Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
- Thread starter
- #141
Tulikula kwa kweli!"Uza Nyumba Jenga Heshima Bar"We mzee una miaka 50 kweli unajua mpaka Mamanzi?
Aaah[emoji23][emoji1787] kweli mlikula bata asee[emoji23][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulikula kwa kweli!"Uza Nyumba Jenga Heshima Bar"We mzee una miaka 50 kweli unajua mpaka Mamanzi?
Aaah[emoji23][emoji1787] kweli mlikula bata asee[emoji23][emoji1787]
N kweLi kbsaN kweli havikwepeki lakini kuwa na kiasi
wengi wanasahau suala la ulaji wa afya,matunda na maji mengi hujenga afyaSio kuwekez kwenye uchumi tu, hata afya za miili yetu wakuu. Ukiusoma huu uzi vizuri utagundua wingi wa magonjwa yaliyotajwani magonjw ya mtindo wa tabia/maisha.
Vijana wengi wa sasa hatuianda kesho yetu kifedha na kiafya. Mtu anakunywa K-Vant siku 7 za wiki kila siku, hawazi akizeeka itakuwaje.
😅😅😅 aisee Angel nishapata pepo yangu zamani. 😇Njoo nikuoe Mrembo 'Malaika Nylon' niwe nakuwekea bando la mwaka mzima
Si Ndio utumie akili uliyopewa,ponda kokoto,uza mama ntilie,kuwa konda,Lima,kuwa fundi nk wewe tuu na kujichanga kwako!Mungu anataka sadaka,zaka,nk ibada ni kuwajali masikini yatima na wajane.
Kuwajali means kuwapa vitu utawapa Nini huna pesa, maandiko yanasema " usiende mikononi mwa Bwana mikono mitupu" means usiende kanisan bila sadaka.
Injili inataka pesa,kuwalisha watumishi wa altare kunataka pesa,Sasa utakwepaje pesa.
Tuko pamoja,kweli kabisa hivyo vyote Mimi nimezingatia Nina miaka53utadhani Nina miaka22!mazoezi kwenda mbele.wengi wanasahau suala la ulaji wa afya,matunda na maji mengi hujenga afya
Figo lazima zichemke!Sio kuwekez kwenye uchumi tu, hata afya za miili yetu wakuu. Ukiusoma huu uzi vizuri utagundua wingi wa magonjwa yaliyotajwani magonjw ya mtindo wa tabia/maisha.
Vijana wengi wa sasa hatuianda kesho yetu kifedha na kiafya. Mtu anakunywa K-Vant siku 7 za wiki kila siku, hawazi akizeeka itakuwaje.
Ndio mkuu,nimezaliwa 1970AprilWewe una miaka 53?
wachache sana hawalijui hili, ila changamoto yao familia kubwa na ndugu wengi, ada za watoto, kodi ya nyumba, kuishi mbali na kazini, mikopo ya kausha damu, riba kubwa za mabenki na ukosefu wa vipaumbele. weasaidie kwenye hilo.Habari wanaJF,
Niende moja kwa moja kwenye mada hapo juu. Mimi kwa Sasa nina umri wa miaka Hamsini na tatu(53). Niliajiriwa kwenye kampuni moja wakati huo nikiwa na miaka Ishirini na sita (26). Tukiwa vijana na rafiki zangu tulifurahia sana maisha na kampuni yenyewe ilikuwa inalipa vizuri sana.
Wenye ufahamu mzuri walijiwekeza kwenye ardhi, biashara, mifugo, nyumba, nk. Sasa umri umesonga nayo magonjwa nyemelezi yamekuwa tatizo. Ukimpigia simu mwenzako, utasikia naumwa kisukari mara huyu, kansa, mara, huyu viungo vimechemka, mara pressure nk.
Shida inakuja pale hukuwekeza gharama za matibabu ziko juu hata marafiki huwaoni na hata ukiwaona nao wanachangamoto zao. Tulikuwa na msemo wa kijinga wa ''Uza Nyumba Jenga Heshima Bar. Nisiwachoshe, Ahsanteni kwa kunisikiliza.
Haukufiki mapema ni wewe tuu na mfumo wa maisha!Nina mdogo wangu anaonekana yeye ndie Mkubwa,wakati nimemzidi miaka kadhaa!Hivi miaka 50 sindiyo umri wa akina Nape,January n.k?
Au ukiwa siyo mwanasiasa,uzee unakufika mapema?
Maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua,usemi huyu ni Hakika.Mungu kwanza mengine baadae.wachache sana hawalijui hili, ila changamoto yao familia kubwa na ndugu wengi, ada za watoto, kodi ya nyumba, kuishi mbali na kazini, mikopo ya kausha damu, riba kubwa za mabenki na ukosefu wa vipaumbele. weasaidie kwenye hilo.
Mnnnh.Na huwezi mtumikia Mungu bila pesa,masikini hawawezi urithi ufalme wa Mungu maandiko yanasema.
It won't save any purpose ww somesha watoto tuHabari wanaJF,
Niende moja kwa moja kwenye mada hapo juu. Mimi kwa Sasa nina umri wa miaka Hamsini na tatu(53). Niliajiriwa kwenye kampuni moja wakati huo nikiwa na miaka Ishirini na sita (26). Tukiwa vijana na rafiki zangu tulifurahia sana maisha na kampuni yenyewe ilikuwa inalipa vizuri sana.
Wenye ufahamu mzuri walijiwekeza kwenye ardhi, biashara, mifugo, nyumba, nk. Sasa umri umesonga nayo magonjwa nyemelezi yamekuwa tatizo. Ukimpigia simu mwenzako, utasikia naumwa kisukari mara huyu, kansa, mara, huyu viungo vimechemka, mara pressure nk.
Shida inakuja pale hukuwekeza gharama za matibabu ziko juu hata marafiki huwaoni na hata ukiwaona nao wanachangamoto zao. Tulikuwa na msemo wa kijinga wa ''Uza Nyumba Jenga Heshima Bar. Nisiwachoshe, Ahsanteni kwa kunisikiliza.
Chawa ni mamako aliyekuzaaChawa bana,maelezo meengi huna lolote choka mbaya wewe
Dah kweli unaweza walaumu bureSema ninyi vijana wa zamani ndo mmeweka misingi mibovu sana kwa nchi hii. Halafu elewa kwamba ninyi wa zamani mlikuwa mkimaliza shule direct kazini sio longolongo. Hadi enzi za Kikwete ajira za ualimu ilikuwa tu ni wewe usitake. Jinsi ya kuwashauri vijana waliohitimu baada ya Kikwete regime lazima iwe tofauti kidogo. Nina wadogo zangu wawili, mmoja ana degree ya ualimu mwingine Petroleum engineering na wote hawana ajira. Nikisema nikurupuke na kuwaona wazembe nitaharibu zaidi.
Anajitungia maneno yakeMnnnh.
Mstari upi kwenye maandiko unasema
Masikini hawawezi urithi ufalme wa Mungu?