alishtuka kabla hata ya kuhitimu na kuanza kilimo cha vitunguu. Alianzia chini sana kwa shamba dogo kama robo eka mwaka 2018. Sasa hivi katika umri wa miaka 23 anamalizia kujenga nyumba yake wakati kuna kaka zake wakubwa wengi tu hawana lolote ingawa wako kwenye ajira nzuri.
Chawa bana,maelezo meengi huna lolote choka mbaya wewe
 
Mungu anasema vitu vyote ni vyangu,Ardhini,Baharini na Nchi kavu!Sasa kama vyote ni vyake ,hizo sababu unazitoa wapi?!!Pia anasema humpa amtakaye na humnyima amtakaye!Wote anawataka, Sasa!
Mungu anataka sadaka,zaka,nk ibada ni kuwajali masikini yatima na wajane.
Kuwajali means kuwapa vitu utawapa Nini huna pesa, maandiko yanasema " usiende mikononi mwa Bwana mikono mitupu" means usiende kanisan bila sadaka.
Injili inataka pesa,kuwalisha watumishi wa altare kunataka pesa,Sasa utakwepaje pesa.
 
Back
Top Bottom