desayi
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 3,593
- 5,848
Na midemu ya siku hizi mijanja huizalishi kizembeUkishindwa kuwekeza kwenye mali basi wekeza kwa watoto. Yaani zalisha sanaa utakuja shukuru uzeeni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na midemu ya siku hizi mijanja huizalishi kizembeUkishindwa kuwekeza kwenye mali basi wekeza kwa watoto. Yaani zalisha sanaa utakuja shukuru uzeeni.
Ardhi ni mali,ardhi ni uhai!Sahihi wekeza kwenye ardhi haimtupi mtu uzeeni.
Inatumika dawa isipate mimba!Na midemu ya siku hizi mijanja huizalishi kizembe
Ardhi pekee ndio njia rahisi ya kukata umasikini kwenye familia au ukoo.Ardhi ni mali,ardhi ni uhai!
HahahaSasa hivi mnaweka heshima hospitalini? Figo limefeli kisukari pressure tezi dume stroke ya kongosho
Wewe endelea kukomaa na wanasiasa wenzako akina mbowe wemewekeza kwenye mahoteliKwa CCM hii unawekeza wapi nchi wameshauza
Mshamba tu huyo hajui huwa anaongeaga vitu ganiKinyonga
Asante Mzee wangu.Habari wanaJF,
Niende moja kwa moja kwenye mada hapo juu. Mimi kwa Sasa nina umri wa miaka Hamsini na tatu(53). Niliajiriwa kwenye kampuni moja wakati huo nikiwa na miaka Ishirini na sita (26). Tukiwa vijana na rafiki zangu tulifurahia sana maisha na kampuni yenyewe ilikuwa inalipa vizuri sana.
Wenye ufahamu mzuri walijiwekeza kwenye ardhi, biashara, mifugo, nyumba, nk. Sasa umri umesonga nayo magonjwa nyemelezi yamekuwa tatizo. Ukimpigia simu mwenzako, utasikia naumwa kisukari mara huyu, kansa, mara, huyu viungo vimechemka, mara pressure nk.
Shida inakuja pale hukuwekeza gharama za matibabu ziko juu hata marafiki huwaoni na hata ukiwaona nao wanachangamoto zao. Tulikuwa na msemo wa kijinga wa ''Uza Nyumba Jenga Heshima Bar. Nisiwachoshe, Ahsanteni kwa kunisikiliza.
Mnnnh.
Mstari upi kwenye maandiko unasema
Masikini hawawezi urithi ufalme wa Mungu?
Sio wenye nguvu ya pesa.
Nipo Dodoma hapa kuna jamaa katoka Moshi kama msaidizi wa duka la jamaa wa kwao Moshi .ujira akipewa ananunua ardhi kwa Wagogo Mara pap,Magufuli Katia timu.Viwanja watu wanataka!Jamaa Sasa ni wakala wa bia,sigara,soda nk.Tumebaki tunamsifia tuu na macho tunayo na akili tunazo ,zililala.Ardhi pekee ndio njia rahisi ya kukata umasikini kwenye familia au ukoo.
Pana wachaga walikuwa masikini kabisa vibarua wa kukata nyasi za ng'ombe na kusaidia kuchoma chips mjini miaka 30 iliyopita wakilipwa Hicho Hicho kidogo waliwahi maeneo Leo wameuza wamepiga pesa mingi sana wamejenga majumba ya kisasa,malodge,ma frem wanakula uzee mateso ya ujanani.
We endelea kusema tu wachaga wezi wakinga wachawi .
We umeshindwa Nini kuiba au kuwa mchawi uwe tajiri.
Ardhi haimtupi mtu.
Wakinga walikuwa masikini sana wazazi wao waliwapandia miti watoto wao Leo wakavuna wakapata si chini ya milion 100 na zaidi mtaji tosha wa biashara.
Ukiwa masikini wekeza kwenye ardhi.
Pana watu wanatembea kwenye mkondo wa barakaNipo Dodoma hapa kuna jamaa katoka Moshi kama msaidizi wa duka la jamaa wa kwao Moshi .ujira akipewa ananunua ardhi kwa Wagogo Mara pap,Magufuli Katia timu.Viwanja watu wanataka!Jamaa Sasa ni wakala wa bia,sigara,soda nk.Tumebaki tunamsifia tuu na macho tunayo na akili tunazo ,zililala.
Halafu ndo iweje?;;It won't save any purpose ww somesha watoto tu
Kweli kabisaPana watu wanatembea kwenye mkondo wa baraka
Hahaha
Acha tule bata na bia boss. Maisha ni hayahayaHautacheka Wala kutabasamu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dawa ni kufa mapema ukiwa kijana. Inapunguza tabu nyingi sana